Uchaguzi 2020 Kampeni za Urais: Mgombea wa CCM Dkt. John Magufuli kwenda mapumziko ya siku nane kuanzia Jumapili tarehe 04 Oktoba 2020

Uchaguzi 2020 Kampeni za Urais: Mgombea wa CCM Dkt. John Magufuli kwenda mapumziko ya siku nane kuanzia Jumapili tarehe 04 Oktoba 2020

Ratiba ya kampeni za urais iliyotolewa na NEC inaonyesha, Mgombea urais kupitia CCM, Rais John Magufuli atakuwa na mapumziko ya siku nane kuanzia keshokutwa Jumapili hadi 11 Oktoba 2020. Siku inayofuata atakuwa na mkutano Kinondoni, Dar es Salaam viwanja vya Biafra.

Hapo kuna valve ishachomoka. Huyu mzee angekuwa tu mzalendo. Kuisaidia nchi angeamua kufa tu
 
Si katoka kupumzika juzi tu! Something is wrong.

Gari la mkaa trip moja porini trip moja gereji.
SASA WEWE HEBU SEMA, NIWAPI YEYE NA TEAM YAKE KWA TANZANIA HII HAWAJAKANYAGA? AKIJA AWAMU YA TATU ANAFANYA MARUDIO YA KUKAZIA TUU. MPAKA SASA TUNA 89% YA KURA ZOTE. JPM OYEEEE, PUMZIKA BABA KURA ZETU USHAZITEKA TAYARI NI ZAKO
 
Labda kuna ‘nyungu’ itaenda pigwa! Lakina wenye mamlaka, tutaangusha Meds and Persians na kuvunja ngome zote, kupiti jina lile lipitalo majina yote!
 
Powerbank tayari imeishiwa chaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ratiba ya kampeni za urais iliyotolewa na NEC inaonyesha, Mgombea urais kupitia CCM, Rais John Magufuli atakuwa na mapumziko ya siku nane kuanzia keshokutwa Jumapili hadi 11 Oktoba 2020. Siku inayofuata atakuwa na mkutano Kinondoni, Dar es Salaam viwanja vya Biafra.



Au hii ndiyo sababu ya mwingine naye kusitishiwa kampeni kwa siku zaba au na huyu amesitishiwa ila tu NEC imeogopa kusema wazi
 
Ratiba ya kampeni za urais iliyotolewa na NEC inaonyesha, Mgombea urais kupitia CCM, Rais John Magufuli atakuwa na mapumziko ya siku nane kuanzia keshokutwa Jumapili hadi 11 Oktoba 2020. Siku inayofuata atakuwa na mkutano Kinondoni, Dar es Salaam viwanja vya Biafra.

Tufike mahali tuache Mungu afanye kazi yake. Magufuli afya mgogoro hawezi himili mikiki mikiki ya kampeni. Asilazimishe kukaa madàrakani wakati ni spanna mkononi, awapishe akina Tundu Lissu wenye afya zao waendelee na kutuongoza.

Unampiga mwenzio risasi 16, unapanga akazikwe kijijini kwao mara moja akisha kufa. Mungu anazuia anaepusha kifo. Then unashinikiza asionwe hospitali na wabunge wenzie, unamnyima kumlipia matibabu, unamnyima mshahara wake na mwishowe unamfukuza ubunge. Lakini bado Mungu anampigania mpaka anakuja kuwa mgombea wa Urais wa Tanzania.

Na wewe mpigaji marisasi ndiyo una afya mgogoro kama vile unaishi Ward ya emergency ya Muhimbili. Siku 2 barabarani siku 4 mapumziko.

TUSIMCHEZEE MUNGU, Rais wa Tanzania kuanzia 29/ 10 ni TUNDU LISSU pamoja na njama zote za NEC, TISS na Polisi
 
Unampiga mwenzio risasi 16, unapanga akazikwe kijijini kwao mara moja akisha kufa. Mungu anazuia anaepusha kifo. Then unashinikiza asionwe hospitali na wabunge wenzie, unamnyima kumlipia matibabu, unamnyima mshahara wake na mwishowe unamfukuza ubunge. Lakini bado Mungu anampigania mpaka anakuja kuwa mgombea wa Urais wa Tanzania.
Duu ni maneno ya kweli kabisa ni mazito yanatoa machozi Mungu atafuta machozi ya Lisu na wote wapenda amani duniani Ameen
 
Naona wanaforce na Lissu aende...

Correct!
Hii hukumu ya Mhe. Tundu Lissu kumsimamisha siku 7 asifanye Kampeni ilishapangwa.Wameona Jiwe akiwa mapumziko halafu Lissu aendelee na Kampeni.......Lissu atapindua Meza Hakika. So it's not just a coincidence, it was pre-planned from the very beginning.....!!
 
Kachoka huyo Mkuu ila ni king'ang'anizi wa madaraka ambayo yamemlevya.



Si katoka kupumzika juzi tu! Something is wrong.

Gari la mkaa trip moja porini trip moja gereji.
 
Ratiba ya kampeni za urais iliyotolewa na NEC inaonyesha, Mgombea urais kupitia CCM, Rais John Magufuli atakuwa na mapumziko ya siku nane kuanzia keshokutwa Jumapili hadi 11 Oktoba 2020. Siku inayofuata atakuwa na mkutano Kinondoni, Dar es Salaam viwanja vya Biafra.

Nilijua masihara. Kweli garage ile ni noma.
 
Kachoka huyo Mkuu ila ni king'ang'anizi wa madaraka ambayo yamemlevya.



Sijawahi ona Chama Cha Majitu manafiki kama haya....Jitu linasema limechoka halafu Majitu mengine yanaanza kushangilia kama mazezeta fulani... What a non-sense!!!
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
JPM ni Rais wa Nchi, kwa hiyo ni muhimu kupumzika kidogo hasa kwa ajili ya kufanya shughuli zingine za Urais.
 
utaombaje kuongezwa mda wakati ni rais tayari?? pumbavu kabisa
😅 Na hili uelimishwe!! Kweli hamna kitu hapa. Unahabari sio tu unatakiwa ushangae anaeomba aongezewe muda wa urais rais.. Bali washangae na wanaogombania urais na rais!.. kawaulize kwanini wanagombania urais na rais halafu jijibu nani ni mpumbavu!
 
Hujaelewa wewe!
Kusema mtu yuko mahututi ICU anapumlia mashine sikumaanisha physical sickness.....!!! Ni kuxidiwa na kuelemewa mbinu za Kampeni na hivo kukata tamaaa!!!

Sinichekeshe mie, labda maana ya neno kuzidiwa imebadilisha jana jioni na convention ya tuki.
 
Back
Top Bottom