mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,227
- 6,670
Kamwe utakuwa na uwezo wa kujibu hoja zangu zaidi ya matusi.Mataga umepanic.
Kajambe ulale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamwe utakuwa na uwezo wa kujibu hoja zangu zaidi ya matusi.Mataga umepanic.
Kajambe ulale.
Tena glasi yenyewe kwenye kiti cha kukalia na sio mezaniHii picha imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakihoji juu ya uwepo wa glasi moja tu ya maji
View attachment 1589363
Lijuakali...: jinsi chadema tulivyoiba kura..."
Vjva Magu 2020 to 2030
Kule kwenye chama cha Mbowe mnaaminiana?.WanaCCM wenyewe kwa wenyewe hawaaminiani.
Alitegemea upuuzi hivo hivo mkuuSasa kama unauliza upuuzi ulitegemea nini?
Hapo angekuwa Mbowe, faru John zingekuwa za kutosha hapo mezani. Saccos kazi mnayo.Hii picha imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakihoji juu ya uwepo wa glasi moja tu ya maji
View attachment 1589363
Ile sio glass mkuu. Mshana jr. Hebu njoo uwafunulie wana yalijificha.Ha ha ha mwenye macho haambiwi tizama. Kwanini glass ipewe kiti??
Baada ya kazi ni kuburudika tu.Hii picha imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakihoji juu ya uwepo wa glasi moja tu ya maji
View attachment 1589363
Iko juu yw stuli buanaGlass ya maji imepewa siti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni mwenye UFINYU wa akili tu ndiye anayeweza kumuamini huyo ZWAZWA. Chadema itaibaje kura wakati kitengo cha maccm maalum kwa wizi wa kura tumeccm kipo kazini.
Baada ya hapa wananchi walianza kutawanyikaHii picha imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakihoji juu ya uwepo wa glasi moja tu ya maji.
Wengine wanapiga dua, Polepole yuko busy na simu
View attachment 1589363
Ahsante sana mtoa post. Tulisema CCM itafanya kampeni mkoa kwa mkoa, wilaya kwa wilaya, kata kwa kata, mtaa kwa mtaa, nyumna kwa nyumba, mtu kwa mtu. Naona na wewe CCM imekufikia na unaisaidia kufanya kampeni. Tafadhali endelea kusambaza picha hii kwenye mitandao mingine ili kuwafikia wengi zaidi ili Oktoba 28 waweze kuikumbuka na kuipa kura CCM. Ahsante sana kijana!Hii picha imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakihoji juu ya uwepo wa glasi moja tu ya maji.
Wengine wanapiga dua, Polepole yuko busy na simu
View attachment 1589363
We Polepole. Heshimu duaHii picha imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakihoji juu ya uwepo wa glasi moja tu ya maji.
Wengine wanapiga dua, Polepole yuko busy na simu
View attachment 1589363
Je ni sahihi kwa polepole kuchart na simu wakati sala inaendelea?Ajabu nini hapo.
Hapa tayari mataga umepanic.Kule kwenye chama cha Mbowe mnaaminiana?.
Ndio shida ya kuuliza swali la kijinga na kipuuzi.Watanzania bwana nimeuliza swali na wewe umenijibu kwa kuniuliza swali lingine.
Chakubanga ni mtu hatari sana kuwekea wenzake sumu.Hii picha imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakihoji juu ya uwepo wa glasi moja tu ya maji.
Wengine wanapiga dua, Polepole yuko busy na simu
View attachment 1589363
Khe! Ana maji?Acheni uzushi, maji ya Shein