Uchaguzi 2020 Kampeni yenye #Miaka5YaKazi inayoendeshwa na Msemaji Mkuu wa Serikali yadolola huko Twitter

Uchaguzi 2020 Kampeni yenye #Miaka5YaKazi inayoendeshwa na Msemaji Mkuu wa Serikali yadolola huko Twitter

Duh..kweli black lives matter. Sasa maendeleo ya watu yanaanzaje kuja bila maendeleo ya vitu.

Hata wakoloni walianza na maendeleo ya vitu ikiwemo kujenga reli na mashule.

Nyerere alishughulikia na miundo mbinu ili watu wapate maendeleo.

Bila maendeleo ya vitu hakuna maendeleo ya watu. Bila barabara huwezi kusafirisha nondo wala cement kupeleka site.

Bila hospital huwezi kuwa salama hata kama milionea. Maana utaumwa hutapata matibabu..kumbuka pia huna hata barabara wala uwanja wa ndege.

Bila umeme dunia itakuacha..utakuwa kama umefungiwa kisiwani.

Bila kuwekeza kwenye vitu kama mashule na vyuo utatengeneza taifa la wajinga.

Watu tunahitaji ututengenezee miundo mbinu tu..chakula, mavazi na malazi tutatafuta wenyewe.. kama naweza ishi morogoro nafanya kazi dar nina uwezo wa kwenda na kurudi kila siku kwa kutumia treni ya umeme badala ya kujazana dar na kuongeza gharama za maisha.
Maelezo meeengii ila ni ushuzi wa ngomani mtupu Unashughulika na vitu huku watu wanakufa ili nani aje avitumie?Hao wakoloni unaowatolea mfano pamoja na kufanya uliyoyaeleza walibakizwa kwenye makoloni?Use your damn head,fella!Your Magufuli is a total failure! Like it or hate it!
 
Maelezo meeengii ila ni ushuzi wa ngomani mtupu Unashughulika na vitu huku watu wanakufa ili nani aje avitumie?Hao wakoloni unaowatolea mfano pamoja na kufanya uliyoyaeleza walibakizwa kwenye makoloni?Use your damn head,fella!Your Magufuli is a total failure! Like it or hate it!
Kufa ni asili ya mwanadamu..au lissu kawaambia atasimamisha kufa?
 
Kosa ni kuwaona Watanzania wajinga, bahati mbaya huwa inawasaidia!
They bulldozed us for five good years and yet they want another five years term?What for?So that they plough us again?
Once a failure,always the failure.
CCM and their desiples don't know what Tanzanians need and they don't bother knowing.They are driven by their own insticts.
 
Kufa ni asili ya mwanadamu..au lissu kawaambia atasimamisha kufa?
Jibu nikiyokuuliza.Muache Lissu.Kwani anakutenya?Weye ulishawahi kufa mara ngapi?Unaeleza kama Slaa aliyesema kupigwa risasi ni kitu cha kawaida wakati yeye hata kuchomwa sindano kalioni anaogopa.
 
Nasikitika kwamba kadiri siku zinavyosonga, ujinga wa wasomi wetu unaongezeka Kwa Kasi ya hatari Sana

Maendeleo ya watu na siyo vitu unayosema wewe msomi uchwala huku ukiweka vitu kama, hospitali, nyumba Bora, shule n.k, Je hivyo siyo vitu sasa?

Unakataa maendeleo ya vitu huku ukiorodhesha vitu? Wewe Ni jinga

Kwa taarifa fupi tu

Huwezi kuongelea afya bila
-madawa... basic
-Madakitari wakitaabika, mishahara duni
-Vitendea kazi agharabu basic duni au hakuna

Huwezi kuongelea elimu bora
-Walimu hohehahe, poor living style
-Nyuba duni
-Vifaa duni vya kufundishia
-Ukosefu wa madarasa

Huwezi kuongera usafiri bora
Fast Jet alikuwa bora kwa mlalahoi mbeya to dsm to and from 150, 0000 mpaka 180,00 TZS

Air Tanzanian kaangalie gharama zao.... kama hujakimbilia Newforce bus

Watu wakawaida waonekane kufaidika au kuboresgewa maisha sio kudidimizwa
 
Duh..kweli black lives matter. Sasa maendeleo ya watu yanaanzaje kuja bila maendeleo ya vitu.

