Uchaguzi 2020 Kampeni za mwaka huu CHADEMA itakuwa vituko. Eti ajenda yao Tundu Lissu kapigwa risasi

Uchaguzi 2020 Kampeni za mwaka huu CHADEMA itakuwa vituko. Eti ajenda yao Tundu Lissu kapigwa risasi

Mue na ushaid tu mnapokua mnatoa shutuma
uzuri habari za TL kupigwa risasi zilisambaa hadi vijijini kbs ndani ndani hakuna mwananchi asiyejua...hii ni kete muhimu kuitumia wakati wa uchaguzi kuwaeleza wananchi ukatili wa serikali awamu ya 5 pale inapokosolewa.

na kuonesha kwamba kuna wakuu wanahusika kwenye hili hakuna yeyote angalau mshukiwa aliyekamatwa

hapo kampeni zitanoga, ukiongezea na ukali wa maisha kitaeleweka tu
 
CHADEMA inawayakosesha usingizi maccm na vibaraka wao.
 
Wananch mnao sema wanataka Uhuru wao tayar wamesha jiona wako huru
Bogus Mzalendo fake!
Wewe ni pimbi kweli eti mtu auwe kupoteza kupiga marisasi wanao kisa anakujengea mijumba, una akili kweli??
Ukilikoroga lazima ulinywe, SA makaburu waliindeleza mfano hakuna lakini watu ANC walidai na kupigania uhuru!!
So plse don't panick freedom is coming!!
 
Muandae majibu ya haya.
Tatizo la ajira
Wasiojulikana
Nyongeza ya mishahara
Usomeshwaji watu namba
Ccm imeshindwa kupambana /inawaogopa mafisadi
Korosho
Umoja wa kitaifa
Kuongezeka kwa umasikini

Tegemeo kuu la ccm ni
SGR
Bwawa
Ndege
Hivi havijakamilika ili wananchi waione tija
Wapi Ben Saanane
Nani walimpiga lisu risasi
Wapi Azory
Helsb
Uonevu
 
Dah Kuna Mambo mtu yanaweza kukufanya ucheke mpaka Basi

Yale Mambo ya maskini kutumia kidonda ndio haya. Habari zilizo mezani mpaka sasa hivi ndugu YETU Tundu Lisu anakuja Tanzania kugombea kwa ticket ya chadema kwenye nafasi ya Urais

Wakat Rais John Pombe Magufuli anaonyesha Miradi mikubwa mikubwa ndani ya nchi na kuonesha watanzania ni jinsi gani chadema wao wamepanga kuja kuwaonyesha watanzania Miguu ya Tundu Lisu kwamba watakua wanazunguka nchi mzima kuonyesha watu Makovu ya risasi alizo pigwa huku lawama wakiitupia serikali

Baadh ya ajenda za CHADEMA mwaka huu wa kampeni
Tundu Lisu kapigwa risasi

Akwelina kufa
Na tume huru

Embu tujiulize hivi chadema Mpaka leo Wana uthibitisho kua Tundu Lisu alipigwa risasi na serikali pia CHADEMA wanatakiwa wajue kua lazima Tundu Lissu ahojiwe na aziweke wazi shutuma zake alizo kua anampelekea Rais moja kwa moja. Na aonyeshe ushahidi. Bila hivyo atataka apande watu kichwani

Swala la tume huru CHADEMA kulilia leo ni sawa na kujiaibisha kama Spika anashtakiwa kwa kuivunja katiba Basi hata chadema nao washtakiwe sababu kuikataa tume iliopo ni sawa na kutaka kuvunja katiba
Ile picha yake iliyosambaa mtandaoni anayoonyesha majeraha ndio inatakiwa Iprintiwe kubwa kabisa isambazwe kila mkoa, wilaya, tarafa kata, vijiji na vitongoji.

Isitoshe iwe kwenye vipeperushi na ratiba za my kutano.

On the contrary CCM wanaonyesha picha za;
1. Ndege boing na Bombadier 9
2. Uwanja wa Ndege JNIA Terminal 2 na 3
3. Mwendokazi phase 2 mbagala
4. Meli za Mwanza
5. Upanuzi wa Bandati ya Dar es Salaam
6. SGR
7. Stigler Gourge
8. Kudhibiti uwindaji haram wa wanyama
9. Ujenzi wa vituo vya afya
10. Mfumo wa Elimu bila malipo kuanzia darasa la kwanza hadi firm IV

List ni ndefu kwa kweli
 
Hamna mwananch hata mmoja wa kawaida ambae anaweza kuikosoa serekal ya ccm
Hapa unawatukana watanzania na kumkufuru Mungu ni sawa na kusema watanzania wote wapumbavu kwakuwa hawawezi kuona maovu ya CCM hivyo hawawezi kuikosoa.
 
Dah Kuna Mambo mtu yanaweza kukufanya ucheke mpaka Basi

Yale Mambo ya maskini kutumia kidonda ndio haya. Habari zilizo mezani mpaka sasa hivi ndugu YETU Tundu Lisu anakuja Tanzania kugombea kwa ticket ya chadema kwenye nafasi ya Urais

Wakat Rais John Pombe Magufuli anaonyesha Miradi mikubwa mikubwa ndani ya nchi na kuonesha watanzania ni jinsi gani chadema wao wamepanga kuja kuwaonyesha watanzania Miguu ya Tundu Lisu kwamba watakua wanazunguka nchi mzima kuonyesha watu Makovu ya risasi alizo pigwa huku lawama wakiitupia serikali

Baadh ya ajenda za CHADEMA mwaka huu wa kampeni
Tundu Lisu kapigwa risasi

Akwelina kufa
Na tume huru

Embu tujiulize hivi chadema Mpaka leo Wana uthibitisho kua Tundu Lisu alipigwa risasi na serikali pia CHADEMA wanatakiwa wajue kua lazima Tundu Lissu ahojiwe na aziweke wazi shutuma zake alizo kua anampelekea Rais moja kwa moja. Na aonyeshe ushahidi. Bila hivyo atataka apande watu kichwani

Swala la tume huru CHADEMA kulilia leo ni sawa na kujiaibisha kama Spika anashtakiwa kwa kuivunja katiba Basi hata chadema nao washtakiwe sababu kuikataa tume iliopo ni sawa na kutaka kuvunja katiba
Mnalipwa nn kila mnapoandika ujinga ?
 
Ile picha yake iliyosambaa mtandaoni anayoonyesha majeraha ndio inatakiwa Iprintiwe kubwa kabisa isambazwe kila mkoa, wilaya, tarafa kata, vijiji na vitongoji.

Isitoshe iwe kwenye vipeperushi na ratiba za my kutano.

On the contrary CCM wanaonyesha picha za;
1. Ndege boing na Bombadier 9
2. Uwanja wa Ndege JNIA Terminal 2 na 3
3. Mwendokazi phase 2 mbagala
4. Meli za Mwanza
5. Upanuzi wa Bandati ya Dar es Salaam
6. SGR
7. Stigler Gourge
8. Kudhibiti uwindaji haram wa wanyama
9. Ujenzi wa vituo vya afya
10. Mfumo wa Elimu bila malipo kuanzia darasa la kwanza hadi firm IV

List ni ndefu kwa kweli
Haya Wala sio Mambo ya kujisifu kwasababu kwanza mmeichelewesha nchi yetu kwa miaka 50+ ya Uhuru mnajisifu kujenga vituo vya afya Leo wakati nyie ndio mmekuwepo toka Uhuru kifupi CCM ndio kikwazo Cha maendeleo hayo uliyoyaorodhesha tulitakiwa tuwe nayo toka 1985-90
 
Dah Kuna Mambo mtu yanaweza kukufanya ucheke mpaka Basi

Yale Mambo ya maskini kutumia kidonda ndio haya. Habari zilizo mezani mpaka sasa hivi ndugu YETU Tundu Lisu anakuja Tanzania kugombea kwa ticket ya chadema kwenye nafasi ya Urais

Wakat Rais John Pombe Magufuli anaonyesha Miradi mikubwa mikubwa ndani ya nchi na kuonesha watanzania ni jinsi gani chadema wao wamepanga kuja kuwaonyesha watanzania Miguu ya Tundu Lisu kwamba watakua wanazunguka nchi mzima kuonyesha watu Makovu ya risasi alizo pigwa huku lawama wakiitupia serikali

Baadh ya ajenda za CHADEMA mwaka huu wa kampeni
Tundu Lisu kapigwa risasi

Akwelina kufa
Na tume huru

Embu tujiulize hivi chadema Mpaka leo Wana uthibitisho kua Tundu Lisu alipigwa risasi na serikali pia CHADEMA wanatakiwa wajue kua lazima Tundu Lissu ahojiwe na aziweke wazi shutuma zake alizo kua anampelekea Rais moja kwa moja. Na aonyeshe ushahidi. Bila hivyo atataka apande watu kichwani

Swala la tume huru CHADEMA kulilia leo ni sawa na kujiaibisha kama Spika anashtakiwa kwa kuivunja katiba Basi hata chadema nao washtakiwe sababu kuikataa tume iliopo ni sawa na kutaka kuvunja katiba
natabili mpaka iyo October wapo watu watakua wanatembea peke yao wakiongea Chadema
Au wakati amelala itatokea kupiga kelele uku akitamka Chadema
Why kila Sikh nyuzi za chadema ,inaanzaa niingia akilini kwamba Wenda hiki Chama I shida
 
Mbona unailisha CHADEMA maneno?
Subiri kipenga kipulizwe, ... cha msingi mjiandae kisaikolojia tu!
👊 ✌️✌️✌️💥
 
Back
Top Bottom