KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
-
- #21
Bwana ehh paka wako kikaangoni, kesho walimu itakuwa zamu yao kutolewa vizazi kwa lazima, maana utafiti unaonesha walimu ndio wana uzazi sana baada ya mahausigeli🤣🤣🤣ni imagine umesema?
Nimeeleza kwamba hao "wengine" ndiyo mimi?Wewe paka wanakukera nini?
Imewaona walovyozagaa unguja bila malezi?Hawa wazungu wamekuwa wakikamata paka mitaani na majumbani kisha kuwang'oa uzazi.
Baada ya miaka michache tu nchi ya Zanzibar itakuwa haina paka hata mmoja.
Paka wana faida nyingi sana kwa jamii na kimazingira pia.
Hizi kampeni zinazoendelea, serikali izitupie macho.
Wanyama wana haki ya kuishi, kuzaliana na kufurahia maisha
Msipende kukurupuka na kujifanya kila kitu mnajua, nenda kasome animal welfare act afu uje tena hapa na kifungu kinachosema kutoa uzazi hao wanyama ni ukatili.Upumbavu sana. Wakamatwe haraka hawa wazungu uchwara.
Hawa ndio wanaokujaga na falsafa za machanjo za kutupunguza na kutufyeka kama kumbikumbi.
Falsafa ni ile ile, kuangamiza na kudunga machanjo ya mwendokasi.
These people are truly sick. [emoji53]
CC DR Mambo Jambo
Kichwa kama rabies.Msipende kukurupuka na kujifanya kila kitu mnajua, nenda kasome animal welfare act afu uje tena hapa na kifungu kinachosema kutoa uzazi hao wanyama ni ukatili.
Tena hapo wamewahurumia sana, stray dogs and cats wanatakiwa kuwa euthanized ili kucontrol magonjwa kama rabies.
Watu huwa wanaanzisha hifadhi za wanyama.Imewaona walovyozagaa unguja bila malezi?
Ni hatari kwa afya
Futa hilo neno! Hakuna nchi inaitwa Zanzibar. Nchi ni TanzaniaYaani wazungu waache vyote kwao waje kutenda wema nchini Zanzibar?
Kwanini wanaungia gharama ya mamilioni kutokomeza paka?
Kwanini wasitokomeze kunguru?
Na ni kweli...,moto tunao....lakini mbona twazaa wanne tuBwana ehh paka wako kikaangoni, kesho walimu itakuwa zamu yao kutolewa vizazi kwa lazima, maana utafiti unaonesha walimu ndio wana uzazi sana baada ya mahausigeli
Huna ulijualo..sikulaumu.Watu huwa wanaanzisha hifadhi za wanyama.
Unawakusanya wengi unawafuga. It is a protection strategy but also a BUSINESS.
Kama nilivyosema, hatuhitaji falsafa za machanjo. Hawa wazungu ni wehu, kwanza inawahusu nini warudi kwao huko, eboo!
Sie kwetu paka ni faida. Wanakula mijusi, mapanya na matakataka yanayoruka ruka hovyo.
Paka ni urembo pia. Ana faida nyingi sana majumbani na mitaani.
They will die out of natural causes as nature will deem fit, but not this stupid cat genocide.
Afrika imeanza kuona mambo kwa jicho la tatu na watu wake wamekuwa wagumu kutawalika tena kwa sababu ya watu wengi kuwa watambuzi..Upumbavu sana. Wakamatwe haraka hawa wazungu uchwara.
Hawa ndio wanaokujaga na falsafa za machanjo za kutupunguza na kutufyeka kama kumbikumbi.
Falsafa ni ile ile, kuangamiza na kudunga machanjo ya mwendokasi.
These people are truly sick. 😕
CC DR Mambo Jambo
Wewe mwenye kujua kupasua papuchi za paka utupe mwongozoHuna ulijualo..sikulaumu.
We utakuwa Doc wa mchongo, moja ya vyanzo vya maambukizi ya Toxoplasmosis (T.gondii) ni paka, wahanga wakubwa ni wanawake ambao baadhi yao wako hapa kupinga zoezi mujaarabu ka hilo, haohao kila uchao wamo humu kulalamikia abortion cases, inafikirisha sana.Afrika imeanza kuona mambo kwa jicho la tatu na watu wake wamekuwa wagumu kutawalika tena kwa sababu ya watu wengi kuwa watambuzi..
Mnyama Paka ni mmoja ya wanyama wanaongeza hali ya utambuzi kwa binadamu sishangai kuona wanaaanza kuwatokomeza kwa sababu wanaona wao ndo kikwazo