Kampeni ya Mama Paka ina lengo la kutokomeza mnyama aitwaye paka nchini Zanzibar

Kampeni ya Mama Paka ina lengo la kutokomeza mnyama aitwaye paka nchini Zanzibar

Mbona kwao wanawathamini kuliko watoto wao?
Au wanapambana kwa sababu wanazurura kwenye migahawa na kuomba vyakula?
Paka wanasaidia kukamata panya na hata nyoka ni msaada kwetu

Yaani mzungu akisema kitu mnafuata wao hebu piga teke mbwa ukiwa ulaya au mpige paka uone
 
Hawa wazungu wamekuwa wakikamata paka mitaani na majumbani kisha kuwang'oa uzazi.

Baada ya miaka michache tu nchi ya Zanzibar itakuwa haina paka hata mmoja.

Paka wana faida nyingi sana kwa jamii na kimazingira pia.

Hizi kampeni zinazoendelea, serikali izitupie macho.

Wanyama wana haki ya kuishi, kuzaliana na kufurahia maisha
hawa wazungu wamekuwa vichaa nini?
 
Kuna lipaka siku moja nakula zangu urojo pale forodhani na samaki, likaja likanyang'anya sahani likakimbia nayo.
 
Wanafanya kitendo chema sana, mipaka isiyo na wenyewe ni ya nini sasa, sehemu nyingine wangewapiga risasi, lakini kiungwana hao paka wazururaji wanafanywa wasiendelee kuzaliana na si kuwaua ni uungwana wa kipekee sana.
 
Hawa wazungu wamekuwa wakikamata paka mitaani na majumbani kisha kuwang'oa uzazi.

Baada ya miaka michache tu nchi ya Zanzibar itakuwa haina paka hata mmoja.

Paka wana faida nyingi sana kwa jamii na kimazingira pia.

Hizi kampeni zinazoendelea, serikali izitupie macho.

Wanyama wana haki ya kuishi, kuzaliana na kufurahia maisha
Tutawapelekea paka kutoka bara.
 
Msipende kukurupuka na kujifanya kila kitu mnajua, nenda kasome animal welfare act afu uje tena hapa na kifungu kinachosema kutoa uzazi hao wanyama ni ukatili.

Tena hapo wamewahurumia sana, stray dogs and cats wanatakiwa kuwa euthanized ili kucontrol magonjwa kama rabies.
Nenda hapo instabul kuna paka zaidi ya elfu moja tena ni "community cats" hawafugwi na mtu na kwa ukarimu zaidi watu wanawapa chakula na malazi ya kuishi nje ya nyumba zao na si hivyo tu 2021 instabul waliweka na sheria kabisa ya kuwalinda hao paka na kuwa treat vizuri.
Unafikiri hao wenzetu waliweza vipi mpaka sisi tufikie hatua ya kuwaua na kuwaondoa vizazi?
 
Nenda hapo instabul kuna paka zaidi ya elfu moja tena ni "community cats" hawafugwi na mtu na kwa ukarimu zaidi watu wanawapa chakula na malazi ya kuishi nje ya nyumba zao na si hivyo tu 2021 instabul waliweka na sheria kabisa ya kuwalinda hao paka na kuwa treat vizuri.
Unafikiri hao wenzetu waliweza vipi mpaka sisi tufikie hatua ya kuwaua na kuwaondoa vizazi?
= Istanbul.
 
Back
Top Bottom