Hata wakoloni walianza na maendeleo ya vitu ikiwemo kujenga reli na mashule.

Nyerere alishughulikia na miundo mbinu ili watu wapate maendeleo.

Bila maendeleo ya vitu hakuna maendeleo ya watu. Bila barabara huwezi kusafirisha nondo wala cement kupeleka site.

Bila hospital huwezi kuwa salama hata kama milionea. Maana utaumwa hutapata matibabu..kumbuka pia huna hata barabara wala uwanja wa ndege.

Bila umeme dunia itakuacha..utakuwa kama umefungiwa kisiwani.

Bila kuwekeza kwenye vitu kama mashule na vyuo utatengeneza taifa la wajinga.

Watu tunahitaji ututengenezee miundo mbinu tu..chakula, mavazi na malazi tutatafuta wenyewe.. kama naweza ishi morogoro nafanya kazi dar nina uwezo wa kwenda na kurudi kila siku kwa kutumia treni ya umeme badala ya kujazana dar na kuongeza gharama za maisha.
Mkuu umenena vyema sana, ukweli wanaujua lkn wanapinga tu. Huwezi kuitwa nchi iliyoendelea kwa Sababu eti nchi ina chakula cha kutosha, eti kwa Sababu watu ni watanashati, eti kwa Sababu watu wana uhuru wa kuropoko bila mantiki, you will only be called a developed country, only if, una huduma nzuri za afya, maji, usafirishaji, elimu, umeme.
 
Hivi karibuni Msemaji mkuu wa serikali, Dkt H.A amekuja na kampeni yenye Hashtag ' #Miaka5YaKazi" inayoonesha miradi mbalimbali iliyofanywa awamu hii.

Cha kushangaza hii campain kama vile imezidi kupoteza mvuto kwa mashabiki/ followers wake zaid ya 300k. Kiasi cha watu wanaolike, retweet au kucomment ni kichache sana kulinganisha na uzitto wa mambo yanayozungumziwa katika hii accout ya msemaji mkuu wa serikali.

Hii maana yake ni nini?

View attachment 1538737
Wewe mwenyewe una shida mahali fulani...yaani umeona maudhui katika hiyo kampeni ni mambo mazito? Kosa kubwa wanalolifanya serikali hii, na ambalo litawagharimu pasipo kutarajia, ni miaka mitano yote kujaribu kuwageuza wananchi kama watoto wadogo wale ambao wakilia wanabembelezwa kwa kupewa pipi, hata kama hitaji lao lililoababisha walie sio pipi!
 
Mkuu umenena vyema sana, ukweli wanaujua lkn wanapinga tu. Huwezi kuitwa nchi iliyoendelea kwa Sababu eti nchi ina chakula cha kutosha, eti kwa Sababu watu ni watanashati, eti kwa Sababu watu wana uhuru wa kuropoko bila mantiki, you will only be called a developed country, only if, una huduma nzuri za afya, maji, usafirishaji, elimu, umeme.

Sidhani kama unaelewa maana ya uhuru na haki na maadili

Tuliza akili uelewe
 
Mkuu umenena vyema sana, ukweli wanaujua lkn wanapinga tu. Huwezi kuitwa nchi iliyoendelea kwa Sababu eti nchi ina chakula cha kutosha, eti kwa Sababu watu ni watanashati, eti kwa Sababu watu wana uhuru wa kuropoko bila mantiki, you will only be called a developed country, only if, una huduma nzuri za afya, maji, usafirishaji, elimu, umeme.
Hebu soma ulichokiandika kwa umakini halafu jitafakari kama weye ni mzima kiakili.
 
