Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
..kuna watu hawa-fit Dsm/mijini na hawa-fit vijijini walikozaliwa.
..unaweza kukuta mhusika ameondoka kijijini wakati amemaliza shule ya msingi.
..na anatembelea kijijini muda mfupi wakati wa likizo tu, tena siyo kila mwaka.
Nilichotaka kusema ni kwamba ni vizuri Mgombea alijue vizuri eneo analotaka kuliongoza changamoto zake mfano mimi mahali nilipokulia ukiniuliza nikwambie changamoto zake nitakwambia vizuri sana kwa maana nazijua, ni sawa na kutaka kwenda kugombea uongozi kwa mfano Mtwara wanakolima korosho au Mbeya wanakolima Maparachichi wakati haujui chochote kuhzsu hilo eneo na changamoto zinazowakabili watu wa eneo hilo utawezaje kutatua tatizo? Lkn fikiria mtu aliyezaliwa na kukulia hilo eneo labda hata wazazi wake ni Wakulima wa korosho au Maparachichi huoni kwamba anaweza kuwa mtu mwenye manufaa zaidi klk mgeni?