Uchaguzi 2020 Kampeni za uchaguzi wa Rais kwa CHADEMA zitagharamiwa na nani?

Uchaguzi 2020 Kampeni za uchaguzi wa Rais kwa CHADEMA zitagharamiwa na nani?

Kwa upande wa CCM inaeleweka chama hicho kina rasilimali za kutosha hivyo mkoa unaweza kugharamia shughuli zote za kampeni ya Rais katika mkoa husika.

Nauliza kwa upande wa CHADEMA na ACT Wazalendo kama wana ukwasi wa kuweza kumudu kufanya kampeni nchi nzima!!
Kwa mfano CHADEMA walifeli kuchangishana sh 300m za kuwatoa viongozi wao Segerea hadi Rais Magufuli akaingilia kati kuwachangia sh 38m na Polepole wa CCM akatoa sh 30m.

Sasa wataweza kuchangishana mabilioni ya kampeni?

Bado hamjachelewa.

Maendeleo hayana vyama!
Zitagaramiwa na CCM
 
Kura hamuwezi kuiba,tumejipanga
Pigeni kampeni muwashawishi wananchi wapo wengine wasiojua CDM ni nini..

Sio uishie kusema hata msipopiga kampeni mnashinda.
 
Bwashee Chadema ni mabepari......yule Lisu anafurahisha baraza tu!
Mlisema Nyalandu atashinda then ameshindwa mnaanza kuuliza fedha za kampeni.

Meko analo mwaka huu. Tuko tayari kuchangia kampeni za Lissu na CHADEMA kila wiki hadi zikamilike.
 
Mbona wa vyama vingine hamuwahoji ila chadema tu kunani kwani?
 
Back
Top Bottom