Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Nchi hii ili kuwe na adabu tunawahitaji wakina Tundu kama 20 tuuuuuuuuSiku moja kabla ya kupiga kura, Diwani atashangazwa sana pale wanaume wawili watakapo mwambia akae pembeni wananchi waamue. Hatoamini
Ule moshi wa kule Lindi uliharibu mambo.anaumwa nini ?
Mbona wananchi ambao ni maboss wake hatujulishwi huyu mfanyakazi wetu anaumwa nini
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.
Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.
Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.
Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
View attachment 1596968
Ana relax, ajue uchaguzi ni uchaguzi tu chochote kinaweza kutokea wakati wowote.
Sala za Watanzania juu ya umwagaji damu za watu.Ule moshi wa kule Lindi uliharibu mambo.
Kwani mgombea lazima awe yeye ?Ule moshi wa kule Lindi uliharibu mambo.
Anagombea Jimbo gani na candidate mwenzake yukoje?Huyu ni yule alie waambia wakulima wa mbaazi wale mbaazi zao wasiilamu serikali kuharibu soko.
Hali yake ni taabani jimboni. Nae nitafurahi wapiga kura mkimtuma akalime ili ale mazao atakayo pata. View attachment 1597106
Wenye matatizo makubwa huwa wanaenda kutibiwa kwa mashoga wenzao na kurudi wakiwa na vyuma mwilini! Wazima wanadeliver hata wasipoonekana!Rais ana tatizo la moyo ambalo kwa siku za karibuni limekuwa kubwa maradufu.
Wenye matatizo makubwa huwa wanaenda kutibiwa kwa mashoga wenzao na kurudi wakiwa na vyuma mwilini! Wazima wanadeliver hata wasipoonekana!
Mikutano ya kampeni ya CCM ni ya ajabu sana. Juzi nilikuwa naangalia uwanja wa Mkapa nikaona karibia 90% ya walioingia pale walikuwa wamevaa nguo za chama na Zanzibar pia hivyo hivyo. Hii inamaanisha kwamba hamna wananchi wa kawaida wasii na upande wanaoenda kusikiliza sera za chama tawala. Sasa sijui wanatudanganya sisi wananchi au wanajidanganya wenyewe. Wakae wakijua sisi wananchi tarehe 28 tuna jambo letu na matokeo watayapata.Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.
Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.
Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.
Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
View attachment 1596968
Maana kumtoa mtoa Simiyu mpaka Dar kwa lorry ni safari ya siku kadhaaAkifanya kampeni kila siku hatapata watu Wa kujaza uwanja,ndo mana anapumzika ili makada wapate muda Wa kukusanya wannchi kwa kuwagawia t-shirts na kofia na buku tanotano.column ikishatimia ndo mze baba anaambiwa akapige kampeni mahali husika.
JPM hana sababu ya kufanya kampeni, kazi kubwa ilishafanyika yeye ni kufuatilia kuona anapata viongozi zaidi wa CCM kuanzia ngazi ya chini ili kufanya maendeleo kwa Watanzania.Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.
Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.
Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.
Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
View attachment 1596968
Wote hao uliowataja, labda Bulaya, anaweza shinda waliobaki, wana hali mbaya sanaMwanzoni kama Mwana CCM niliona kama CCM itashinda kwa zaidi ya 80 lakini kwa sasa jinsi upepo ulivyobadilika inatakiwa CCM tubadili mbinu ya kampeni zetu.
Taarifa ya Ndugu Polepole kuwa CCM itashinda kwa asilimia 85 siyo ya kweli. Hata kwenye Ubunge upepo siyo mzuri. Angalieni kule kwa Sugu, Pareso, Lema, Heche, Matiko, Wenje na Bulaya naona kama mambo yamebadilika sana.
Chukueni hatua za haraka ili uchaguzi huu tushinde kwa kishindo.
Kama alipiga push up kwa mgonjwa lowasa,Sasa Yuko taabani kwa TL.Mungu anatupenda sanaHata mimi ningepumzika, hakuna upinzani siyo kama 2015, hata foreign media tu hazitangazi chochote na hakuna anayejua hata kama Tanzania kuna uchaguzi mwezi huu hata hapo Kenya tu hawajui, ...
Kampeni ya CCM inafanywa kisayansi. Nashangaa huoni hayo. Wajumbe wa Kamati Kuu na JPJM wamepangiwa ratiba kamilifu. Kwenye majimbo na kata pia mipango kamilifu. Ngoja tarehe 28 mweziKwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.
Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.
Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.
Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
View attachment 1596968