Bwashee hata Obama alipewa support na mabepari ya ndani ya chamaBwashee Chadema ni mabepari......yule Lisu anafurahisha baraza tu!
Ngoja tuone mwaka huu Lisu akitembelea 100% ya nchiUchaguzi uliopita Lowassa alitembelea 60% ya nchi pekee!
Ipo siku tu viwanja vyote vya TANU vitarudishwa serikalini kibabeHivi hizi tunazoziita rasilimali za #ccm walizitoa wap na ƙwanini vƴama vingine havina???[emoji4][emoji4]
Kwani chaguzi zooote zilizopita CHADEMA hela alikuwa anatoa babako.Kwa upande wa CCM inaeleweka chama hicho kina rasilimali za kutosha hivyo mkoa unaweza kugharamia shughuli zote za kampeni ya Rais katika mkoa husika.
Nauliza kwa upande wa CHADEMA na ACT Wazalendo kama wana ukwasi wa kuweza kumudu kufanya kampeni nchi nzima!!
Kwa mfano CHADEMA walifeli kuchangishana sh 300m za kuwatoa viongozi wao Segerea hadi Rais Magufuli akaingilia kati kuwachangia sh 38m na Polepole wa CCM akatoa sh 30m.
Sasa wataweza kuchangishana mabilioni ya kampeni?
Bado hamjachelewa.
Maendeleo hayana vyama!
Umeshapanic!Kwani chaguzi zooote zilizopita CHADEMA hela alikuwa anatoa babako.
CCM wanatumia magari ya serikali viongozi na fedha za serikali kufanya kampeni. CDM watatumia fedha na nguvu ya Umma kufanya kampeni. Na baada ya hayo nashangaa mno kuona namna ambavyo ccm inavyokoseshwa usingizi na mtu mmoja au wawili tu ndani ya CDM! Kweli CDM mwamba.Kwa upande wa CCM inaeleweka chama hicho kina rasilimali za kutosha hivyo mkoa unaweza kugharamia shughuli zote za kampeni ya Rais katika mkoa husika.
Nauliza kwa upande wa CHADEMA na ACT Wazalendo kama wana ukwasi wa kuweza kumudu kufanya kampeni nchi nzima!!
Kwa mfano CHADEMA walifeli kuchangishana sh 300m za kuwatoa viongozi wao Segerea hadi Rais Magufuli akaingilia kati kuwachangia sh 38m na Polepole wa CCM akatoa sh 30m.
Sasa wataweza kuchangishana mabilioni ya kampeni?
Bado hamjachelewa.
Maendeleo hayana vyama!
🙏🙏🙏 Huu uhuni wa ƙujimiliƙisha rasilimali za wananchi ƙuwa za chama utaƙoma maana sehemu mɓamɓali zimeteleƙezwa hata hazienɗelezi, uƙicheƙi utaƙuta zimepigwa chata la ccm how😠Ipo siku tu viwanja vyote vya TANU vitarudishwa serikalini kibabe
Nimekuelewa bwashee!Tutakopa kwa mabeberu
Unatia aibu sana !Kwa upande wa CCM inaeleweka chama hicho kina rasilimali za kutosha hivyo mkoa unaweza kugharamia shughuli zote za kampeni ya Rais katika mkoa husika.
Nauliza kwa upande wa CHADEMA na ACT Wazalendo kama wana ukwasi wa kuweza kumudu kufanya kampeni nchi nzima!!
Kwa mfano CHADEMA walifeli kuchangishana sh 300m za kuwatoa viongozi wao Segerea hadi Rais Magufuli akaingilia kati kuwachangia sh 38m na Polepole wa CCM akatoa sh 30m.
Sasa wataweza kuchangishana mabilioni ya kampeni?
Bado hamjachelewa.
Maendeleo hayana vyama!
Jirani kuna maswali mengine ya kichokozi.. hawa jamaa wa siasa huwa wanakaguliwa na mkaguzi wa serikali kuhusu mapato na matumizi yao, hata kama hatuwapendi kuna sehemu wana haki zao....Hahaahhaa jirani bana.
Ila mleta mada haya masuala ya ndani hayamuhusu kama watakosa fedha wanachama wao watawachangia
Jirani kuna maswali mengine ya kichokozi.. hawa jamaa wa siasa huwa wanakaguliwa na mkaguzi wa serikali kuhusu mapato na matumizi yao, hata kama hatuwapendi kuna sehemu wana haki zao....
Hahahaaaa....... Labda 2025!Bwashee hata Obama alipewa support na mabepari ya ndani ya chama
muda haupoi...endelea kuhabarisha namna Lissu anachaguliwa
halafu ujikaze...usije maliza mwendo kwa mshtuko wa kinachotokea
Chadema itapigwa tafu na belgeum na act itasaidiwa na ujeruman mkuu.Kwa upande wa CCM inaeleweka chama hicho kina rasilimali za kutosha hivyo mkoa unaweza kugharamia shughuli zote za kampeni ya Rais katika mkoa husika.
Nauliza kwa upande wa CHADEMA na ACT Wazalendo kama wana ukwasi wa kuweza kumudu kufanya kampeni nchi nzima!!
Kwa mfano CHADEMA walifeli kuchangishana sh 300m za kuwatoa viongozi wao Segerea hadi Rais Magufuli akaingilia kati kuwachangia sh 38m na Polepole wa CCM akatoa sh 30m.
Sasa wataweza kuchangishana mabilioni ya kampeni?
Bado hamjachelewa.
Maendeleo hayana vyama!
Unakumbu kumbu za EPA, ESCROW, KAGODA, kuchota pesa chama cha waalimu?
Usifanye Watanzania Ni wajinga, kumbu kumbu zipo
Ufisadi mtupu
Mkuu,Chadema wanao mtaji tayari.Hata wasipopiga Kampeni Watashinda tu.Kwa upande wa CCM inaeleweka chama hicho kina rasilimali za kutosha hivyo mkoa unaweza kugharamia shughuli zote za kampeni ya Rais katika mkoa husika.
Nauliza kwa upande wa CHADEMA na ACT Wazalendo kama wana ukwasi wa kuweza kumudu kufanya kampeni nchi nzima!!
Kwa mfano CHADEMA walifeli kuchangishana sh 300m za kuwatoa viongozi wao Segerea hadi Rais Magufuli akaingilia kati kuwachangia sh 38m na Polepole wa CCM akatoa sh 30m.
Sasa wataweza kuchangishana mabilioni ya kampeni?
Bado hamjachelewa.
Maendeleo hayana vyama!
Jipeni moyo mkishindwa muanze kulialia mmeibiwa kura ambazo hazipo.Mkuu,Chadema wanao mtaji tayari.Hata wasipopiga Kampeni Watashinda tu.