Uchaguzi 2020 Kampeni za uchaguzi wa Rais kwa CHADEMA zitagharamiwa na nani?

Uchaguzi 2020 Kampeni za uchaguzi wa Rais kwa CHADEMA zitagharamiwa na nani?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwa upande wa CCM inaeleweka chama hicho kina rasilimali za kutosha hivyo mkoa unaweza kugharamia shughuli zote za kampeni ya Rais katika mkoa husika.

Nauliza kwa upande wa CHADEMA na ACT Wazalendo kama wana ukwasi wa kuweza kumudu kufanya kampeni nchi nzima!!
Kwa mfano CHADEMA walifeli kuchangishana sh 300m za kuwatoa viongozi wao Segerea hadi Rais Magufuli akaingilia kati kuwachangia sh 38m na Polepole wa CCM akatoa sh 30m.

Sasa wataweza kuchangishana mabilioni ya kampeni?

Bado hamjachelewa.

Maendeleo hayana vyama!
 
Masikini humtanguliza Mungu mbele. Pesa na watu ni raslimali ya Mungu. Kwa hiyo usihofu. Kampeni za CDM zitafanyika bila matatizo. Nami nitawachangia.
 
Hivi huu mwaka ndio 1995?
Mwaka wa kwanza wa uchaguzi kuhusisha vyama vingi vya siasa?

Wakati mwingine si vizuri kuanzisha uzi ukiwa chooni. Kule kuna viumbe wabaya.

Miaka hiyo yote uliwahi kujiuliza, wanawezaje SAU, TADEA, CHAUMA, NCCR, sembuse CHADEMA NA ACT!
 
Hivi huu mwaka ndio 1995?
Mwaka wa kwanza wa uchaguzi kuhusisha vyama vingi vya siasa?

Wakati mwingine si vizuri kuanzisha uzi ukiwa chooni. Kule kuna viumbe wabaya.

Miaka hiyo yote uliwahi kujiuliza, wanaweza SAU, TADEA, CHAUMA, NCCR, sembuse CHADEMA NA ACT!
Uchaguzi uliopita Lowassa alitembelea 60% ya nchi pekee!
 
Watanzania tunaojitambua tutachanga tena kwa hiari si kwa KUSHURUTISHWA.
Mwambie zitagharamiwa na wale waliowalipia hela ya adhabu wakina Mbowe, Mdee na wengineo.
In fact hata Magufuli kimoyomoyo anajua Chadema kuna majembe na ccm kuna miswaki mingi, hivyo nae atachangia chochote kwa chadema
 
Kumbuka ndani ya wiki tu Watanzania tulichanga milioni 350 baada ya hukumu ya yule yesu wa lugola kuwafunga viongozi mbali mbali wa Chadema

1596457792806.png
 
Back
Top Bottom