paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Unazidi kujidhihirishia kuwa wewe hauko Sawa mkuuHuwezi kuongelea afya bila
-madawa... basic
-Madakitari wakitaabika, mishahara duni
-Vitendea kazi agharabu basic duni au hakuna
Swali dogo tu hapo, unaleta dawa bila kuwa na Majengo ya kulaza na kuwatibia wagonjwa, utakuwa unafanya kazi ya kuwatembelea nyumbani kwao kuwatibu?
Ili madawa yaje, lazima kuwepo jengo maalumu la kuziweka dawa na eneo la kukutana na wagonjwa!
Vitu na watu ni na maji na samaki, elewa hivyo mkuu