jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Kama walivyojulikana wasiojulikana Tarime?Chezeya Wabongo weye! Washamdukua ni yule kichaa wa magogoni.
Acha unafiki kumbe unajua umeuliza kwa nini ,kama una majibu unataka sisi tukusaidie kwanini usiseme tu ulilotaka kulisema?ndio maana wenye akili wamekujibu walijua uantaka kujua wakati unajua na shida yako ulitaka akina cha umbeya wenzako waje hapa,buure kabsaTulia utajua tu kwa nini imeulizwa hii na sio ile
ππππAcha kutoa majibu ya kipumbavu..
Sura kama kinyesi chako.
Tulia utajua tu kwa nini imeulizwa hii na sio ile
Acha kutoa majibu ya kipumbavu..
Sura kama kinyesi chako.
Mkataba wa Mayanga construction kujenga Chato International Airpot ni wa siri sana. Mayanga haijawahi kujenga uwanja wa ndege b4.
Mayanga ni kampuni ya ujenzi magufuli ni mwanahisa 60%. Ilipewa tender ya ujenzi wa Barbara huko musoma ukakomba hela yote na Barbara haikuisha ikatelekezwa. Wamepewa tender ya ujenzi wa chato airport bila tender competition yeyote. Mali ya jiweInaonekana kuwa na mkanganyiko (frustrations) kwenye mawazo yako kiasi kwamba unachanganya masomo. Na huyo Mayanga ndiye Nani, na ana kashfa gani? Ukitaka kusikika, ongea kwa takwimu na thibitisha ukisemacho. Acha kuwasilisha hisia zako badala ya core evidence.
Mayanga ni kampuni ya ujenzi magufuli ni mwanahisa 60%. Ilipewa tender ya ujenzi wa Barbara huko musoma ukakomba hela yote na Barbara haikuisha ikatelekezwa. Wamepewa tender ya ujenzi wa chato airport bila tender competition yeyote. Mali ya jiwe
Watawala wanafanya haya yote sababu wanaju kwa asilimia mia moja sisi ni MALOFA TUUHivi mbona watawala hawajifunzi? Hivi mbona wanatuchukulia poa sana?
Mr.Clean Benjamini Mkapa, alifanya yake na Anben yake, akajimilikisha na mgodi wa makaa ya mawe ya Kiwira...sijui alikuwa anawaza nini kichwani mwake wakati anafanya hayo, labda ni ile imani yake kwamba Watanzania ni malofa.
Haya, akaja JK na mambo yake ya Home Shopping Center na Lugumi...pesa na raha za muda mfupi hadi sasa Lugumi nyumba zinauzwa, na hadi wametuletea Dr.Louis Shika.
Sasa, amekuja mkali wa kufight corruptions(sic)...corruptions is a cancer... mapema tu kashfa nzito zinarindima, mara Mayanga mara Madege mabovu mara Uwanja wa Ndege kijijini...tunaelekea wapi? Hivi anatuchukuliaje? Kwanini watawala hawajifunzi? Kwanini hawaogopi kufanya haya madudu?
Wewe pia ni tatizoNdo maana nikasemaga kuwa sitokuja poteza muda kupiga kura kabisa
Kwa sababu Wanajuwa katba iliyokuwepo inawalinda inawaruhusu wafanye watakavyo wauwe,wanyan'ganye ,wabake democrasia,wavunje katiba hakuna chombo chochote chenye mamlaka yakuwahoji wakiwa madarakani na hata wanapoondoka madarakani yaani katiba imewapa nguvu ya umungu na chuma tulonacho ndio kabisa hakitaki kusikia chochote kuhusu katiba mpya.
Mayanga ni kampuni ya ujenzi magufuli ni mwanahisa 60%. Ilipewa tender ya ujenzi wa Barbara huko musoma ukakomba hela yote na Barbara haikuisha ikatelekezwa. Wamepewa tender ya ujenzi wa chato airport bila tender competition yeyote. Mali ya jiwe