Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uzuri habari za TL kupigwa risasi zilisambaa hadi vijijini kbs ndani ndani hakuna mwananchi asiyejua...hii ni kete muhimu kuitumia wakati wa uchaguzi kuwaeleza wananchi ukatili wa serikali awamu ya 5 pale inapokosolewa.Mmesha feli mnaamua kuja kumtumia mtuhumiwa eti agombee Urais Yani sis tuongozwe na vibaka
NI AJENDA NZURI YA KUPINGA MAUWAJI ,LEO YEYE KESHO KWANGU AU KWA MWINGINEDah Kuna Mambo mtu yanaweza kukufanya ucheke Mpaka Basi
Yale Mambo ya maskini kutumia kidonda ndio haya. Habari zilizo mezani mpaka sasa hivi ndugu YETU Tundu Lisu anakuja Tanzania kugombea kwa ticket ya chadema kwenye nafasi ya Urais
Wakat Rais John Pombe Magufuli anaonyesha Miradi mikubwa mikubwa ndani ya nchi na kuonesha watanzania ni jinsi gani chadema wao wamepanga kuja kuwaonyesha watanzania Miguu ya Tundu Lisu kwamba watakua wanazunguka nchi mzima kuonyesha watu Makovu ya risasi alizo pigwa huku lawama wakiitupia serikali
Baadh ya ajenda za CHADEMA mwaka huu wa kampeni
Tundu Lisu kapigwa risasi
Akwelina kufa
Na tume huru
Embu tujiulize hivi chadema Mpaka leo Wana uthibitisho kua Tundu Lisu alipigwa risasi na serikali pia CHADEMA wanatakiwa wajue kua lazima Tundu Lisu ahojiwe na aziweke wazi shutuma zake alizo kua anampelekea Rais moja kwa moja. Na aonyeshe ushahidi. Bila hivyo atataka apande watu kichwani
Swala la tume huru chadema kulilia leo ni sawa na kujiaibisha Kama spika anashtakiwa kwa kuivunja katiba Basi hata chadema nao washtakiwe sababu kuikataa tume iliopo ni sawa na kutaka kuvunja katiba
Hapo unacheka nini mpaka basi? Tumeccm inachakachua chaguzi zote hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu anaichagua CCM bali Tumeccm ndiyo huchagulia watanzania, Spika kapiga bilion 12 india hamjamshitaki sembuse kuvunja katiba kwa kuwavua ubunge wabunge wa CUF lakini wa chadema kajitoa fahamu kawaachia wapo Bungeni, Uthibitisho kuwa wewe ndiyo ulimpiga risasi Tundu lisu ni zile cctv Camera na walinzi wa getini uliokaa nao hapo kwako, kutumia kidonda kwenye kampeni inakuuma nini kama ulijua kidonda kitazungumziwa kwa nini ulitoka Dsm kwenda kumpiga risasi? Ulitamani Tundu lisu afe ufurahi maana inaonekana amekukosesha usingizi, mtukufu magufuli ataonyesha maendeleo siyo? Hayo maendeleo anayaleta kwa pesa zake binafsi toka mfukoni? au ni pesa za walipa kodi? Walipa kodi ni watanzania wote tena CCM siyo walipa kodi wazuri, pesa inatokana na wananchi wote na maendeleo ni haki ya watanzania siyo Hisani za CCM, watanzania siyo wajinga wanajua kazi ya upinzani ni kuikosoa Serikali kwa mapungufu yake na kuhimiza maendeleo yote ni sehemu ya wapinzani bila wao CCM wangekula pesa zote na kusingekuwa na haya maendeleo kidogo kidogo unayodai, Nchi ina miaka zaidi ya 50 haina maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, mda huu kama siyo CCM kudumaza maendeleo pengine Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko South Africa na mataifa ya ulaya America, pesa zinatumika kuudhofisha chadema kuanzia kuwanunua wabunge madiwani wanachama kuwabambikia kesi na uonevu mwingi ni pesa nyingi sana ni pesa ambazo zingeweza kujenga daraja toka mwanza mpaka ukerewe na darasa toka Dsm mpaka Zanzibar na pemba na kujenga viwanda kila wilaya Tanzania.Dah Kuna Mambo mtu yanaweza kukufanya ucheke Mpaka Basi
Yale Mambo ya maskini kutumia kidonda ndio haya. Habari zilizo mezani mpaka sasa hivi ndugu YETU Tundu Lisu anakuja Tanzania kugombea kwa ticket ya chadema kwenye nafasi ya Urais
Wakat Rais John Pombe Magufuli anaonyesha Miradi mikubwa mikubwa ndani ya nchi na kuonesha watanzania ni jinsi gani chadema wao wamepanga kuja kuwaonyesha watanzania Miguu ya Tundu Lisu kwamba watakua wanazunguka nchi mzima kuonyesha watu Makovu ya risasi alizo pigwa huku lawama wakiitupia serikali
Baadh ya ajenda za CHADEMA mwaka huu wa kampeni
Tundu Lisu kapigwa risasi
Akwelina kufa
Na tume huru
Embu tujiulize hivi chadema Mpaka leo Wana uthibitisho kua Tundu Lisu alipigwa risasi na serikali pia CHADEMA wanatakiwa wajue kua lazima Tundu Lisu ahojiwe na aziweke wazi shutuma zake alizo kua anampelekea Rais moja kwa moja. Na aonyeshe ushahidi. Bila hivyo atataka apande watu kichwani
Swala la tume huru chadema kulilia leo ni sawa na kujiaibisha Kama spika anashtakiwa kwa kuivunja katiba Basi hata chadema nao washtakiwe sababu kuikataa tume iliopo ni sawa na kutaka kuvunja katiba
Ajenda ni nyingi sana mojawapo ni ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bungemmepoteza dira ccm kama ndo mnaliwaza hilo,chadema wanaagenda za kutosha mpaka basi na jiwe analijua hilo ndo maana kawapiga pin miaka 5 sasa sikiliza saa ikifika
Mbona mnaanza kujinyea nyea, subirini muone tutakavyowakimbiza. Nyie akili yenu iko hapa :-Dah Kuna Mambo mtu yanaweza kukufanya ucheke mpaka Basi
Yale Mambo ya maskini kutumia kidonda ndio haya. Habari zilizo mezani mpaka sasa hivi ndugu YETU Tundu Lisu anakuja Tanzania kugombea kwa ticket ya chadema kwenye nafasi ya Urais
Wakat Rais John Pombe Magufuli anaonyesha Miradi mikubwa mikubwa ndani ya nchi na kuonesha watanzania ni jinsi gani chadema wao wamepanga kuja kuwaonyesha watanzania Miguu ya Tundu Lisu kwamba watakua wanazunguka nchi mzima kuonyesha watu Makovu ya risasi alizo pigwa huku lawama wakiitupia serikali
Baadh ya ajenda za CHADEMA mwaka huu wa kampeni
Tundu Lisu kapigwa risasi
Akwelina kufa
Na tume huru
Embu tujiulize hivi chadema Mpaka leo Wana uthibitisho kua Tundu Lisu alipigwa risasi na serikali pia CHADEMA wanatakiwa wajue kua lazima Tundu Lissu ahojiwe na aziweke wazi shutuma zake alizo kua anampelekea Rais moja kwa moja. Na aonyeshe ushahidi. Bila hivyo atataka apande watu kichwani
Swala la tume huru CHADEMA kulilia leo ni sawa na kujiaibisha kama Spika anashtakiwa kwa kuivunja katiba Basi hata chadema nao washtakiwe sababu kuikataa tume iliopo ni sawa na kutaka kuvunja katiba
Noma ipi?zipo wapi trilion 1.5 mlizotafuna kienyeji kisha mkaamua kumtoa CAG kafaraNoma sana
Walipouliza juu ya upotevu wa 1.5 trilion kwenye hazina ya taifa mliwajibu Nini?Wanachi wakiuliza ile michango ya wabunge iliyoliwa iko wapi? Watajibu nini?
Hebu zungumzia watumishi wa umma na milioni 50 kila kijiji, acha kuruka ruka kama maharage yanayoanza kuivaWakat Rais John Pombe Magufuli anaonyesha Miradi mikubwa mikubwa ndani ya nchi ...
Usirudie tens kuandika upuuziDah Kuna Mambo mtu yanaweza kukufanya ucheke mpaka Basi
Yale Mambo ya maskini kutumia kidonda ndio haya. Habari zilizo mezani mpaka sasa hivi ndugu YETU Tundu Lisu anakuja Tanzania kugombea kwa ticket ya chadema kwenye nafasi ya Urais
Wakat Rais John Pombe Magufuli anaonyesha Miradi mikubwa mikubwa ndani ya nchi na kuonesha watanzania ni jinsi gani chadema wao wamepanga kuja kuwaonyesha watanzania Miguu ya Tundu Lisu kwamba watakua wanazunguka nchi mzima kuonyesha watu Makovu ya risasi alizo pigwa huku lawama wakiitupia serikali
Baadh ya ajenda za CHADEMA mwaka huu wa kampeni
Tundu Lisu kapigwa risasi
Akwelina kufa
Na tume huru
Embu tujiulize hivi chadema Mpaka leo Wana uthibitisho kua Tundu Lisu alipigwa risasi na serikali pia CHADEMA wanatakiwa wajue kua lazima Tundu Lissu ahojiwe na aziweke wazi shutuma zake alizo kua anampelekea Rais moja kwa moja. Na aonyeshe ushahidi. Bila hivyo atataka apande watu kichwani
Swala la tume huru CHADEMA kulilia leo ni sawa na kujiaibisha kama Spika anashtakiwa kwa kuivunja katiba Basi hata chadema nao washtakiwe sababu kuikataa tume iliopo ni sawa na kutaka kuvunja katiba
Dah Kuna Mambo mtu yanaweza kukufanya ucheke mpaka Basi
Yale Mambo ya maskini kutumia kidonda ndio haya. Habari zilizo mezani mpaka sasa hivi ndugu YETU Tundu Lisu anakuja Tanzania kugombea kwa ticket ya chadema kwenye nafasi ya Urais
Wakat Rais John Pombe Magufuli anaonyesha Miradi mikubwa mikubwa ndani ya nchi na kuonesha watanzania ni jinsi gani chadema wao wamepanga kuja kuwaonyesha watanzania Miguu ya Tundu Lisu kwamba watakua wanazunguka nchi mzima kuonyesha watu Makovu ya risasi alizo pigwa huku lawama wakiitupia serikali
Baadh ya ajenda za CHADEMA mwaka huu wa kampeni
Tundu Lisu kapigwa risasi
Akwelina kufa
Na tume huru
Embu tujiulize hivi chadema Mpaka leo Wana uthibitisho kua Tundu Lisu alipigwa risasi na serikali pia CHADEMA wanatakiwa wajue kua lazima Tundu Lissu ahojiwe na aziweke wazi shutuma zake alizo kua anampelekea Rais moja kwa moja. Na aonyeshe ushahidi. Bila hivyo atataka apande watu kichwani
Swala la tume huru CHADEMA kulilia leo ni sawa na kujiaibisha kama Spika anashtakiwa kwa kuivunja katiba Basi hata chadema nao washtakiwe sababu kuikataa tume iliopo ni sawa na kutaka kuvunja katiba
Utakufa wewe kabla Lisu hajarejea Tanzania hizo dua zako za kishetani ndizo zitakumalizaWamfiche tu maana tutampopoa tumvunje na kiuno. Tukikumbuka mambo yake ya miga tu hasira zinajaa.
