Pekejeng
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 808
- 2,155
Kero gani unapataKama unawaonea huruma hao paka ni wakati muafaka wa kutoa njia mbadala wasiwe kero kwa wengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kero gani unapataKama unawaonea huruma hao paka ni wakati muafaka wa kutoa njia mbadala wasiwe kero kwa wengine.
Kuna eneo nimeandika nakereka?Soma kwa moyo!Kero gani unapata
hawa wazungu wamekuwa vichaa nini?Hawa wazungu wamekuwa wakikamata paka mitaani na majumbani kisha kuwang'oa uzazi.
Baada ya miaka michache tu nchi ya Zanzibar itakuwa haina paka hata mmoja.
Paka wana faida nyingi sana kwa jamii na kimazingira pia.
Hizi kampeni zinazoendelea, serikali izitupie macho.
Wanyama wana haki ya kuishi, kuzaliana na kufurahia maisha
Sio vichaa, wana hilahawa wazungu wamekuwa vichaa nini?
Zanzibar ni nchi kamili.Nchini Zanzibar ndio wapi
da!!! mwanangu!!!,tuombe sana MUNGU urusi ashinde hii vita,manake akishindwa hawa wapumbavu wenye macho kama ya nguruwe wataipeleka dunia wanavyotaka!!!......"WASEN....E nini?Sio vichaa, wana hila
Tutawapelekea paka kutoka bara.Hawa wazungu wamekuwa wakikamata paka mitaani na majumbani kisha kuwang'oa uzazi.
Baada ya miaka michache tu nchi ya Zanzibar itakuwa haina paka hata mmoja.
Paka wana faida nyingi sana kwa jamii na kimazingira pia.
Hizi kampeni zinazoendelea, serikali izitupie macho.
Wanyama wana haki ya kuishi, kuzaliana na kufurahia maisha
Upo mrembo?Tutawapelekea paka kutoka bara.
Na ufahamu unaongezekaUkiona paka wanazidi kwenye jamii ujuwe kuna neema. Chakula kingi na panya wengi.
Nenda hapo instabul kuna paka zaidi ya elfu moja tena ni "community cats" hawafugwi na mtu na kwa ukarimu zaidi watu wanawapa chakula na malazi ya kuishi nje ya nyumba zao na si hivyo tu 2021 instabul waliweka na sheria kabisa ya kuwalinda hao paka na kuwa treat vizuri.Msipende kukurupuka na kujifanya kila kitu mnajua, nenda kasome animal welfare act afu uje tena hapa na kifungu kinachosema kutoa uzazi hao wanyama ni ukatili.
Tena hapo wamewahurumia sana, stray dogs and cats wanatakiwa kuwa euthanized ili kucontrol magonjwa kama rabies.
Kwahiyo hao wengine ni kina nani mpaka ujitutumie kuja kuwasemea hukuKuna eneo nimeandika nakereka?Soma kwa moyo!
Mimi mwenyewe nashangaa sana ulivyoandika kwamba ninawatetea wakati siwaoni.Uwe unasoma kwa umakini sana.Kwahiyo hao wengine ni kina nani mpaka ujitutumie kuja kuwasemea huku
Mimi mwenyewe nashangaa sana ulivyoandika kwamba ninawatetea wakati siwaoni.Uwe unasoma kwa umakini sana.
Sahihi.Uwe unasoma kwa furaha na kuelewa.
Kumbe unashangaa basi sawa endelea kushangaa
= Istanbul.Nenda hapo instabul kuna paka zaidi ya elfu moja tena ni "community cats" hawafugwi na mtu na kwa ukarimu zaidi watu wanawapa chakula na malazi ya kuishi nje ya nyumba zao na si hivyo tu 2021 instabul waliweka na sheria kabisa ya kuwalinda hao paka na kuwa treat vizuri.
Unafikiri hao wenzetu waliweza vipi mpaka sisi tufikie hatua ya kuwaua na kuwaondoa vizazi?