State Propaganda
JF-Expert Member
- Apr 25, 2024
- 542
- 1,286
Kampuni hiyo ya Askari Metals kupitia kampuni yake tanzu ya tanzania ujulikanayo kama Infinum Uranium so far tunaweza kusema imekwisha pata "baraka" zote za uwekezaji kutoka serikali ya SSH.
Kwa kuanza, kampuni hiyo itafanya utafiti wa sampuli za miamba na geographia kabla ya kuanza uchimbaji katika eneo lenye ukubwa wa kilomita za mramba 292 lililopo kilomita 320 magharibi mwa mkoa wa Dodoma.
Ningependa kujua mmiliki/wamiliki wa kampuni hii maana madini haya ya Urani (Uranium) sio kama madini mengine amabayo tumezoea kuona yakichimbwa nchini.
Na hii ndio mara ya kwanza kwa taifa letu tokea yagunduliwe ndii yanaenda kuanza kuchimbwa.
Madini ya uranium katika ulimwengu wa sasa ni 'lulu' kwani huweza kutumika katika uzalishaji wa nishati ya umeme kupitia vinu vya nyuklia au hata pia katika kutengeneza silaha za maangamizi kama mabomu ya nyuklia.
Hali kadhalika, kama uchimbaji wake hautazingitia utaratibu maalum wa kisanyansi, hatari ya uchafuzi wa kimazingiria na maafa makubwa kwenye ikolojia yanaweza kutokea na kuleta madhara makubwa vizazi na vizazi.
Chanzo
www.mining-technology.com
Kwa kuanza, kampuni hiyo itafanya utafiti wa sampuli za miamba na geographia kabla ya kuanza uchimbaji katika eneo lenye ukubwa wa kilomita za mramba 292 lililopo kilomita 320 magharibi mwa mkoa wa Dodoma.
Ningependa kujua mmiliki/wamiliki wa kampuni hii maana madini haya ya Urani (Uranium) sio kama madini mengine amabayo tumezoea kuona yakichimbwa nchini.
Na hii ndio mara ya kwanza kwa taifa letu tokea yagunduliwe ndii yanaenda kuanza kuchimbwa.
Madini ya uranium katika ulimwengu wa sasa ni 'lulu' kwani huweza kutumika katika uzalishaji wa nishati ya umeme kupitia vinu vya nyuklia au hata pia katika kutengeneza silaha za maangamizi kama mabomu ya nyuklia.
Hali kadhalika, kama uchimbaji wake hautazingitia utaratibu maalum wa kisanyansi, hatari ya uchafuzi wa kimazingiria na maafa makubwa kwenye ikolojia yanaweza kutokea na kuleta madhara makubwa vizazi na vizazi.
Chanzo
Askari secures Eyasi Uranium Project in Tanzania
Askari Metals has announced the full acquisition of the Eyasi Uranium Project, located in northern Tanzania, through its Tanzanian subsidiary, Infinum Uranium.