kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Hakuna laana ndiyo maana CCM ukiamua kuua inaua tu.Alisaliti Watanzania laana imemwandama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna laana ndiyo maana CCM ukiamua kuua inaua tu.Alisaliti Watanzania laana imemwandama
Tukizima TV magufuli nothing he did
Kwa sababu ubongo wako umejaa mavi ndo unaamini hivyo yaani ccm ina watu wa puuzi balaa jitu zima lina vichwa vitatu kabisa unaandika utumbo kama huu, kusoma usijue hata picha pia unashindwa kutambuaHata mimi ningepumzika, hakuna upinzani siyo kama 2015, hata foreign media tu hazitangazi chochote na hakuna anayejua hata kama Tanzania kuna uchaguzi mwezi huu hata hapo Kenya tu hawajui, ...
Kiufupi hakuna mlichokifanya wazeeSisi hatuzimi Tv, tunajivunia uzalendo wa Rais Magufuli
Ndo tegemeo lao hao insta kumejaa vijembe vya harmonize na mond wala hawaongelei sera za ccm wacha wasanii watumie kutafuta kiki kwenye mikutano ya ccmHuyo utamuona tena jumatano jimbo la Kawe pale Tanganyika kwa Mwaiposa. Naona matangazo kuwa watakuwepo Diamond, Konde na Kiba
Tukizima TV magufuli nothing he did
Atakayelia ni yule mropkaji na msaliti wa Nchi Lissu atajuta huu mwaka
Utakuwa umeachwa kwa akili mbovu ulizonazo kiasi kwamba hiyo ndo msg kuu unayoandika kila siku, msaliti msaliti nadhani hadi ukiwa unakula unaropoka msalitiAtakayelia ni yule mropkaji na msaliti wa Nchi Lissu atajuta huu mwaka
Utakuwa umeachwa kwa akili mbovu ulizonazo kiasi kwamba hiyo ndo msg kuu unayoandika kila siku, msaliti msaliti nadhani hadi ukiwa unakula unaropoka msaliti
Unaongelea mikutano au mseto wa fiesta na wasafi festival?Mikutano ya ccm huifuatilii nadhani hiyo ni tafiti ndogo hata kama huna akili unaona.mwitikio mkubwa mikutano yetu yote.
Under usalama supervision!
Jenga hoja yako bila kutumia lugha ya matusiAcha upumbavu wewe
Unayosema ni kweli isipokuwa ushindi kwa vile hautokani na kampeni pekee katika nchi za kidemokrasi basi kwa mwaka huu pamoja na Lissu kuvutia wengi na CCM kupwaya katika kila hali kuanzia maneno ya kampeni mpaka uchumi wa wateule kutoweza kufanya kampeni basi bado CCM itatangazwa ushindi.Kumbuka wizi wa kura huanza tangu hatua za uandikishaji.Muda huu wapiga kura wengi walihamasishwa kujiandikisha kwa ushawishi wa CCM kwa kutumia vivutio aina tofauti.Magufuli ameharibu vitu vingi sana.
Kama Tanzania igekuwa ni nchi yenye kuwa na katiba nzuri, Raia wenye mwamko bora wa kisiasa (political will).
Katiba bora na Tume huru ya uchaguzi basi magufuli angekuwa anapumulia mashine.
Lissu alionya kuwa uchaguzi huu utakuwa mgumu sana na pia hataweza kukubali kuibiwa kura hata moja. Hayupo tayari kudhulumiwa haki kwa kigezo kuwa anamuachia Mungu.
Na pia lissu ana Connection kubwa na Nyingi nje ya nchi za kuakikisha uchaguzi unaenda kwa haki na amani
Kukosekana kwa katiba nzuri Policeccm Dola na Raia wasio na uelewa wa kisiasa, wapumbavu, wajinga na masikini basi CCM itashinda uchaguzi.
Mabox ya kurazilizopigwa yameandaliwa hofu yako nini.Mwanzoni kama Mwana CCM niliona kama CCM itashinda kwa zaidi ya 80 lakini kwa sasa jinsi upepo ulivyobadilika inatakiwa CCM tubadili mbinu ya kampeni zetu.
Taarifa ya Ndugu Polepole kuwa CCM itashinda kwa asilimia 85 siyo ya kweli. Hata kwenye Ubunge upepo siyo mzuri. Angalieni kule kwa Sugu, Pareso, Lema, Heche, Matiko, Wenje na Bulaya naona kama mambo yamebadilika sana.
Chukueni hatua za haraka ili uchaguzi huu tushinde kwa kishindo.
Sasa kama kabureta inasumbua atafanyaje?Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.
Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.
Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.
Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
1. Heche anapulia mashineMwanzoni kama Mwana CCM niliona kama CCM itashinda kwa zaidi ya 80 lakini kwa sasa jinsi upepo ulivyobadilika inatakiwa CCM tubadili mbinu ya kampeni zetu.
Taarifa ya Ndugu Polepole kuwa CCM itashinda kwa asilimia 85 siyo ya kweli. Hata kwenye Ubunge upepo siyo mzuri. Angalieni kule kwa Sugu, Pareso, Lema, Heche, Matiko, Wenje na Bulaya naona kama mambo yamebadilika sana.
Chukueni hatua za haraka ili uchaguzi huu tushinde kwa kishindo.