El Maestro
Senior Member
- Apr 12, 2020
- 178
- 126
Nyie si ukoo wa kambale, sisi tuna kamati zinashauriGari iko gereji!
Lissu atawasaidia spana!Nyie si ukoo wa kambale, sisi tuna kamati zinashauri
Spana ndo sera yenu ya maendeleo [emoji2]Lissu atawasaidia spana!
Utakuwa huzijui spana wewe!Spana ndo sera yenu ya maendeleo [emoji2]
Ndio maana analazinisha na Lissu apumzike[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Injin imechoka.
Maajabu alopewa ulemavu yeye ni kazi kazi[emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe anapisha watoto wasome kidogo?Kuandaa mkutano wa ccm ni gharama kubwa, pia inataji kukusanya watu kwa ushawishi wa pesa ,ivyo inaitaji muda mrefu kuandaa
Ila nyie jamaa ni wana harakati wazuri hapo tunawapa point, ila kuongoza nchi bado na uzuri wananchi asimilia 90 wanalijua hiloUtakuwa huzijui spana wewe!
Kwa utafiti upi uliofanya?Usiku mwema,usisahau kira yako ma yangu kwa Lissu!Ila nyie jamaa ni wana harakati wazuri hapo tunawapa point, ila kuongoza nchi bado na uzuri wananchi asimilia 90 wanalijua hilo
Hata nikimpigia haitasaidia kupata 25%... kwako piaKwa utafiti upi uliofanya?Usiku mwema,usisahau kira yako ma yangu kwa Lissu!
Ratiba ya kampeni za urais iliyotolewa na NEC inaonyesha, Mgombea urais kupitia CCM, Rais John Magufuli atakuwa na mapumziko ya siku nane kuanzia keshokutwa Jumapili hadi 11 Oktoba 2020. Siku inayofuata atakuwa na mkutano Kinondoni, Dar es Salaam viwanja vya Biafra.
Kaamua kuwakomoa chadema kwa kuzuia mikutano yao mpaka magufuli apone moyo wake
🤐Sinichekeshe mie, labda maana ya neno kuzidiwa imebadilisha jana jioni na convention ya tuki.
kachoka ile.. nasema uongo ndugu zangu!??
Tatizo mwaishi kwa mazoea na ndio maana baada ya "a very geneous and serolious President of Tanzania-JPM." Kubadilisha atitudes za uendeshaji=utendaji wa serikali kafanya maajabu ya Tanzania kuushangaza ulimwengi ndani ya miaka 5. Kwa wengine wakinasangarara hili nalo ni nongwa.
Tathimini zote zinaonesha kesha shinda sasa kwanini asifanya mambo mengine yenye uzito zaidi. Si kila anachofanya Rais utaambiwa vingine ni siri.
rNapendekeza hapa Dar tungepiga show moja tu pale Uwanja wa Mkapa na Uhuru kwa pamoja!
Very wrongSi katoka kupumzika juzi tu! Something is wrong.
Gari la mkaa trip moja porini trip moja gereji.
Ethiopia kuna maflyovers makubwa kuliko yaliyojengwa Dar es salaamMagufuli hakuwa ata na aja ya kufanya kampeni. Arichokifanya watanzania wamekiona.
Ushindi ni zaidi ya 95% wala haitaji kampeni