Kampuni inayojenga Uwanja wa ndege Chato, Mayanga Construction inamilikiwa na nani na ilipataje tenda hiyo?

Mkuu kuna jina jipya limeanzishwa la mchochezi
 
Uchungu na pale unapogundua wewe ni mwanachi na kuna mwenyenchi.
 
Kumbe huna uhakika
 
Angalau sasa
 
Nadhani majibu umepata,ila hayo ungewauliza wizara ya ujenzi mkuu SALARY.We si mzee wa kufukunyua
 
Mtakapokumbuka shuka asubuhi nimeongea and kumekucha.Huo kwanza wa bodega sidhani kama una any impact kwenye Tanzania economy au ni yale yale ya utawala wetu wa KUJENGA kwetu.

Water alisema Mbuzi kwenye kama ndefu ndiyo bila Majani lea wingi
Unaambiwa kila mkoa tunajenga viwanda 100
 
unaihoji serikali chunga sana
 
Huo ni uchochezi, mbona zile ndege hauhoji zilivyonunuliwa? Hii ni vita ya kiuchumi usije ukawa upande wa adui. Marufuku kuhoji hoji kila kitu. Milion 50 kila kijiji/mtaa zitakuja kwa staili nyingine.
Twafwaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…