Uchaguzi 2020 Kampeni za CCM mwaka huu zimepwaya sana, kapumzika tena?

Uchaguzi 2020 Kampeni za CCM mwaka huu zimepwaya sana, kapumzika tena?

Mwanzoni kama Mwana CCM niliona kama CCM itashinda kwa zaidi ya 80 lakini kwa sasa jinsi upepo ulivyobadilika inatakiwa CCM tubadili mbinu ya kampeni zetu.

Taarifa ya Ndugu Polepole kuwa CCM itashinda kwa asilimia 85 siyo ya kweli. Hata kwenye Ubunge upepo siyo mzuri. Angalieni kule kwa Sugu, Pareso, Lema, Heche, Matiko, Wenje na Bulaya naona kama mambo yamebadilika sana.

Chukueni hatua za haraka ili uchaguzi huu tushinde kwa kishindo.
Kujidanganya kwa ndio faida kwa wapenda haki na wazalendo was taifa hili.
 
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.

Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.

Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.

Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
Yupo garage anamwaga oil mpya
 
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.

Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.

Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.

Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
Yaani JPM kakata tamaa. Hata hao mapolisi na matume. Wanakaribia kuchoka kunsaidia mtu aliyekata tama inachosha sana.
 
Mwanzoni kama Mwana CCM niliona kama CCM itashinda kwa zaidi ya 80 lakini kwa sasa jinsi upepo ulivyobadilika inatakiwa CCM tubadili mbinu ya kampeni zetu.

Taarifa ya Ndugu Polepole kuwa CCM itashinda kwa asilimia 85 siyo ya kweli. Hata kwenye Ubunge upepo siyo mzuri. Angalieni kule kwa Sugu, Pareso, Lema, Heche, Matiko, Wenje na Bulaya naona kama mambo yamebadilika sana.

Chukueni hatua za haraka ili uchaguzi huu tushinde kwa kishindo.
Maji yameshamwagika hayazoleki tena. Hata hao Tume na Mapolisi eataeachoka tu.
 
Amekata tamaa. Haoni future.
Rais Magufuli ana uhakika wa kushinda 95% sasa anaendelea na kazi za urais kama kawaida na wasaidizi wake wanaendelea na kampeni kama kawaida Mama Samia, Waziri Mkuu Majaliwa, M/Mwenyekiti Bara Mangula na Timu ya Ushindi upande wa Zanzibar wanaendelea na Kampeni kama kawaida. Unafikiri CCM kama Saccos ya Chadema ambayo inamtegemea Msaliti Lissu pekee yake!!? Mtasubiri sana!
 
Wewe mnazi wa Chadema, unahangaika naye ili iweje?
Kwa sababu kakata tamaa. Yaani ili afanye mkutano mpaka watu wasombwe kutoka maeneo mengine ya mbali. Ingekuwa wewe ungefanyaje?
Magu naye ni binadamu jamani.
 
Magufuli ameharibu vitu vingi sana.

Kama Tanzania igekuwa ni nchi yenye kuwa na katiba nzuri, Raia wenye mwamko bora wa kisiasa (political will).
Katiba bora na Tume huru ya uchaguzi basi magufuli angekuwa anapumulia mashine.

Lissu alionya kuwa uchaguzi huu utakuwa mgumu sana na pia hataweza kukubali kuibiwa kura hata moja. Hayupo tayari kudhulumiwa haki kwa kigezo kuwa anamuachia Mungu.

Na pia lissu ana Connection kubwa na Nyingi nje ya nchi za kuakikisha uchaguzi unaenda kwa haki na amani

Kukosekana kwa katiba nzuri Policeccm Dola na Raia wasio na uelewa wa kisiasa, wapumbavu, wajinga na masikini basi CCM itashinda uchaguzi.
Lisu hana kura za kuibiwa
 
He is sick and tired, hawezi vurugu za kampeni, ndio maana Waziri Mkuu anavunja sheria za uchaguzi makusudi ili kuokoa jahazi, sheria kwenye kampeni anatakiwa mgombea na mgombea mwenza pekee.
Endapo ataacha kwenda kwenye baadhi ya Mikoa basi ni wazi kuwa kawafikishia ujumbe Wapiga Kura kuwa yeye ni Mbaguzi na mwenye Visasi.

Kuna baadhi ya Wana ccm wenzake wanaotoa minong'ono kuwa Mzee ana Kamati yake ndogo ya Ufundi inayoratibu shughuli zake zote. Yaani wapi na lini aende wakati gani apumzike na lini apige kazi.
 
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.

Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.

Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.

Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
Wapi ambapo hajaenda?
Uliambiwa kuwa ataanza j tatu kwa dar mikutani miwili kisha anasepa mikoa mingine sasa wewe unahangaika na mtu ambae keshashinda?
Mshindani ndo hayupo kabisa ni kerere tu ndo anazo.
 
Yaani JPM kakata tamaa. Hata hao mapolisi na matume. Wanakaribia kuchoka kunsaidia mtu aliyekata tama inachosha sana.
Nadhani Hajui Kuwa Umoja, Upendo, Mshikamano Upo Kwasababu Ya Uoga Wetu Watanzania, Mwaka Ambao Tutaondoa Nidhamu Ya Uoga Na Kuwachagua Viongozi Tunaowataka Na Kuhakikisha Tunawasimamia Wanapatikana Hayo Maneno Tunayaweka Pembeni Kwanza...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom