Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Unazidi kujidhihirishia kuwa wewe hauko Sawa mkuu
Swali dogo tu hapo, unaleta dawa bila kuwa na Majengo ya kulaza na kuwatibia wagonjwa, utakuwa unafanya kazi ya kuwatembelea nyumbani kwao kuwatibu?
Ili madawa yaje, lazima kuwepo jengo maalumu la kuziweka dawa na eneo la kukutana na wagonjwa!
Vitu na watu ni na maji na samaki, elewa hivyo mkuu
Mkuu utetezi wako ni mzuri mno, ila nadhani ufafanuzi hautoshi. Ni bora umfafanulie kuwa wewe unasifia majengo ya hospitali au huduma za afya? Maana kama ni majengo kweli yapo kadhaa, au kama neno kadhaa litapunguza ladha ya sifa zinazomwagwa, ngoja tuseme majengo/hospitali nyingi kuliko hapo awali. Kisha umwambie kuwa kwa sasa mmeanza na majengo/hospitali, kisha itafuata hatua ya dawa. Hapo utakuwa umemuweka sawa. Inawezekana ww na yeye mnatofautiana kwenye mambo kadhaa, wakati ww unasifia wingi, yeye kwake huenda amejikita kwenye ubora wa huduma za afya na sio wingi wa majengo/hospitali.