Uchaguzi 2020 Kampeni yenye #Miaka5YaKazi inayoendeshwa na Msemaji Mkuu wa Serikali yadolola huko Twitter

Uchaguzi 2020 Kampeni yenye #Miaka5YaKazi inayoendeshwa na Msemaji Mkuu wa Serikali yadolola huko Twitter

Zero Hours

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2011
Posts
12,942
Reaction score
18,669
Hivi karibuni Msemaji mkuu wa serikali, Dkt H.A amekuja na kampeni yenye Hashtag ' #Miaka5YaKazi" inayoonesha miradi mbalimbali iliyofanywa awamu hii.

Cha kushangaza hii campain kama vile imezidi kupoteza mvuto kwa mashabiki/ followers wake zaid ya 300k. Kiasi cha watu wanaolike, retweet au kucomment ni kichache sana kulinganisha na uzitto wa mambo yanayozungumziwa katika hii accout ya msemaji mkuu wa serikali.

Hii maana yake ni nini?

Screenshot_20200816-075643_Twitter.jpg
 
Maendeleo maana yake ni:-
-Maendeleo ya watu (watanzania)
Kuishi nyumba nzuri
Kuvaa vizuri
Maji safi na salama
Elimu bora
Afya bora
Uhakika kuishi kwa amani, bila hofu, kukosolewa na kukosowa kwa uhuru bila vitisho, kuumizana, kufungana, nk

Maendeleo ya vitu hayakidhi viwango kuitwa maendeleo popote duniani endapo njaa, maradhi, ujinga na umaskini bila kuwepo usawa na haki, nisawa na kujaza maji ndani ya gunia yakivuja muda wote yasijae.
 
Anajisumbua tu. Watanzania wanahitaji ustawi wa familia zao na kuwa na uhakika wa mahitaji ya msingi ya kila siku kama chakula na mavazi.

Wao wameamua kujenga madaraja na kutulazimisha tuwasifu huku tukifariki kwa njaa.

Magufuli kapoteza mvuto machoni mwa watanzania. Hafai kuongoza tena nchi hii.
 
Maendeleo maana yake ni:-
-Maendeleo ya watu (watanzania)
Kuishi nyumba nzuri
Kuvaa vizuri
Maji safi na salama
Elimu bora
Afya bora
Uhakika kuishi kwa amani, bila hofu, kukosolewa na kukosowa kwa uhuru bila vitisho, kuumizana, kufungana, nk

Maendeleo ya vitu hayakidhi viwango kuitwa maendeleo popote duniani endapo njaa, maradhi, ujinga na umaskini bila kuwepo usawa na haki, nisawa na kujaza maji ndani ya gunia yakivuja muda wote yasijae.
Kumbe siku hizi maendeleo ni kuishi nyumba nzuri na kuvaa vuzuri!! Hilo sio jukumu la serikali ndugu!.
 
Maana ni mudavwa kampeni bado haujaanza. Huyu anatimiza wajibu wa kawaida. Muda ukifika utawasikia wenye nchi wakiongea kata kwa kata, tarafa kwa tarafa, mkoa kwa mkoa. Wakieleza walichofanya kwa nchi nzima na kwa kila wilaya, mkoa, kata na tarafa wanayopita.
 
Maendeleo maana yake ni:-
-Maendeleo ya watu (watanzania)
Kuishi nyumba nzuri
Kuvaa vizuri
Maji safi na salama
Elimu bora
Afya bora
Uhakika kuishi kwa amani, bila hofu, kukosolewa na kukosowa kwa uhuru bila vitisho, kuumizana, kufungana, nk

Maendeleo ya vitu hayakidhi viwango kuitwa maendeleo popote duniani endapo njaa, maradhi, ujinga na umaskini bila kuwepo usawa na haki, nisawa na kujaza maji ndani ya gunia yakivuja muda wote yasijae.
Duh..kweli black lives matter. Sasa maendeleo ya watu yanaanzaje kuja bila maendeleo ya vitu.

