Uchaguzi 2020 Kampeni za CCM mwaka huu zimepwaya sana, kapumzika tena?

Uchaguzi 2020 Kampeni za CCM mwaka huu zimepwaya sana, kapumzika tena?

Ukiona mpinzani wako anasikitika vile unavyoendesha mambo yako hadi kufikia hatua ya kukushauri cha kufanya ili ushinde wewe jua tuu ni ulishamshinda, yaani wewe ni mshindi

Hongera kwao CCM
Mbona unamsema meko kiaina,habari za kumwomba lissu ajitoe kwenye uchaguzi mwaka huu hamna.
 
Maendeleo aliyofanya ni 70% ya kampeni saizi anamalizia 30% iliyobaki kwa kupanda majukwaani kuomba kura. Mwamba ameshashinda mioyoni mwa wazalendo wote tunasubiri 28 kuthibitisha tu kwenye karatasi
 
wewe unahangaika nini.si uendelee kuhudhuria kampen za mgombea wako.acha unayeona anapumziak.matakacle yanakuwsha??
 
wewe unahangaika nini.si uendelee kuhudhuria kampen za mgombea wako.acha unayeona anapumziak.matakacle yanakuwsha??
 
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.

Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.

Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.

Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
Gari la mkaa trip moja porini, Siku nne gereji.
 
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.

Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.

Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.

Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
Tinakushukuru kwa Ushauri wako, tutauchuja na tutaufikiria
 
He is sick and tired, hawezi vurugu za kampeni, ndio maana Waziri Mkuu anavunja sheria za uchaguzi makusudi ili kuokoa jahazi, sheria kwenye kampeni anatakiwa mgombea na mgombea mwenza pekee.
Hivi Magufuli na Lissu nani mgonjwa hata kwa kuangalia kwa macho
 
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.

Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.

Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.

Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
IMG_20200927_112405.jpg
 
Back
Top Bottom