Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,563
- 4,227
Sikulaumu sababu umebobea kwenye kuchomoa mimba kwa hiari hivyo huwezi ogopa kuugua Toxoplasmosis..[emoji1488]Wewe mwenye kujua kupasua papuchi za paka utupe mwongozo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikulaumu sababu umebobea kwenye kuchomoa mimba kwa hiari hivyo huwezi ogopa kuugua Toxoplasmosis..[emoji1488]Wewe mwenye kujua kupasua papuchi za paka utupe mwongozo
Haya buana🤣🤣🤣ni imagine umesema?
🤣🥴Haya buana
Ngoja nisogee hapo Mbeya pazuri nikapoze koo
Nilikuwepo jana aiseeNgoja nisogee hapo Mbeya pazuri nikapoze koo
Nipe Case za Toxoplasmosis Kwa upande wa Zanzibar na Tanzania kwa Ujumla zipo kwa Percent ngapi...Prevalence yake ikoje Kwenye Top 10 au Kwenye top 20 Disease ni Gonjwa la Ngapi kitaifa?We utakuwa Doc wa mchongo, moja ya vyanzo vya maambukizi ya Toxoplasmosis (T.gondii) ni paka, wahanga wakubwa ni wanawake ambao baadhi yao wako hapa kupinga zoezi mujaarabu ka hilo, haohao kila uchao wamo humu kulalamikia abortion cases, inafikirisha sana.
VIpi kuhusu mbwa mbona hamuwataki huko zanzibar, kama kila mnyama anayo haki ya kuishi??Hawa wazungu wamekuwa wakikamata paka mitaani na majumbani kisha kuwang'oa uzazi.
Baada ya miaka michache tu nchi ya Zanzibar itakuwa haina paka hata mmoja.
Paka wana faida nyingi sana kwa jamii na kimazingira pia.
Hizi kampeni zinazoendelea, serikali izitupie macho.
Wanyama wana haki ya kuishi, kuzaliana na kufurahia maisha
paka wana kero gani mbona ni wazuri tu? Tuwaache waishi kwa amaniKama unawaonea huruma hao paka ni wakati muafaka wa kutoa njia mbadala wasiwe kero kwa wengine.
Ili wasiwe kero muwalishe washibe siku zote na mtunze uzao wao wasizagae hovyo,kulialia sauti mbayambaya na kuwa scavengers!paka wana kero gani mbona ni wazuri tu? Tuwaache waishi kwa amani
Wewe unafuga paka nyumbani kwako?Zanzibar inapaka wengi sana, tuwaache paka waishi mana wanafaida sana
Kuna paka wengine wameletwa huku bara....Zanzibar inapaka wengi sana, tuwaache paka waishi mana wanafaida sana
Twawataka sanaVIpi kuhusu mbwa mbona hamuwataki huko zanzibar, kama kila mnyama anayo haki ya kuishi??
This sheet is very spiritualAfrika imeanza kuona mambo kwa jicho la tatu na watu wake wamekuwa wagumu kutawalika tena kwa sababu ya watu wengi kuwa watambuzi..
Mnyama Paka ni mmoja ya wanyama wanaongeza hali ya utambuzi kwa binadamu sishangai kuona wanaaanza kuwatokomeza kwa sababu wanaona wao ndo kikwazo
Huku bara kuna panya wana midomo mirefu wameletwa kutoka China 🇨🇳Kuna paka wengine wameletwa huku bara....
wewe kwani ni paka..Imagine ukamatwe utolewe kizazi kwa nguvu