zagamba deo
Member
- Oct 27, 2014
- 52
- 28
- Thread starter
- #21
Angetaka hivyo angeenda kugombea mbeya ili uzawa uwe na connectionKwenye uzawa namuunga mkono, hata Meya wa Dar au Mji wowote ule ni vizuri awe amezaliwa na kukulia kwenye mji husika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angetaka hivyo angeenda kugombea mbeya ili uzawa uwe na connectionKwenye uzawa namuunga mkono, hata Meya wa Dar au Mji wowote ule ni vizuri awe amezaliwa na kukulia kwenye mji husika
Lisu nasikia Ni mkenyaMeko tunasikia ni mrundi
Mwalimu Nyerere alisema ukianza kubagua watu kwa namna yoyote hile hi dhambi Ni mbaya Ni sawa ukianza kula nyama ya mtu kamwe hutoacha.Nadhani si hoja kama mleta mada, Mbunge ni diwani pia inafaa awe mwenyeji eneo husika kujua vema mahitaji na kero eneo husika.Bony go... umewashika pabaya washindani wako. Itapendeza sana uwepo wako mjengoni kichwa chako ni sawa na wapiga makofi 50.
Aende mbeya Kama ndio hayoKwenye uzawa namuunga mkono
Mwalimu Nyerere alisema ukianza kubagua watu kwa namna yoyote hile hi dhambi Ni mbaya Ni sawa ukianza kula nyama ya mtu kamwe hutoacha.Kwenye uzawa namuunga mkono
Angetaka hivyo angeenda kugombea mbeya ili uzawa uwe na connection
Mkuu mpe kura Kitila Mkumbo halafu utakuja kuona maendeleo ya ghafla ktk jimbo lenuHaa ahaa hakika MATAGA mmekamatika mwaka huu mlidhani jina lake alitapita mkamalizia ela yenu yoote ya kampeni kwa kumuonga Beatrice(Mkurugenzi) baada ya kuwaingiza choo cha jeshini kuwa atahakikisha anamkata. Ikashindakana mkajaribu kumzuia kufanya kampeni hola...Tatizo hamjaelewa siri ya kwanini wanaubungo wanamtaka yeye. Pamoja na mazuri yake Bonny ana sifa nyingine ya mvuto kama alivyokuwa nayo Lowassa 2015 kulinganisha na huyo sijui kitila Kitumbo ambaye akiwa anaongea ni kama mtu aliyelailia mbege kwanza hatumuelewagi anongea nini ..yaani hata mvuto tu hamna. Mvuto ni muhimu saana kwenye siasa. Jiulizeni kwanini Lisuu hajajenga hata calavart moja lakini wananchi wanampenda kuliko JIWE
🤣 🤣 🤣 🤣 dah. JF kuna majibuNa hao uliowapiga picha ni mijusi au?
Kama hangekuwa tishio kwa CCM vizingitii vyote vya nini? Muacheni awe huru na kampeni zake..Huyu dogo kashashindwa.