Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Kwa muonekano ule wa bashasha kule Mbeya n, Songwe na kwengineko alipofanya kampeni. Hata chekechea wa utabibu atakumbai he is ok health wise mengine ni Mungu na ndivyo ilivyo kwa kila mwanadamu, mimi na wewe.
Hujaelewa wewe!
Kusema mtu yuko mahututi ICU anapumlia mashine sikumaanisha physical sickness.....!!! Ni kuxidiwa na kuelemewa mbinu za Kampeni na hivo kukata tamaaa!!!