Kampeni: Napinga Juma Nkamia kuwa Mwenyekiti wa Simba, hana uwezo

Kampeni: Napinga Juma Nkamia kuwa Mwenyekiti wa Simba, hana uwezo

Taarifa inaonyesha kwamba Kamati ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba imepitisha majina mawili ya kuwania Uenyekiti wa Simba , huku wagombea wengine wakienguliwa (sifahamu vigezo vilivyotumika ) , waliopitishwa ni Mangungu na Juma Nkamia , maana yake ni kwamba kati ya wawili hawa mmojawapo atakuwa Mwenyekiti wa Simba.

Simfahamu Mangungu kwahiyo sitamjadili .

Bali Juma Nkamia hana uwezo na wala hajawahi kuwa na uwezo wa kuongoza timu kubwa kama Simba , Nkamia ni mtu aliyejaa ubinafsi asiyeamini katika umoja , ni mtu wa majungu ambaye akipewa nafasi hiyo ataigawa Simba mapande mapande , hapaswi kupewa cheo kikubwa kama Uenyekiti wa Simba , Nkamia amekuwa kiongozi wa chini wa Simba miaka iliyopita , lakini tabia yake ya kuropokaropoka ilimfanya akang'olewa.

Pamoja na kuwa Mbunge katika bunge lililopita , lakini Nkamia hakuwa na ushawishi wowote ndani na nje ya bunge , hoja zake bungeni zilizimwa kama mshumaa jangwani , huku wananchi wa Jimbo lake wakiongoza kwa umasikini nchini Tanzania , mtu kama huyu hafai kuongoza timu ya Kimataifa kama Simba

Itaendelea...
Mama mia!!! Tumekwisha..

Hivi huyo Juma Nkamia ana shughuli gani ya kumuingizia kipato zaidi ya hicho anachogombea?

Tunafahamu fika kwamba mwenyekiti sio muajiriwa wa klabu,,

Hivyo basi ,,hatokuwa na mshahara kutoka simba.,na wala halipwi chochote.

Je? kama hana chanzo chochote cha pesa ,,
Anagombea hiyo nafasi aisaidie club au club ndy imsaidie yeye kutatua maisha yake?
Nasikia anaishi hotel miaka yote,,hata kiwanja hana,,
Sasa kiongozi kama huyo wa nn ktk club kubwa kama simba?

Ifikie kipindi tuchaguwe viongozi kwa uwezo wao wa kifedha,,na sio kufuga wabadhirifu ndani ya club.
 
Erythrocyte jamaa kaa tu utulie,wewe uwaga unagundu jambo ukilipinga basi ndo linafanikiwa,kupinga kwako ni kama vile ndo unalipa baraka ilo jambo.
Juma Nkamia atakuwa mwenyekiti wa Simba.
 
Erythrocyte jamaa kaa tu utulie,wewe uwaga unagundu jambo ukilipinga basi ndo linafanikiwa,kupinga kwako ni kama vile ndo unalipa baraka ilo jambo.
Juma Nkamia atakuwa mwenyekiti wa Simba.
Sijawahi kuandika hivi hivi tu , nimeona jambo fulani , utakuja kunikumbuka
 
Mama mia!!! Tumekwisha..

Hivi huyo Juma Nkamia ana shughuli gani ya kumuingizia kipato zaidi ya hicho anachogombea?

Tunafahamu fika kwamba mwenyekiti sio muajiriwa wa klabu,,

Hivyo basi ,,hatokuwa na mshahara kutoka simba.,na wala halipwi chochote.

Je? kama hana chanzo chochote cha pesa ,,
Anagombea hiyo nafasi aisaidie club au club ndy imsaidie yeye kutatua maisha yake?
Nasikia anaishi hotel miaka yote,,hata kiwanja hana,,
Sasa kiongozi kama huyo wa nn ktk club kubwa kama simba?

Ifikie kipindi tuchaguwe viongozi kwa uwezo wao wa kifedha,,na sio kufuga wabadhirifu ndani ya club.
Sidhani kama utapita mwezi mmoja bila kuanzisha mgogolo.
Simba wa Yuda alikuwa anatumia pesa yake binafsi kufanya kazi za Simba. Mimi ni shahid.
Na akaamua kutogombea tena.
Mtu asiye na ajira na ategemee Simba kama ajira yake huu upande wa Simba wanachama hawezi kudumu kabisa.
Ama ataanziasha mgogolo au atajiuzuru.
Mi nipo nasubiri.
 
Sidhani kama utapita mwezi mmoja bila kuanzisha mgogolo.
Simba wa Yuda alikuwa anatumia pesa yake binafsi kufanya kazi za Simba. Mimi ni shahid.
Na akaamua kutogombea tena.
Mtu asiye na ajira na ategemee Simba kama ajira yake huu upande wa Simba wanachama hawezi kudumu kabisa.
Ama ataanziasha mgogolo au atajiuzuru.
Mi nipo nasubiri.
Au pengine anataka apige
Pesa akimbie.
 
Kwa utaratibu uliopo kwa Club ya Simba, sehemu pekee ya kimaamuzi ambayo mwenyekiti atashiriki ni kwenye Board ya wakurugenzi ambapo hapo mwenyekiti anakuwa ni mjumbe tu wa hiyo Board. Hivyo hana maamuzi yoyote ya kufanya zaidi ya kura yake moja ndani ya Board.
 
Wote hawatufai mmoja si ndo alisema Yesu wa kijana atawale milele, ila tutaishi nao tu hamna jinsi
 
Back
Top Bottom