Uchaguzi 2020 Kampeni za mwaka huu CHADEMA itakuwa vituko. Eti ajenda yao Tundu Lissu kapigwa risasi

Maendeleo yako mikononi mwako na hayaletwi na hilo genge, mwenyewe umeeidhiiika na bk7 yako.
Ndo maana mradi mkubwa wa umeme wa gharama nafuu unajengwa,ili gharama za uzalishaji kwenye viwanda na mambo mengine zishuke.
Tuuze bidhaa nyingi nje ya nchi na viwanda vikubwa vitafunguliwa ajira zitaongezeka na maisha yatakuwa nafuu.
 
Wakichagua chadema mtawarudisha kazin ? Yan wakiwaamin kua wakiwachagua mtawarudisha kazin Basi sitakua na Shaka Tena na nyeti vyao [emoji1787][emoji1787][emoji1787] feki Mana watakua wajinga grade one kushinda hata Bata
Yaan km waliomaliza vyuo,vyeti feki,watumishi na wengineo km watachagua sisiemu basi tz tuendelee kubuluzwa hadi kufa kwetu maana ni ujinga tuu
 
Yaani majitu ya ccm huwa hayana point kabisa,hivi umeandika Uharo gani huu pumba tupu
 
Inaonyesha ulipendezwa na tukio la kinyaama kama hilo
Shame on u
Eti tupo upande wa black america marekan wanavyo andamana wakati nafuu wazungu kuliko nyie
 
Chadema huijui niulize Mimi ikoje ata mbowe huenda haijui Ni Chama Imara na mwelekeo sahihi Wa nchi yetu. Magugili anateseka kwa waganga anaikuta kubwa kuliko 2015
Na atapata tabu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…