Kina Nyerere walij
Duh..kweli black lives matter. Sasa maendeleo ya watu yanaanzaje kuja bila maendeleo ya vitu.

Hata wakoloni walianza na maendeleo ya vitu ikiwemo kujenga reli na mashule.

Nyerere alishughulikia na miundo mbinu ili watu wapate maendeleo.

Bila maendeleo ya vitu hakuna maendeleo ya watu. Bila barabara huwezi kusafirisha nondo wala cement kupeleka site.

Bila hospital huwezi kuwa salama hata kama milionea. Maana utaumwa hutapata matibabu..kumbuka pia huna hata barabara wala uwanja wa ndege.

Bila umeme dunia itakuacha..utakuwa kama umefungiwa kisiwani.

Bila kuwekeza kwenye vitu kama mashule na vyuo utatengeneza taifa la wajinga.

Watu tunahitaji ututengenezee miundo mbinu tu..chakula, mavazi na malazi tutatafuta wenyewe.. kama naweza ishi morogoro nafanya kazi dar nina uwezo wa kwenda na kurudi kila siku kwa kutumia treni ya umeme badala ya kujazana dar na kuongeza gharama za maisha.

Kina Nyerere walijenga miundo mbinu huku wakitoa huduma za kijamii tena bila malipo kuanzia elimu,afya,mabwawa ya umeme,Reli ya TAZARA na hata bomba la mafuta la TAZAMA.Haya yanayofanywa na awamu hii ya tano ni ukandamizaji wa raia/Wananchi kwa visingizio hafifu mno.Maisha yanaweza kusubiri/kusimama kwa muda gani ili ujenge miundo mbinu?Miradi hii imekuwa ikihubiriwa kwa miaka mitano na bado haiwezi kukamilika hata 2025,Watanzania waendelee kusubiri hadi wakati huo bila ajira,nyongeza za mishahara,kupandishwa vyeo,kulipa wakandarasi na madeni ya ndani na nje hadi baada ya 2025?CCM haya mawazo mnayatoa wapi?
Vipaumbele vyenu ni kuzindua kila kitu ikiwemo nyimbo za kampeni kabla ya kampeni yenyewe?Msajili amezibwa macho na masikio.Je,wakitaka kufanya hayo wapinzani watakuwa salama?
 
Kina Nyerere walij

Kina Nyerere walijenga miundo mbinu huku wakitoa huduma za kijamii tena bila malipo kuanzia elimu,afya,mabwawa ya umeme,Reli ya TAZARA na hata bomba la mafuta la TAZAMA.Haya yanayofanywa na awamu hii ya tano ni ukandamizaji wa raia/Wananchi kwa visingizio hafifu mno.Maisha yanaweza kusubiri/kusimama kwa muda gani ili ujenge miundo mbinu?Miradi hii imekuwa ikihubiriwa kwa miaka mitano na bado haiwezi kukamilika hata 2025,Watanzania waendelee kusubiri hadi wakati huo bila ajira,nyongeza za mishahara,kupundishwa vyeo,kulipa wakandarasi na madeni ya ndani na nje hadi baada ya 2025?CCM haya mawazo mnayatoa wapi?
Vipaumbele vyenu ni kuzindua kila kitu ikiwemo nyimbo za kampeni kabla ya kampeni yenyewe?Msajili amezibwa macho na masikio.Je,wakitaka kufanya hayo wapinzani watakuwa salama?
Hooray!Tell that damn Magufuli puppet in the very black and white narration!
 
Duh..kweli black lives matter. Sasa maendeleo ya watu yanaanzaje kuja bila maendeleo ya vitu.

Hata wakoloni walianza na maendeleo ya vitu ikiwemo kujenga reli na mashule.

