Kajambeee weweee ulaleNikujibuje Mpuuzi wewe? Hujaona mgombea wenu maji wakati wote na miayo mfululizo!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajambeee weweee ulaleNikujibuje Mpuuzi wewe? Hujaona mgombea wenu maji wakati wote na miayo mfululizo!!!!
Wewe ndo unataka kubishana, mimi nimeweka hoja mezani, ila wewe mzee wa chama cha mbowe ukaanza mabishano.Siwezi bishana na juha
Mkuu usibane matako, legeza ili sindano ziingie wala hautaumiaHii picha imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakihoji juu ya uwepo wa glasi moja tu ya maji
View attachment 1589363
Radiator ya cheni ni nzima sana, inayochemsha inajulikanaAcheni uzushi, maji ya Shein
Nimesikia jamaa anachukua tena likizo fupi ya kampeni, itakuwa hali tete kiafya.
Huenda labda tukapata Rais mwanamke kabla ya uchaguzi mkuu oktoba 2020
Natamani iwe hivi
Hii picha imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakihoji juu ya uwepo wa glasi moja tu ya maji
View attachment 1589363
Labda mambo ya gereji
WanaCCM wenyewe kwa wenyewe hawaaminiani.
Ajabu nini hapo.
Nimesikia jamaa anachukua tena likizo fupi ya kampeni, itakuwa hali tete kiafya.
Masharti ya mganga hayo Mkuu 😂😂
Acheni uzushi, maji ya Shein
Ha ha ha mwenye macho haambiwi tizama. Kwanini glass ipewe kiti??
Mia siajona Glass bali namuona sura ya sokwe akisoma message ya changudoa wake wa Sinza wakati wenzake wakisali.. Hivi huyu jmaa ni mzee,mtu wa makamo au kijana? mie huwa sielewi kabisa ukimumabgalia usoni unaweza ukadhani mzee wa miaka 55 kumbe hajafikisha pengineHii picha imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakihoji juu ya uwepo wa glasi moja tu ya maji
View attachment 1589363
Kuna kitu kinaitwa protocol ama itifaki huu ni utaratibu maalum kwajili ya arrange event yoyote official kuna vitu vingi huzingatiwa moja ni seating arrangement namna ya ukaji nani akae wapi na kwa nn meza kuu iwe na watu wangap na akina nani hivo basi kwa hapo unaeza kuta seating arrangement inaruhusu viti vitano tuu ukiweka saba tuu jukwa linakataa ama kwa udogo wa jukwa ama kwa sababu za kiusalama hivo itakulazm utumie viti vinne na hivo hivo kwa swala la MezaHii picha imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakihoji juu ya uwepo wa glasi moja tu ya maji
View attachment 1589363
Hii picha imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakihoji juu ya uwepo wa glasi moja tu ya maji
View attachment 1589363
Ana miaka 58 ni mtu mzima anaeza kua baba yako kabisa sema mwili wake ni wa mazoezi ndo mana anaonekana kijanaMia siajona Glass bali namuona sura ya sokwe akisoma message ya changudoa wake wa Sinza wakati wenzake wakisali.. Hivi huyu jmaa ni mzee,mtu wa makamo au kijana? mie huwa sielewi kabisa ukimumabgalia usoni unaweza ukadhani mzee wa miaka 55 kumbe hajafikisha pengine
Hawa ndio wanaongoza kwa kutafuna pesa za watz msimu huuHii picha imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakihoji juu ya uwepo wa glasi moja tu ya maji
View attachment 1589363
Sio rahisHuenda labda tukapata Rais mwanamke kabla ya uchaguzi mkuu oktoba 2020
Hii picha imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakihoji juu ya uwepo wa glasi moja tu ya maji
Kati ya Tarehe 29 na 30 kutatokea jambo moja litakalowafurahisha watz wote wapenda haki na amani ila si la kumshinda kichaa mpenda ngono bali jiwe halitakuwa nasi tena ndani ya tz mpya
Watanzania wangekuwa na imani na maccm wasingetaka uwazi kwenye Uchaguzi na kura kuhesabiwa hadharani.
View attachment 1589416