Kwani tbc yenu haisikiki nje ya mipaka ya nchi? Nawapenda Sana mataga kwani yanalazimisha kubaki matagani ilihali akili na nafsi zao zipo upinzani! Mfano mzuri ni wewe unayelalamika vyombo vya habari kupigwa super glue mdomoni na ccm kutokuripoti lolote!Hata mimi ningepumzika, hakuna upinzani siyo kama 2015, hata foreign media tu hazitangazi chochote na hakuna anayejua hata kama Tanzania kuna uchaguzi mwezi huu hata hapo Kenya tu hawajui, ...
Duuuu mwaka huu uongo ndiyo mtaji wenu. Hivi JPJM na TAL nani mzalendo??? TAL anataka kuuza nchi yetu kwa kukumbatia Wazungu. Ilani yao itaweka dhamana madini yetu kwa Wazungu. Kila siku anatetea sera za makaburu wanaotaka kuja kupora mali zetu. TAL tayari Novemba hii atakimbilia Belgium. Anahamasisha fujo ole wako ukikubali ushauri huo maana atakuacha solemba. TAL anamini anayezungumza Kiingereza ndiyo bomba; huyu bado mtumwa wa Mabeberu.Sasa kwa akili ya kawaida unategemea ccm watashinda bila kutumia ubavu , mapanga na mitutu ya bunduki ?
Ccm hawakubaliki na kila nwananchi mzalendo.
Sent using Jamii Forums mobile app
"kerere"Wapi ambapo hajaenda?
Uliambiwa kuwa ataanza j tatu kwa dar mikutani miwili kisha anasepa mikoa mingine sasa wewe unahangaika na mtu ambae keshashinda?
Mshindani ndo hayupo kabisa ni kerere tu ndo anazo.
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.
Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.
Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.
Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
View attachment 1596968
Magufuli ameharibu vitu vingi sana.
Kama Tanzania igekuwa ni nchi yenye kuwa na katiba nzuri, Raia wenye mwamko bora wa kisiasa (political will).
Katiba bora na Tume huru ya uchaguzi basi magufuli angekuwa anapumulia mashine.
Lissu alionya kuwa uchaguzi huu utakuwa mgumu sana na pia hataweza kukubali kuibiwa kura hata moja. Hayupo tayari kudhulumiwa haki kwa kigezo kuwa anamuachia Mungu.
Na pia lissu ana Connection kubwa na Nyingi nje ya nchi za kuakikisha uchaguzi unaenda kwa haki na amani
Kukosekana kwa katiba nzuri Policeccm Dola na Raia wasio na uelewa wa kisiasa, wapumbavu, wajinga na masikini basi CCM itashinda uchaguzi.
Labda amechukua mikopo akifikiria ataishije bila kura
Hadi wenyewe wanaccm wanasema bora atokeVitendo gani? Yani mtu aivuruge nchi wewe useme ametafuta ushindi kwa vitendo? Halafu inajulikana wazi kuwa Rais ana tatizo la moyo ambalo kwa siku za karibuni limekuwa kubwa maradufu. Hayo mengine uliyoeleza ni porojo tupu. In short Magufuli kavuruga pakubwa mifumo ya nchi.
kuna kazi za urais pia anatakiwa kuzifanyaWiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.
Mkuu kumshinda Lema, Sugu na Heche lazima kazi ya ziada itumike.Wote hao uliowataja, labda Bulaya, anaweza shinda waliobaki, wana hali mbaya sana
Kikwete aliyefanya kampeni usiku na mchana hakuwa na kazi za urais.kuna kazi za urais pia anatakiwa kuzifanya
. Kwanjinsi inavoonyesha wewe ndo maskini Mjinga na mpumbavu wa kwanza hizo connection za wazungu ndizo zinawaliza Libya na Sudan mpaka leo Bora hata ungesema atasimama mwenyewe mbn CDM mtaleta Vita ambayo haina ulazima nakuhakikishia Lisu hatoona k2 ikulu cyo office ya Kijiji my friendMagufuli ameharibu vitu vingi sana.
Kama Tanzania ingekuwa ni nchi yenye kuwa na katiba nzuri, Raia wenye mwamko bora wa kisiasa (political will).
Katiba bora na Tume huru ya uchaguzi basi magufuli angekuwa anapumulia mashine.
Lissu alionya kuwa uchaguzi huu utakuwa mgumu sana na pia hataweza kukubali kuibiwa kura hata moja. Hayupo tayari kudhulumiwa haki kwa kigezo kuwa anamuachia Mungu.
Na pia Lissu ana connection kubwa na Nyingi nje ya nchi za kuhakikisha uchaguzi unaenda kwa haki na amani
Kukosekana kwa katiba nzuri Policeccm Dola na Raia wasio na uelewa wa kisiasa, wapumbavu, wajinga na masikini basi CCM itashinda uchaguzi.
Wengi wa wanaolia Libya ni wale waliokuwa wamezoea kulamba miguu ya watawala mirija imekatika.. Kwanjinsi inavoonyesha wewe ndo maskini Mjinga na mpumbavu wa kwanza hizo connection za wazungu ndizo zinawaliza Libya na Sudan mpaka leo Bora hata ungesema atasimama mwenyewe mbn CDM mtaleta Vita ambayo haina ulazima nakuhakikishia Lisu hatoona k2 ikulu cyo office ya Kijiji my friend
Na kweli kabisa mimi ni mpinzani ila uchaguzi huu hakuna ushindi sijui hata kama tutapata robo ya kura alizopata Lowassa tupo mitandaoni sana mtaani hatuonekani kabisa.Ukiona mpinzani wako anasikitika vile unavyoendesha mambo yako hadi kufikia hatua ya kukushauri cha kufanya ili ushinde wewe jua tuu ni ulishamshinda, yaani wewe ni mshindi
Hongera kwao CCM
. Hivi unaijua Sheria na katiba ya Libya au umeongea 2Wengi wa wanaolia Libya ni wale waliokuwa wamezoea kulamba miguu ya watawala mirija imekatika.
Mmh,Rais Magufuli hata asipofanya kampeni ushindi ni 98%
Ameifanyia Tanzania makubwa
Tupo mitandaoni mitaani hatuonekani hahaa,. Na kweli kabisa Mimi Ni mpinzani ila uchaguzi huu hakuna ushindi cjui hata Kama tutapata robo ya kura alizopata lowasa tupo mitandaoni Sana mtaani hatuonekani kbs