Nyerere alishughulikia na miundo mbinu ili watu wapate maendeleo.

Bila maendeleo ya vitu hakuna maendeleo ya watu. Bila barabara huwezi kusafirisha nondo wala cement kupeleka site.

Bila hospital huwezi kuwa salama hata kama milionea. Maana utaumwa hutapata matibabu..kumbuka pia huna hata barabara wala uwanja wa ndege.

Bila umeme dunia itakuacha..utakuwa kama umefungiwa kisiwani.

Bila kuwekeza kwenye vitu kama mashule na vyuo utatengeneza taifa la wajinga.

Watu tunahitaji ututengenezee miundo mbinu tu..chakula, mavazi na malazi tutatafuta wenyewe.. kama naweza ishi morogoro nafanya kazi dar nina uwezo wa kwenda na kurudi kila siku kwa kutumia treni ya umeme badala ya kujazana dar na kuongeza gharama za maisha.

Lakini hakuacha watu wafukarike kwa kisingizio cha kujenga miundombinu alikuwa anajenga huku wafanyakazi wanaongezewa mishahara wastaafu wanalipwa mafao yao yakitokea maafa watu wanapewa chakula cha msaada kutoka nchi marafiki siyo kuwasimanga kwanza ni kujali watu sababu hayo maendeleo ni ya nini kama siyo ya hao watu.
 
Kumbe siku hizi maendeleo ni kuishi nyumba nzuri na kuvaa vuzuri!! Hilo sio jukumu la serikali ndugu!.

Unadhani kwanini
1. Sudan kusini wapo vile
2. Somalia wapo vile
3. Burundi wapo vile

Na kwanini
1. Japan wapo vile
2. Germany
3. Israel
Nk

Tafuta sababu ili kuelewa mchango wa serikali katika kuboresha maisha ya watu wake au kudidimiza
 
Mkuu umenena vyema sana, ukweli wanaujua lkn wanapinga tu. Huwezi kuitwa nchi iliyoendelea kwa Sababu eti nchi ina chakula cha kutosha, eti kwa Sababu watu ni watanashati, eti kwa Sababu watu wana uhuru wa kuropoko bila mantiki, you will only be called a developed country, only if, una huduma nzuri za afya, maji, usafirishaji, elimu, umeme.
Hata watu wanaokaa kwenye vyumba vya kupanga wapo wanaovaa vizuri na kula vizuri, hivi hao utawapongeza kuwa wameendelea au kukosa hoja tu?
 
Lakini hakuacha watu wafukarike kwa kisingizio cha kujenga miundombinu alikuwa anajenga huku wafanyakazi wanaongezewa mishahara wastaafu wanalipwa mafao yao yakitokea maafa watu wanapewa chakula cha msaada kutoka nchi marafiki siyo kuwasimanga kwanza ni kujali watu sababu hayo maendeleo ni ya nini kama siyo ya hao watu.
Sijui amesoma ulichoandika?Damn it!Last nail to the pretty CCM's coffin and I like it!
 
Unadhani kwanini
1. Sudan kusini wapo vile
2. Somalia wapo vile
3. Burundi wapo vile

Na kwanini
1. Japan wapo vile
2. Germany
3. Israel
Nk

Tafuta sababu ili kuelewa mchango wa serikali katika kuboresha maisha ya watu wake au kudidimiza
Hizo nchi za chini ziliboreshewa kwanza miundo mbinu. Leo hii mtu anaishi munich anafanya kazi berlin. Anapanda tu treni ya umeme.

Hizo nchi zina barabara za juu na chini ili kupunguza foleni watu wawahi kwenye shughuli za kiuchumi.

Hizo nchi zina huduma za afya kila mahali na huduma za maji na umeme wa uhakika ili watu wajiajiri na viwanda vitengeneze ajira.

Hiyo ni miundo mbinu.
 
Back
Top Bottom