NOKIALUMIA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 396
- 278
Ndugu zangu, hasa wale wanacheza michezo ya kubahatisha, kampuni hii ya Betika ni matapeli lakini Bodi ya Bahati Nasibu bado ina wacheki tu.
1. Kampuni inaruhusu kudeposit tu! Hata milioni we deposit ila kutoa hela hairuhusu hata siku moja.
2. Hairuhusu withdraw yoyote ile hivyo ukiweka fedha hata ukachezaa ujue huwezi kuitoa hata iwe elfu moja haitoki inabaki kwao. Wanakupa wanavyotaka wao ukipiga utaskia subiri tu utaingia siku yoyote ile (non sense).
3. Poor customer care, ukipiga tu simu wanakudanganya, halafu wanakuwa wakali ukionesha kutoelewa jibu fulani.
4 . Wanamasoko mazuri ili wakukamate.
Kuwen makini
Serikali iingiilie kati hawa ni DECI MPYA
1. Kampuni inaruhusu kudeposit tu! Hata milioni we deposit ila kutoa hela hairuhusu hata siku moja.
2. Hairuhusu withdraw yoyote ile hivyo ukiweka fedha hata ukachezaa ujue huwezi kuitoa hata iwe elfu moja haitoki inabaki kwao. Wanakupa wanavyotaka wao ukipiga utaskia subiri tu utaingia siku yoyote ile (non sense).
3. Poor customer care, ukipiga tu simu wanakudanganya, halafu wanakuwa wakali ukionesha kutoelewa jibu fulani.
4 . Wanamasoko mazuri ili wakukamate.
Kuwen makini
Serikali iingiilie kati hawa ni DECI MPYA