Uchaguzi 2020 Kampeni za uchaguzi wa Rais kwa CHADEMA zitagharamiwa na nani?

Uchaguzi 2020 Kampeni za uchaguzi wa Rais kwa CHADEMA zitagharamiwa na nani?

Bwashee Chadema ni mabepari......yule Lisu anafurahisha baraza tu!
Bwashee hata Obama alipewa support na mabepari ya ndani ya chama

muda haupoi...endelea kuhabarisha namna Lissu anachaguliwa

halafu ujikaze...usije maliza mwendo kwa mshtuko wa kinachotokea
 
Kwa upande wa CCM inaeleweka chama hicho kina rasilimali za kutosha hivyo mkoa unaweza kugharamia shughuli zote za kampeni ya Rais katika mkoa husika.

Nauliza kwa upande wa CHADEMA na ACT Wazalendo kama wana ukwasi wa kuweza kumudu kufanya kampeni nchi nzima!!
Kwa mfano CHADEMA walifeli kuchangishana sh 300m za kuwatoa viongozi wao Segerea hadi Rais Magufuli akaingilia kati kuwachangia sh 38m na Polepole wa CCM akatoa sh 30m.

Sasa wataweza kuchangishana mabilioni ya kampeni?

Bado hamjachelewa.

Maendeleo hayana vyama!
Kwani chaguzi zooote zilizopita CHADEMA hela alikuwa anatoa babako.
 
Kwa upande wa CCM inaeleweka chama hicho kina rasilimali za kutosha hivyo mkoa unaweza kugharamia shughuli zote za kampeni ya Rais katika mkoa husika.

Nauliza kwa upande wa CHADEMA na ACT Wazalendo kama wana ukwasi wa kuweza kumudu kufanya kampeni nchi nzima!!
Kwa mfano CHADEMA walifeli kuchangishana sh 300m za kuwatoa viongozi wao Segerea hadi Rais Magufuli akaingilia kati kuwachangia sh 38m na Polepole wa CCM akatoa sh 30m.

Sasa wataweza kuchangishana mabilioni ya kampeni?

Bado hamjachelewa.

Maendeleo hayana vyama!
CCM wanatumia magari ya serikali viongozi na fedha za serikali kufanya kampeni. CDM watatumia fedha na nguvu ya Umma kufanya kampeni. Na baada ya hayo nashangaa mno kuona namna ambavyo ccm inavyokoseshwa usingizi na mtu mmoja au wawili tu ndani ya CDM! Kweli CDM mwamba.
 
Ipo siku tu viwanja vyote vya TANU vitarudishwa serikalini kibabe
🙏🙏🙏 Huu uhuni wa ƙujimiliƙisha rasilimali za wananchi ƙuwa za chama utaƙoma maana sehemu mɓamɓali zimeteleƙezwa hata hazienɗelezi, uƙicheƙi utaƙuta zimepigwa chata la ccm how😠
 
Kwa upande wa CCM inaeleweka chama hicho kina rasilimali za kutosha hivyo mkoa unaweza kugharamia shughuli zote za kampeni ya Rais katika mkoa husika.

Nauliza kwa upande wa CHADEMA na ACT Wazalendo kama wana ukwasi wa kuweza kumudu kufanya kampeni nchi nzima!!
Kwa mfano CHADEMA walifeli kuchangishana sh 300m za kuwatoa viongozi wao Segerea hadi Rais Magufuli akaingilia kati kuwachangia sh 38m na Polepole wa CCM akatoa sh 30m.

Sasa wataweza kuchangishana mabilioni ya kampeni?

Bado hamjachelewa.

Maendeleo hayana vyama!
Unatia aibu sana !
 
Kwanza aliekwambia Chadema walifeli kuchangishana shilingi 300 milioni ni nani?!

Wapenzi na wanachama kujitolea haina maana viongozi walishindwa, ujifunze kiswahili bwashee.
 
Hahaahhaa jirani bana.

Ila mleta mada haya masuala ya ndani hayamuhusu kama watakosa fedha wanachama wao watawachangia
Jirani kuna maswali mengine ya kichokozi.. hawa jamaa wa siasa huwa wanakaguliwa na mkaguzi wa serikali kuhusu mapato na matumizi yao, hata kama hatuwapendi kuna sehemu wana haki zao....
 
Kweli jirani ila wengi jukwaa hili wanaendeshwa na ushabiki zaidi
Jirani kuna maswali mengine ya kichokozi.. hawa jamaa wa siasa huwa wanakaguliwa na mkaguzi wa serikali kuhusu mapato na matumizi yao, hata kama hatuwapendi kuna sehemu wana haki zao....
 
Bwashee hata Obama alipewa support na mabepari ya ndani ya chama

muda haupoi...endelea kuhabarisha namna Lissu anachaguliwa

halafu ujikaze...usije maliza mwendo kwa mshtuko wa kinachotokea
Hahahaaaa....... Labda 2025!
 
Kwa upande wa CCM inaeleweka chama hicho kina rasilimali za kutosha hivyo mkoa unaweza kugharamia shughuli zote za kampeni ya Rais katika mkoa husika.

Nauliza kwa upande wa CHADEMA na ACT Wazalendo kama wana ukwasi wa kuweza kumudu kufanya kampeni nchi nzima!!
Kwa mfano CHADEMA walifeli kuchangishana sh 300m za kuwatoa viongozi wao Segerea hadi Rais Magufuli akaingilia kati kuwachangia sh 38m na Polepole wa CCM akatoa sh 30m.

Sasa wataweza kuchangishana mabilioni ya kampeni?

Bado hamjachelewa.

Maendeleo hayana vyama!
Chadema itapigwa tafu na belgeum na act itasaidiwa na ujeruman mkuu.
 
Kwa upande wa CCM inaeleweka chama hicho kina rasilimali za kutosha hivyo mkoa unaweza kugharamia shughuli zote za kampeni ya Rais katika mkoa husika.

Nauliza kwa upande wa CHADEMA na ACT Wazalendo kama wana ukwasi wa kuweza kumudu kufanya kampeni nchi nzima!!
Kwa mfano CHADEMA walifeli kuchangishana sh 300m za kuwatoa viongozi wao Segerea hadi Rais Magufuli akaingilia kati kuwachangia sh 38m na Polepole wa CCM akatoa sh 30m.

Sasa wataweza kuchangishana mabilioni ya kampeni?

Bado hamjachelewa.

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu,Chadema wanao mtaji tayari.Hata wasipopiga Kampeni Watashinda tu.
 
Back
Top Bottom