Kampeni ya Mama Paka ina lengo la kutokomeza mnyama aitwaye paka nchini Zanzibar

Nipe Case za Toxoplasmosis Kwa upande wa Zanzibar na Tanzania kwa Ujumla zipo kwa Percent ngapi...Prevalence yake ikoje Kwenye Top 10 au Kwenye top 20 Disease ni Gonjwa la Ngapi kitaifa?

Nataka tujadili hili swala kwa hoja sasa
 
VIpi kuhusu mbwa mbona hamuwataki huko zanzibar, kama kila mnyama anayo haki ya kuishi??
 
Nilikua pale forodhani one tym...nikawa nakula ki pweza changu jamani wale paka duu huwa hawafukuziki jamani...yani wanene na wanashape hao..macho yao kama wamekula kungu..au sio nyau waleee....
 
This sheet is very spiritual
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…