Kampeni: Napinga Juma Nkamia kuwa Mwenyekiti wa Simba, hana uwezo

Kampeni: Napinga Juma Nkamia kuwa Mwenyekiti wa Simba, hana uwezo

Waliopitishwa wote huyo Mangungo na Nkamia hao ni Washindwa wa kura za maoni CCM 2020

Kila sehem ambayo Mwanasiasa katia kwato anaharibu
 
Taarifa inaonyesha kwamba Kamati ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba imepitisha majina mawili ya kuwania Uenyekiti wa Simba , huku wagombea wengine wakienguliwa ( sifahamu vigezo vilivyotumika ) , waliopitishwa ni Mangungu na Juma Nkamia , maana yake ni kwamba kati ya wawili hawa mmojawapo atakuwa Mwenyekiti wa Simba .

Simfahamu Mangungu kwahiyo sitamjadili .

Bali Juma Nkamia hana uwezo na wala hajawahi kuwa na uwezo wa kuongoza timu kubwa kama Simba , Nkamia ni mtu aliyejaa ubinafsi asiyeamini katika umoja , ni mtu wa majungu ambaye akipewa nafasi hiyo ataigawa Simba mapande mapande , hapaswi kupewa cheo kikubwa kama Uenyekiti wa Simba , Nkamia amekuwa kiongozi wa chini wa Simba miaka iliyopita , lakini tabia yake ya kuropokaropoka ilimfanya akang'olewa .

Pamoja na kuwa Mbunge katika bunge lililopita , lakini Nkamia hakuwa na ushawishi wowote ndani na nje ya bunge , hoja zake bungeni zilizimwa kama mshumaa jangwani , huku wananchi wa Jimbo lake wakiongoza kwa umasikini nchini Tanzania , mtu kama huyu hafai kuongoza timu ya Kimataifa kama Simba

Itaendelea ......
Nyani Fc Tangu lini mkaichagulia simba mtu sahihi wa kuongoza
 
Nina imani wajumbe watakaopiga kura wana angalau uwezo wa kung’amua kwamba Juma Ngamia hawezi kuiongoza Simba kwa ufanisi. Hana track record.
 
Tatizo la juma jazba na kukurupuka kwingi.simba kweli imekosa mtu wa kuwa Mwenyekiti?
 
Taarifa inaonyesha kwamba Kamati ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba imepitisha majina mawili ya kuwania Uenyekiti wa Simba , huku wagombea wengine wakienguliwa ( sifahamu vigezo vilivyotumika ) , waliopitishwa ni Mangungu na Juma Nkamia , maana yake ni kwamba kati ya wawili hawa mmojawapo atakuwa Mwenyekiti wa Simba .

Simfahamu Mangungu kwahiyo sitamjadili .

Bali Juma Nkamia hana uwezo na wala hajawahi kuwa na uwezo wa kuongoza timu kubwa kama Simba , Nkamia ni mtu aliyejaa ubinafsi asiyeamini katika umoja , ni mtu wa majungu ambaye akipewa nafasi hiyo ataigawa Simba mapande mapande , hapaswi kupewa cheo kikubwa kama Uenyekiti wa Simba , Nkamia amekuwa kiongozi wa chini wa Simba miaka iliyopita , lakini tabia yake ya kuropokaropoka ilimfanya akang'olewa .

Pamoja na kuwa Mbunge katika bunge lililopita , lakini Nkamia hakuwa na ushawishi wowote ndani na nje ya bunge , hoja zake bungeni zilizimwa kama mshumaa jangwani , huku wananchi wa Jimbo lake wakiongoza kwa umasikini nchini Tanzania , mtu kama huyu hafai kuongoza timu ya Kimataifa kama Simba

Itaendelea ......
Nkamia hakung'olewa bali akiwa katibu mwenezi alijiuzulu kwa sababu ambazo alizitaja hadharani.Nkamia anawafaa sana mikiani ama mapakani au majalalani kwani ana exposure kuwazidi akina Kaduguda na Dalali,Nkamia amefanya kazi BBC akipasua anga toka Bush house London.Huyu ndo anafaaa.Au nasema uongo ndugu zangu!
 
Ni kwamba.

Simba ya upande wa Mwekezaji MO ina pesa za kumwaga. Haina njaa, kila mfanyakazi analipwa vizuri sana sana.
Simba Wanachama, hiyo ya asilimia 51, ni balaa tupu. Ina njaa ya kufa mtu. Ndo maana Kaduguda hakutaka kugombea Uenyekiti wakati ana sifa zote, elimu yake ni Masters.
Simba Wanachama haina pesa kabisa, na haina Mshahala, ni ya kujitolea tu.
Mwenyekiti halali wa Simba wanachama mnakumbuka alijiuzuru kwa sababu ya Njaa.
Kaimu mwenyekiti Kaduguda naye kakimbia sababu ya Njaa.
Je Mkamia ataweza kuihimili Njaa ya Simba wanachama ?
MO ni mwekezaji na hawajibiki kuwahudumia wafanyakazi wa Simba wanachama.
Atakachoshindwa kukabiliana nacho, na kitakachomfanya aanze kuleta mgogolo ni Njaa.
Ninavyomjua hawezi kuhimili Njaa ya Simba wanachama.
Kaduguda alikuwa anatumia pesa yake binafsi katika kuihudumia
Simba
Kaduguda ameajiriwa sehemu nyingine nje ya Simba ndio maana alimudu kukaimu uenyekiti.
Je huyo mwenyekiti mpya ameajiriwa wapi?
 
Hizi timu ni matawi ya serikali ili kupunguza machungu ya wananchi maskini.
Wakati wote hazitakiwi kuwa huru wala kuimarika hivyo watapelekwa watu wao tuuu wakiona zinataka kuwa bora bifu huanza.
Jiulize wapi Wambura na maono yake kwa mpira was nchi hii. Hawa wote waliopitishwa Simba ni wawakilishi wa wale wale.
Bahati mbaya tumezaliwa kwenye mifumo hii.
 
Hizi timu ni matawi ya serikali ili kupunguza machungu ya wananchi maskini.
Wakati wote hazitakiwi kuwa huru wala kuimarika hivyo watapelekwa watu wao tuuu wakiona zinataka kuwa bora bifu huanza.
Jiulize wapi Wambura na maono yake kwa mpira was nchi hii. Hawa wote waliopitishwa Simba ni wawakilishi wa wale wale.
Bahati mbaya tumezaliwa kwenye mifumo hii.
Aiseeee !!
 
Kwani Simba wa Yuda imekuwaje tena? Maana alipigiwa chapuo sana kuwa atabeba hicho cheo. Refer Okwibobansunzu!
Ni Njaa,
Simba wanachama kuna njaa ya kutisha.
Ona Wenyeviti wote wa Simba wanachama ama wamejizulu au hawataki kugombea tena cheo hicho cha Uenyekiti baada ya msoto.
Na huyo Mkamia kama atashinda kwa huo msoto lazima ataanzisha mgogoro mkubwa, atalazimisha B 20 iwekwe haraka ili wazitafune.
Mi nipo nasikilizia.
 
Ni Njaa,
Simba wanachama kuna njaa ya kutisha.
Ona Wenyeviti wote wa Simba wanachama ama wamejizulu au hawataki kugombea tena cheo hicho cha Uenyekiti baada ya msoto.
Na huyo Mkamia kama atashinda kwa huo msoto lazima ataanzisha mgogoro mkubwa, atalazimisha B 20 iwekwe haraka ili wazitafune.
Mi nipo nasikilizia.
Kwani bado ile 20 haijawekwa ?
 
Back
Top Bottom