Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,725
- 3,271
..Whizmo ni kampuni ambayo imeanzishwa na kumilikiwa na SHEIKH Saeed Bin Khalaf Bin Ahmed Al Otaiba kutoka abu dhabi Dubai.
- WHIZMO ni moja ya makampuni ya Whizpay Technology LLC.
- WHIZMO ndo neno linalosomeka mbele ya Jezi za Yanga kwa sasa kwenye Caf Champions League.
- Kampuni hii Makao yake Makuu ni DUBAI na inahusika na masuala ya miamala.
#NB: YANGA NI NEXT LEVEL
- WHIZMO ni moja ya makampuni ya Whizpay Technology LLC.
- WHIZMO ndo neno linalosomeka mbele ya Jezi za Yanga kwa sasa kwenye Caf Champions League.
- Kampuni hii Makao yake Makuu ni DUBAI na inahusika na masuala ya miamala.
#NB: YANGA NI NEXT LEVEL