Hata wakoloni walianza na maendeleo ya vitu ikiwemo kujenga reli na mashule.

Nyerere alishughulikia na miundo mbinu ili watu wapate maendeleo.

Bila maendeleo ya vitu hakuna maendeleo ya watu. Bila barabara huwezi kusafirisha nondo wala cement kupeleka site.

Bila hospital huwezi kuwa salama hata kama milionea. Maana utaumwa hutapata matibabu..kumbuka pia huna hata barabara wala uwanja wa ndege.

Bila umeme dunia itakuacha..utakuwa kama umefungiwa kisiwani.

Bila kuwekeza kwenye vitu kama mashule na vyuo utatengeneza taifa la wajinga.

Watu tunahitaji ututengenezee miundo mbinu tu..chakula, mavazi na malazi tutatafuta wenyewe.. kama naweza ishi morogoro nafanya kazi dar nina uwezo wa kwenda na kurudi kila siku kwa kutumia treni ya umeme badala ya kujazana dar na kuongeza gharama za maisha.
 
Maendeleo ya vitu hayakidhi viwango kuitwa maendeleo popote duniani endapo njaa, maradhi, ujinga na umaskini bila kuwepo usawa na haki, nisawa na kujaza maji ndani ya gunia yakivuja muda wote yasijae
Nasikitika kwamba kadiri siku zinavyosonga, ujinga wa wasomi wetu unaongezeka Kwa Kasi ya hatari Sana

Maendeleo ya watu na siyo vitu unayosema wewe msomi uchwala huku ukiweka vitu kama, hospitali, nyumba Bora, shule n.k, Je hivyo siyo vitu sasa?

Unakataa maendeleo ya vitu huku ukiorodhesha vitu? Wewe Ni jinga
 
Duh..kweli black lives matter. Sasa maendeleo ya watu yanaanzaje kuja bila maendeleo ya vitu.

Hata wakoloni walianza na maendeleo ya vitu ikiwemo kujenga reli na mashule.

Nyerere alishughulikia na miundo mbinu ili watu wapate maendeleo.

Bila maendeleo ya vitu hakuna maendeleo ya watu. Bila barabara huwezi kusafirisha nondo wala cement kupeleka site.

Bila hospital huwezi kuwa salama hata kama milionea. Maana utaumwa hutapata matibabu..kumbuka pia huna hata barabara wala uwanja wa ndege.

Bila umeme dunia itakuacha..utakuwa kama umefungiwa kisiwani.

Bila kuwekeza kwenye vitu kama mashule na vyuo utatengeneza taifa la wajinga.

Watu tunahitaji ututengenezee miundo mbinu tu..chakula, mavazi na malazi tutatafuta wenyewe.. kama naweza ishi morogoro nafanya kazi dar nina uwezo wa kwenda na kurudi kila siku kwa kutumia treni ya umeme badala ya kujazana dar na kuongeza gharama za maisha.

Yaani uishi Morogoro na ufanye kazi Dar, kisha uwe unakuja Dar daily ndio kuokoa gharama. Kwa vyovyote iwapo utaishi Morogoro na kuja kufanya kazi Dar, nauli mpaka eneo lako la kazi itafika 300,00@month. Sasa kwa hela hiyo si bora upange nyumba hapa hapa twn ya 200,000? Fanya utetezi mwingine ila sio huu boss.
 
Yaani uishi Morogoro na ufanye kazi Dar, kisha uwe unakuja Dar daily ndio kuokoa gharama. Kwa vyovyote iwapo utaishi Morogoro na kuja kufanya kazi Dar, nauli mpaka eneo lako la kazi itafika 300,00@month. Sasa kwa hela hiyo si bora upange nyumba hapa hapa twn ya 200,000? Fanya utetezi mwingine ila sio huu boss.
Watu wanaangalia vitu vingi tu.
 
Back
Top Bottom