Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,921
- 8,321
Hao mnawasingizia magu katamka mwenyewe anaomba kusuguliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao mnawasingizia magu katamka mwenyewe anaomba kusuguliwa
We jamaa una kazi sana...buku saba itakutoa roho...mbona umewazidi wenzio kutetea?au mgao wako mkubwa nn?View attachment 1596807 hawa ndio wasuguaji waliashindikana
Umesikia gari la mkaa tena liko gereji? Bwaaaaha ha ha ha haaaaa!Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Anatembea na AC au radiator? Hii imekuwa gari?View attachment 1596792
Kwa hisani ya kamtambo
Nakwambia akipiga kampeni siku 10 mfululizo tunamwimbia parapanda! Atatugharimu kusogeza mbele uchaguzi bora aendelee kwenda gereji tu kila baada ya siku 2.Jiwe Mgonjwa maana amepauka
Pole sana kwa kujifanya wajua hata usiyoyajuaWewe nawe mzito kuelewa, kumwambia Tundu ajitoe ni sawa na kumshauri namna bora ya kufanya kampeni?
Tundu alishauriwa aachane na habari ya kutaka dola asubiri kazi ndogo ndogo baada ya 28102020
Kama kampeni zake zimepwaya, hamkupaswa kulalamika,mngeichukulia Hali hiyo Kama advantage kwenu ili mshinde uchaguzi huu.Anapumzika kwa sababu ndio ushauri aliopewa na daktari, kama anajiamini mwambie apige tena zile "push up" zake uone kama uchaguzi haujaahirishwa.
Usisahau kuwa, hata gari lenu mlilonunua kutoka Belgium lina vyuma Kama vyote tu.Nakwambia akipiga kampeni siku 10 mfululizo tunamwimbia parapanda! Atatugharimu kusogeza mbele uchaguzi bora aendelee kwenda gereji tu kila baada ya siku 2.
Fanyeni hivyo pia.Hatua zipi sasa? Mbinu pekee iliyobaki ni kuiba kura tu. Period
Mgombea wenu siku hizi anatembea na radiator utafikri gari!Usisahau kuwa, hata gari lenu mlilonunua kutoka Belgium lina vyuma Kama vyote tu.
Mikutano ya CCM Ni fursa kwa kila raia yeyote anaejitambua, wakiwemo wasanii.Ndo tegemeo lao hao insta kumejaa vijembe vya harmonize na mond wala hawaongelei sera za ccm wacha wasanii watumie kutafuta kiki kwenye mikutano ya ccm
Wenu mbona anatembea Kama tipa linabinua mchanga na hatusemi,,😃?Mgombea wenu siku hizi anatembea na radiator utafikri gari!
Acha upumbavu wewe kama huna masikio basi hata macho huna utafiti gani umefanya wewe sijui uko dunia gani watu watakucheka ccm hadi sasa ushindi ni asilimia 90 na zaidi watanzania wote wanaelewa hivyo.
Kura yako itaharibika,kwahiyo muache akusemee tuumenijumuisha nami? acha upumbavu wa kusemea watu
Watanzania wanawaona wapinzani kama inzi sasaMaendeleo aliyofanya ni 70% ya kampeni saizi anamalizia 30% iliyobaki kwa kupanda majukwaani kuomba kura. Mwamba ameshashinda mioyoni mwa wazalendo wote tunasubiri 28 kuthibitisha tu kwenye karatasi
Wafuasi wa Tundu mna taabu kubwa. Mnajipa cheo cha kumjua Magufuli zaidi hata ya anavyojijua yeye nwenyewePole sana kwa kujifanya wajua hata usiyoyajua
kama utaihalibu wwKura yako itaharibika,kwahiyo muache akusemee tu
Umewahi kujiuliza watanzania wanawaonaje wafuasi wa CCM???? Anything rubbish/useless in life = CCMWatanzania wanawaona wapinzani kama inzi sasa
Wafuasi wa Tundu mna taabu kubwa. Mnajipa cheo cha kumjua Magufuli zaidi hata ya anavyojijua yeye nwenyewe
Mgonjwa huyo hana uwezo wa kusimama zaidi ya nusu jukwaani saa , gari la mkaa liko gereji .Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.
Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.
Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.
Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.