Bwawa la umeme ununuzi Ndege kwa cash kuna ufisadi mwingi kampeni zikianza utasikia kila kitu kilivyokwendaMuandae majibu ya haya.
Tatizo la ajira
Wasiojulikana
Nyongeza ya mishahara
Usomeshwaji watu namba
Ccm imeshindwa kupambana /inawaogopa mafisadi
Korosho
Umoja wa kitaifa
Kuongezeka kwa umasikini
Tegemeo kuu la ccm ni
SGR
Bwawa
Ndege
Hivi havijakamilika ili wananchi waione tija
Mbona tunajua wewe ata kazi umekosa kabisa...Mimi na ndugu zangu wote tumeajiriwa WAKAT huu wa serekal ya magufuli Mimi nimenunua kiwanja wakat huu wa magufuli pia nipo najenga wakat huu wa magufuli tatizo wewe upo ufipa Apo asubui Mpaka jion unapiga porojo kwenye mitandao alafu unataka uajiriwe shame on you
Hivi mleta Mada una tumia kinyeo kufikiri? Unazungumzia Tundu Lisu Mbunge kupigwa risasi na Akwilina kuuwa kuwa sio Agenda ya taifa? Hivi unajua thamani ya uhai wa mtu na Rais huapa kulinda katiba?Dah Kuna Mambo mtu yanaweza kukufanya ucheke mpaka Basi
Yale Mambo ya maskini kutumia kidonda ndio haya. Habari zilizo mezani mpaka sasa hivi ndugu YETU Tundu Lisu anakuja Tanzania kugombea kwa ticket ya chadema kwenye nafasi ya Urais
Wakat Rais John Pombe Magufuli anaonyesha Miradi mikubwa mikubwa ndani ya nchi na kuonesha watanzania ni jinsi gani chadema wao wamepanga kuja kuwaonyesha watanzania Miguu ya Tundu Lisu kwamba watakua wanazunguka nchi mzima kuonyesha watu Makovu ya risasi alizo pigwa huku lawama wakiitupia serikali
Baadh ya ajenda za CHADEMA mwaka huu wa kampeni
Tundu Lisu kapigwa risasi
Akwelina kufa
Na tume huru
Embu tujiulize hivi chadema Mpaka leo Wana uthibitisho kua Tundu Lisu alipigwa risasi na serikali pia CHADEMA wanatakiwa wajue kua lazima Tundu Lissu ahojiwe na aziweke wazi shutuma zake alizo kua anampelekea Rais moja kwa moja. Na aonyeshe ushahidi. Bila hivyo atataka apande watu kichwani
Swala la tume huru CHADEMA kulilia leo ni sawa na kujiaibisha kama Spika anashtakiwa kwa kuivunja katiba Basi hata chadema nao washtakiwe sababu kuikataa tume iliopo ni sawa na kutaka kuvunja katiba
Umeona sasa miye nipo kujadili mustakabali wa taifa wewe unaleta habari za ufipa ndio wapi, jenga hoja wewe una kiwanja umeanza ujenzi, jiulize wangapi mliopata ajira na mnaviwanja na mmeanza ujenzi usiseme Mimi kama ulikuwa masomoni mlihitimu wangapi na hizi ajira mmepata wangapi
Utawala awamu ya nne kama wahitimu kozi ya afya wapo mia tano basi ajira zikitoka wote kwenye sifa wanapata ajira kama mia tano wote
Sects ya mifugo hivyo hivyo elimu hivyo hivyo je awamu hii kipi kimefanya hayo yasifanyike
Ebu tuambie kwanini umeajiliwa wewe tu wenzako wapi mtaani
Kwa nini serikali ilikataa vyombo vya nje kufanya uchunguzi...ficheni upumbavu wenu hata wageni wanasoma hizi nyunzi
mmepoteza dira ccm kama ndo mnaliwaza hilo,chadema wanaagenda za kutosha mpaka basi na jiwe analijua hilo ndo maana kawapiga pin miaka 5 sasa sikiliza saa ikifika