Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,713
- 6,121
Kura hamuwezi kuiba,tumejipangaJipeni moyo mkishindwa muanze kulialia mmeibiwa kura ambazo hazipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kura hamuwezi kuiba,tumejipangaJipeni moyo mkishindwa muanze kulialia mmeibiwa kura ambazo hazipo.
Zitagaramiwa na CCMKwa upande wa CCM inaeleweka chama hicho kina rasilimali za kutosha hivyo mkoa unaweza kugharamia shughuli zote za kampeni ya Rais katika mkoa husika.
Nauliza kwa upande wa CHADEMA na ACT Wazalendo kama wana ukwasi wa kuweza kumudu kufanya kampeni nchi nzima!!
Kwa mfano CHADEMA walifeli kuchangishana sh 300m za kuwatoa viongozi wao Segerea hadi Rais Magufuli akaingilia kati kuwachangia sh 38m na Polepole wa CCM akatoa sh 30m.
Sasa wataweza kuchangishana mabilioni ya kampeni?
Bado hamjachelewa.
Maendeleo hayana vyama!
Pigeni kampeni muwashawishi wananchi wapo wengine wasiojua CDM ni nini..Kura hamuwezi kuiba,tumejipanga
Mlisema Nyalandu atashinda then ameshindwa mnaanza kuuliza fedha za kampeni.Bwashee Chadema ni mabepari......yule Lisu anafurahisha baraza tu!