Uchaguzi 2020 Kampeni za mwaka huu CHADEMA itakuwa vituko. Eti ajenda yao Tundu Lissu kapigwa risasi

Uchaguzi 2020 Kampeni za mwaka huu CHADEMA itakuwa vituko. Eti ajenda yao Tundu Lissu kapigwa risasi

Ni aidha unalipwa kwa propaganda ama ni mtu mjinga usiyejielewa.
Adui kamwe hawezi kukutungia manifesto yako lazima utamsema kwa mabaya, labda kama wewe ni mtunga sera wao hao Chadema
 
Muda utaongea tijipe muda
Ile picha yake iliyosambaa mtandaoni anayoonyesha majeraha ndio inatakiwa Iprintiwe kubwa kabisa isambazwe kila mkoa, wilaya, tarafa kata, vijiji na vitongoji.

Isitoshe iwe kwenye vipeperushi na ratiba za my kutano.

On the contrary CCM wanaonyesha picha za;
1. Ndege boing na Bombadier 9
2. Uwanja wa Ndege JNIA Terminal 2 na 3
3. Mwendokazi phase 2 mbagala
4. Meli za Mwanza
5. Upanuzi wa Bandati ya Dar es Salaam
6. SGR
7. Stigler Gourge
8. Kudhibiti uwindaji haram wa wanyama
9. Ujenzi wa vituo vya afya
10. Mfumo wa Elimu bila malipo kuanzia darasa la kwanza hadi firm IV

List ni ndefu kwa kweli
 
Watanzania wangekua na nyie kwenye harakat zenu wange waunga mkono pia kwenye kampen ya no hate No fear wangekua na nyie bega kwa bega Ila wakawadharau mkawa Kama kikundi Cha wahum wanao dai bang ialalishwe [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa unawatukana watanzania na kumkufuru Mungu ni sawa na kusema watanzania wote wapumbavu kwakuwa hawawezi kuona maovu ya CCM hivyo hawawezi kuikosoa.
 
Eti watanzania mnichague sababu nilipigwa risas hahahahaha Yani ujinga huu wanauwaza chadema tu ipo siku na majambaz wataonyesha Makovu Yao ya risas ili tu wawe Marais
Haya Wala sio Mambo ya kujisifu kwasababu kwanza mmeichelewesha nchi yetu kwa miaka 50+ ya Uhuru mnajisifu kujenga vituo vya afya Leo wakati nyie ndio mmekuwepo toka Uhuru kifupi CCM ndio kikwazo Cha maendeleo hayo uliyoyaorodhesha tulitakiwa tuwe nayo toka 1985-90
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hatuwezi ongelea wafu Ila tunawaambia Ukwel tembea Tanzania mzima huwez kuta CCM anamuongelea chadema Ila nyie MBOWE akilala akiamka utamsikia magufuli tundulisu nazito wao utasema walipewa mimba
natabili mpaka iyo October wapo watu watakua wanatembea peke yao wakiongea Chadema
Au wakati amelala itatokea kupiga kelele uku akitamka Chadema
Why kila Sikh nyuzi za chadema ,inaanzaa niingia akilini kwamba Wenda hiki Chama I shida
 
Watanzania wangekua na nyie kwenye harakat zenu wange waunga mkono pia kwenye kampen ya no hate No fear wangekua na nyie bega kwa bega Ila wakawadharau mkawa Kama kikundi Cha wahum wanao dai bang ialalishwe [emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona kama unawasema CCM wenzio wanaotaka bangi ihalalishwe aliesema bangi ihalalishwe si msukuma yule mbunge wa mwanza kwahiyo simply wahuni ni CCM kwa maneno yako mwenyewe.
 
Unajua hata Kama Ni ukereketwa comparison ya Lissu katika kila critisism haifahi. Let us be humane please! Unafanyiaje mzaha maisha ya mtu? Ungekuwa wewe ndo umepigwa hizo risasi ungefurah kufanyiwa such unconstructive comparison? Unajua mtu anavuna anachopanda, acha kabisa kutumia maumivu na shida ya kifo aliyokumbana nayo mwenzako kufanya cheap politics. Kama nilivyosema tujifunze kuwa na utu.
 
Usitafute Chaka
Mbona kama unawasema CCM wenzio wanaotaka bangi ihalalishwe aliesema bangi ihalalishwe si msukuma yule mbunge wa mwanza kwahiyo simply wahuni ni CCM kwa maneno yako mwenyewe.
 
Ccm inategemea ujinga wa wananchi kusurvive, Ccm inategemea majitu majinga Kama mleta Uzi kuitetea,Ccm inategemea ujinga wa viongozi wake hasa awamu ya 5 kuendelea kuumiza wananchi walioikataa....
 
Ccm inategemea ujinga wa wananchi kusurvive, Ccm inategemea majitu majinga Kama mleta Uzi kuitetea,Ccm inategemea ujinga wa viongozi wake hasa awamu ya 5 kuendelea kuumiza wananchi walioikataa....
Kuna wale wabibi na wababu wanaovaa vilemba na kofia wanaiaminishwa upinzani utaleta Vita Wana uelewa mdogo kwasababu wangetakiwa kuhoji Kama upinzani utaleta vita mbona umeruhusiwa na katiba? Kmsingi uwepo wa CCM unachagizwa na wajinga wengi Tanzania ujinga ukiondoka na CCM itaondoka.
 
Sio ujinga wa kumezea b8 bila kujal [emoji1787][emoji1787]
Ccm inategemea ujinga wa wananchi kusurvive, Ccm inategemea majitu majinga Kama mleta Uzi kuitetea,Ccm inategemea ujinga wa viongozi wake hasa awamu ya 5 kuendelea kuumiza wananchi walioikataa....
 
Msiwazingishie wazee wa watu chadema jiandaen inaenda kula kwenu
Kuna wale wabibi na wababu wanaovaa vilemba na kofia wanaiaminishwa upinzani utaleta Vita Wana uelewa mdogo kwasababu wangetakiwa kuhoji Kama upinzani utaleta vita mbona umeruhusiwa na katiba? K
 
Kuna wale wabibi na wababu wanaovaa vilemba na kofia wanaiaminishwa upinzani utaleta Vita Wana uelewa mdogo kwasababu wangetakiwa kuhoji Kama upinzani utaleta vita mbona umeruhusiwa na katiba? Kmsingi uwepo wa CCM unachagizwa na wajinga wengi Tanzania ujinga ukiondoka na CCM itaondoka.
Nisome vizuri
 
Back
Top Bottom