The Hebrew
JF-Expert Member
- Feb 7, 2015
- 348
- 445
Ushamlevya tayari, hapo ndipo mambo yalianzia.Rais Magufuli hata asipofanya kampeni ushindi ni 98%
Ameifanyia Tanzania makubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushamlevya tayari, hapo ndipo mambo yalianzia.Rais Magufuli hata asipofanya kampeni ushindi ni 98%
Ameifanyia Tanzania makubwa
Kujidanganya kwa ndio faida kwa wapenda haki na wazalendo was taifa hili.Mwanzoni kama Mwana CCM niliona kama CCM itashinda kwa zaidi ya 80 lakini kwa sasa jinsi upepo ulivyobadilika inatakiwa CCM tubadili mbinu ya kampeni zetu.
Taarifa ya Ndugu Polepole kuwa CCM itashinda kwa asilimia 85 siyo ya kweli. Hata kwenye Ubunge upepo siyo mzuri. Angalieni kule kwa Sugu, Pareso, Lema, Heche, Matiko, Wenje na Bulaya naona kama mambo yamebadilika sana.
Chukueni hatua za haraka ili uchaguzi huu tushinde kwa kishindo.
Yupo garage anamwaga oil mpyaKwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.
Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.
Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.
Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
Afe tu
Haumwi ila kinga mwilini mwake zimepungua sanaanaumwa nini ?
Mbona wananchi ambao ni maboss wake hatujulishwi huyu mfanyakazi wetu anaumwa nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Zinapungua vipi wakati ni mtu anayeongozwa Afrika nzima kwa kupokea intensive care katika all aspects of his life.Haumwi ila kinga mwilini mwake zimepungua sana
Yaani JPM kakata tamaa. Hata hao mapolisi na matume. Wanakaribia kuchoka kunsaidia mtu aliyekata tama inachosha sana.Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.
Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.
Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.
Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
Jpm kakata tamaa. Hata kampeni analazimishwa tu angezibwaga chini.Atakayelia ni yule mropkaji na msaliti wa Nchi Lissu atajuta huu mwaka
Maji yameshamwagika hayazoleki tena. Hata hao Tume na Mapolisi eataeachoka tu.Mwanzoni kama Mwana CCM niliona kama CCM itashinda kwa zaidi ya 80 lakini kwa sasa jinsi upepo ulivyobadilika inatakiwa CCM tubadili mbinu ya kampeni zetu.
Taarifa ya Ndugu Polepole kuwa CCM itashinda kwa asilimia 85 siyo ya kweli. Hata kwenye Ubunge upepo siyo mzuri. Angalieni kule kwa Sugu, Pareso, Lema, Heche, Matiko, Wenje na Bulaya naona kama mambo yamebadilika sana.
Chukueni hatua za haraka ili uchaguzi huu tushinde kwa kishindo.
Hivi ccm ile chopper waliyokuwa wanai post post mitandaoni wataanza lini kutumia rasmi ?
Au walikuwa tu wanawaiga Chadema, waige na kutotumia mabango basi kama wana ubavu
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais Magufuli ana uhakika wa kushinda 95% sasa anaendelea na kazi za urais kama kawaida na wasaidizi wake wanaendelea na kampeni kama kawaida Mama Samia, Waziri Mkuu Majaliwa, M/Mwenyekiti Bara Mangula na Timu ya Ushindi upande wa Zanzibar wanaendelea na Kampeni kama kawaida. Unafikiri CCM kama Saccos ya Chadema ambayo inamtegemea Msaliti Lissu pekee yake!!? Mtasubiri sana!
Leo mh! magufuli yupo wapi?Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Unataka Magufuli ajikute amezungukwa na wakina polepole peke yao na wale jamaa wenye mabunduki kama wako vitani ?Wakumbushe pia kuiga kutotumia wasanii na kusomba watu kwa buku 5 ili kuongeza vichwa
Kwa sababu kakata tamaa. Yaani ili afanye mkutano mpaka watu wasombwe kutoka maeneo mengine ya mbali. Ingekuwa wewe ungefanyaje?Wewe mnazi wa Chadema, unahangaika naye ili iweje?
Lisu hana kura za kuibiwaMagufuli ameharibu vitu vingi sana.
Kama Tanzania igekuwa ni nchi yenye kuwa na katiba nzuri, Raia wenye mwamko bora wa kisiasa (political will).
Katiba bora na Tume huru ya uchaguzi basi magufuli angekuwa anapumulia mashine.
Lissu alionya kuwa uchaguzi huu utakuwa mgumu sana na pia hataweza kukubali kuibiwa kura hata moja. Hayupo tayari kudhulumiwa haki kwa kigezo kuwa anamuachia Mungu.
Na pia lissu ana Connection kubwa na Nyingi nje ya nchi za kuakikisha uchaguzi unaenda kwa haki na amani
Kukosekana kwa katiba nzuri Policeccm Dola na Raia wasio na uelewa wa kisiasa, wapumbavu, wajinga na masikini basi CCM itashinda uchaguzi.
Hehee tumeshawashtulia. Dili limekwama.
Endapo ataacha kwenda kwenye baadhi ya Mikoa basi ni wazi kuwa kawafikishia ujumbe Wapiga Kura kuwa yeye ni Mbaguzi na mwenye Visasi.He is sick and tired, hawezi vurugu za kampeni, ndio maana Waziri Mkuu anavunja sheria za uchaguzi makusudi ili kuokoa jahazi, sheria kwenye kampeni anatakiwa mgombea na mgombea mwenza pekee.
Wapi ambapo hajaenda?Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.
Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.
Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.
Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
Nadhani Hajui Kuwa Umoja, Upendo, Mshikamano Upo Kwasababu Ya Uoga Wetu Watanzania, Mwaka Ambao Tutaondoa Nidhamu Ya Uoga Na Kuwachagua Viongozi Tunaowataka Na Kuhakikisha Tunawasimamia Wanapatikana Hayo Maneno Tunayaweka Pembeni Kwanza...Yaani JPM kakata tamaa. Hata hao mapolisi na matume. Wanakaribia kuchoka kunsaidia mtu aliyekata tama inachosha sana.
Gari la mkaa limerudi gereji tena ha ha ha haaaaaa!Rais Magufuli hata asipofanya kampeni ushindi ni 98%
Ameifanyia Tanzania makubwa