Uchaguzi 2020 Kampeni za CCM mwaka huu zimepwaya sana, kapumzika tena?

Uchaguzi 2020 Kampeni za CCM mwaka huu zimepwaya sana, kapumzika tena?

Kwa sa
Hata mimi ningepumzika, hakuna upinzani siyo kama 2015, hata foreign media tu hazitangazi chochote na hakuna anayejua hata kama Tanzania kuna uchaguzi mwezi huu hata hapo Kenya tu hawajui, ...
Kwa sababu ubongo wako umejaa mavi ndo unaamini hivyo yaani ccm ina watu wa puuzi balaa jitu zima lina vichwa vitatu kabisa unaandika utumbo kama huu, kusoma usijue hata picha pia unashindwa kutambua
 
Huyo utamuona tena jumatano jimbo la Kawe pale Tanganyika kwa Mwaiposa. Naona matangazo kuwa watakuwepo Diamond, Konde na Kiba
Ndo tegemeo lao hao insta kumejaa vijembe vya harmonize na mond wala hawaongelei sera za ccm wacha wasanii watumie kutafuta kiki kwenye mikutano ya ccm
 
kafanya kampeni nonstop kwa miaka mitano tena peke yake wengine wakiwa kimya, hapa kazi tu ilikuwa hapa mubashara tu.., waliofuta Bunge live ili tufanye kazi sijui wanamajibu gani na hili
 
Yule Rais wa nchi fulani ya Afrika mashariki,nchi ya dona kantri amepumzika kampeni baada ya kuwa arrested by cardiac arrest!
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Utakuwa umeachwa kwa akili mbovu ulizonazo kiasi kwamba hiyo ndo msg kuu unayoandika kila siku, msaliti msaliti nadhani hadi ukiwa unakula unaropoka msaliti
 
Mikutano ya ccm huifuatilii nadhani hiyo ni tafiti ndogo hata kama huna akili unaona.mwitikio mkubwa mikutano yetu yote.
Unaongelea mikutano au mseto wa fiesta na wasafi festival?
So utafiti wako umehusisha kuangalia watu wanaohudhuria mikutano ya kampeni tu na wewe unaona umefanya utafiti? Una uhakika gani wote waliohudhuria mikutano watakupigia kura? Vipi kuhusu umati mkubwa wa under 18 nao watakupigia kura? nawasilisha.
 
Magufuli ameharibu vitu vingi sana.

Kama Tanzania igekuwa ni nchi yenye kuwa na katiba nzuri, Raia wenye mwamko bora wa kisiasa (political will).
Katiba bora na Tume huru ya uchaguzi basi magufuli angekuwa anapumulia mashine.

Lissu alionya kuwa uchaguzi huu utakuwa mgumu sana na pia hataweza kukubali kuibiwa kura hata moja. Hayupo tayari kudhulumiwa haki kwa kigezo kuwa anamuachia Mungu.

Na pia lissu ana Connection kubwa na Nyingi nje ya nchi za kuakikisha uchaguzi unaenda kwa haki na amani

Kukosekana kwa katiba nzuri Policeccm Dola na Raia wasio na uelewa wa kisiasa, wapumbavu, wajinga na masikini basi CCM itashinda uchaguzi.
Unayosema ni kweli isipokuwa ushindi kwa vile hautokani na kampeni pekee katika nchi za kidemokrasi basi kwa mwaka huu pamoja na Lissu kuvutia wengi na CCM kupwaya katika kila hali kuanzia maneno ya kampeni mpaka uchumi wa wateule kutoweza kufanya kampeni basi bado CCM itatangazwa ushindi.Kumbuka wizi wa kura huanza tangu hatua za uandikishaji.Muda huu wapiga kura wengi walihamasishwa kujiandikisha kwa ushawishi wa CCM kwa kutumia vivutio aina tofauti.
Kitakachofuatia hapo baada ya ccm kupata ushindi ni kwa mara ya mwanzo nchi kuanza kuingia kwenye vurugu zinazoambatana na uchaguzi.Ili kuepusha hayo inabidi CCM ifikirie mapema kutotumia dola kutangaza ushindi wa walioshindwa kati ya wagombea wake wa hatua yoyote ile kama ilivyotokea miaka iliyopita hasa 2015.
Jengine CCM iweke mapema katika ratiba zake uwezekano wa kuwavuta wapinzani katika uendeshaji wa serikali na isiwe imeshinda kwa ujanja na halafu wanatoa jeuri juu (Wembe ni ule ule ...., CCM mbele kwa mbele....) .Hapo hali itatibuka na kwa vile watu wamechoka kimaisha hata wale wanaonunuliwa kwa hongo ndogo ndogo ni rahisi sana kuitupa mkono CCM na kuwa upande wa upinzani,vurugu la aina hiyo huwa halituliziki kwa kutumia nguvu ya dola .
 
Magufuli alikwisha jipanga ashinde kwa msaada wa NEC, Police, TIS na ilishindikana hata JWTZ liingie.
Ndio maana kaamua kufanya fiesta sio kuwashawishi watanzania wamchague tena.
 
Mwanzoni kama Mwana CCM niliona kama CCM itashinda kwa zaidi ya 80 lakini kwa sasa jinsi upepo ulivyobadilika inatakiwa CCM tubadili mbinu ya kampeni zetu.

Taarifa ya Ndugu Polepole kuwa CCM itashinda kwa asilimia 85 siyo ya kweli. Hata kwenye Ubunge upepo siyo mzuri. Angalieni kule kwa Sugu, Pareso, Lema, Heche, Matiko, Wenje na Bulaya naona kama mambo yamebadilika sana.

Chukueni hatua za haraka ili uchaguzi huu tushinde kwa kishindo.
Mabox ya kurazilizopigwa yameandaliwa hofu yako nini.
 
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.

Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.

Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.

Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
Sasa kama kabureta inasumbua atafanyaje?
 
Mwanzoni kama Mwana CCM niliona kama CCM itashinda kwa zaidi ya 80 lakini kwa sasa jinsi upepo ulivyobadilika inatakiwa CCM tubadili mbinu ya kampeni zetu.

Taarifa ya Ndugu Polepole kuwa CCM itashinda kwa asilimia 85 siyo ya kweli. Hata kwenye Ubunge upepo siyo mzuri. Angalieni kule kwa Sugu, Pareso, Lema, Heche, Matiko, Wenje na Bulaya naona kama mambo yamebadilika sana.

Chukueni hatua za haraka ili uchaguzi huu tushinde kwa kishindo.
1. Heche anapulia mashine
2. Bulaya yuko ICU
3. Mdee yuko ndani ya ambulence
5. Lema yuko mortuary

Acha uongo wewe mchadema
 
Magufuli naye ni binadamu anaumia Sana anapoona anadanganywa.

Malori yanateseka kusomba watu, gharama kubwa ya kukodi wasanii halafu wasanii wakimaliza tu kutumbuiza watu wanasambaa.
 
Back
Top Bottom