KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Huo ni ukatili mkubwaHawa wazungu wamekuwa wakikamata paka mitaani na majumbani kisha kuwang'oa uzazi.
Baada ya miaka michache tu nchi ya Zanzibar itakuwa haina paka hata mmoja.
Paka wana faida nyingi sana kwa jamii na kimazingira pia.
Hizi kampeni zinazoendelea, serikali izitupie macho.
Wanyama wana haki ya kuishi, kuzaliana na kufurahia maisha
Imagine ukamatwe utolewe kizazi kwa nguvuHuo ni ukatili mkubwa
Wakiisha waje kuimpoti kutoka bara, muhimbili siku hizi hakuna paka?Hawa wazungu wamekuwa wakikamata paka mitaani na majumbani kisha kuwang'oa uzazi.
Baada ya miaka michache tu nchi ya Zanzibar itakuwa haina paka hata mmoja.
Paka wana faida nyingi sana kwa jamii na kimazingira pia.
Hizi kampeni zinazoendelea, serikali izitupie macho.
Wanyama wana haki ya kuishi, kuzaliana na kufurahia maisha
Sana, ukatili dhidi ya wanyamaHuo ni ukatili mkubwa
Wewe paka wanakukera nini?Kama unawaonea huruma hao paka ni wakati muafaka wa kutoa njia mbadala wasiwe kero kwa wengine.
π€£π€£π€£ni imagine umesema?Imagine ukamatwe utolewe kizazi kwa nguvu
πKwani paka wenyewe wanasemaje?
Bila consent yakoImagine ukamatwe utolewe kizazi kwa nguvu
Yaani wazungu waache vyote kwao waje kutenda wema nchini Zanzibar?Hapo lazma ujiulize hii kazi analipwa nq nani na kwa dhumuni gani
Haya maupumbavu ndio Magufuli aliyakataaUpumbavu sana. Wakamatwe haraka hawa wazungu uchwara.
Hawa ndio wanaokujaga na falsafa za machanjo za kutupunguza na kutufyeka kama kumbikumbi.
Falsafa ni ile ile, kuangamiza na kudunga machanjo ya mwendokasi.
These people are truly sick. π
CC DR Mambo Jambo
Hawana msemajiKwani paka wenyewe wanasemaje?