Mkataba umesainiwa kwa vishindo na vigelegele ili uwanja wa ndege wa Mwanza uanze kujenga kwa kile kilichosemwa na Mkurugenzi wa TAA kwa dharura iliyopo hapo uwanjani kuboresha huduma.
Magreda yakasombwa site, Msukuma akasifu, Hamis Tabasamu akatabasamu na kusifu na wananchi waliokusanywa wakacheza kwa furaha na kwa imani, tukaambiwa Mama amekwisha toa fedha bilioni 29 na Makalla akasema bilioni 4 za kuanzia zipo zimepelekwa na kukabidhiwa kutoka halmashauri.
Sasa mbona kimya uwanja huu una mkosi gani au Mzawa Taifa Mining Const. Company ya Rostam ndiyo yenye shida? Mbona ni mapema mno kuanza kusuasua na site mobilization? Haka ka mradi ni kadogo sana mbona hivi? Mwanza tuna kiu na mradi huu, Tabasamu aliomba miezi 5 limalizwe hili, tumeteseka kwa vyakutosha.
Mbona TAA hamueleweki kuhusu uwanja huu, acheni siasa mnamwangusha mama kiaina.
Magreda yakasombwa site, Msukuma akasifu, Hamis Tabasamu akatabasamu na kusifu na wananchi waliokusanywa wakacheza kwa furaha na kwa imani, tukaambiwa Mama amekwisha toa fedha bilioni 29 na Makalla akasema bilioni 4 za kuanzia zipo zimepelekwa na kukabidhiwa kutoka halmashauri.
Sasa mbona kimya uwanja huu una mkosi gani au Mzawa Taifa Mining Const. Company ya Rostam ndiyo yenye shida? Mbona ni mapema mno kuanza kusuasua na site mobilization? Haka ka mradi ni kadogo sana mbona hivi? Mwanza tuna kiu na mradi huu, Tabasamu aliomba miezi 5 limalizwe hili, tumeteseka kwa vyakutosha.
Mbona TAA hamueleweki kuhusu uwanja huu, acheni siasa mnamwangusha mama kiaina.