Kampuni ya ElSewedy Electric Co inayotengeneza bwawa la umeme Rufiji imewekewa vikwazo, haitaweza kukopesheka nje

Kampuni ya ElSewedy Electric Co inayotengeneza bwawa la umeme Rufiji imewekewa vikwazo, haitaweza kukopesheka nje

k29

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
730
Reaction score
1,211
Hii ni habari mbaya kwa siku nyengine baada ya Sweden kusitisha ku fund kampuni ya Egypt, ambayo ndio walikua constructor wa mradi huu.

ElSewedy Electric Co

The Council on Ethics recommends that Elsewedy Electric Co be excluded from investment by the fund due to an unacceptable risk that the company is contributing to or is itself responsible for serious environmental damage.

Elsewedy Electric is an Egyptian electrical power company and one of two partners in a joint venture which builds a dam and a hydroelectric power plant on the Rufiji River at Stiegler’s Gorge in Tanzania.

The entire project is located inside the Selous Game Reserve, which has been included on UNESCO’s list of World Heritage Sites in Danger. The reserve is also one of the last remaining large-scale wilderness areas in Africa and considered of extraordinary importance for the preservation of biodiversity. The hydroelectric power plant will cause widespread and irreversible damage to the world heritage site’s outstanding universal values. Mitigating measures would have little impact on this outcome.

The Council on Ethics submitted its recommendation 2 July 2019. Norges Bank published its decision to exclude the company on 12 May 2020.

ElSewedy Electric Co - Council on Ethics

gorge.jpg


PIA SOMA
 
Nimesoma Wizara imetenga kwenye bajeti zaidi ya 60% kukamilisha huo ujenzi

Sioni mradi ukiathirikia


Ila Mabeberu yanaroho mbaya sana yanajifanya yanajali mazingira yetu wakati wao wameharibu mazingira kwa maviwanda yao oooo urithi wa Dunia! Mbona kwenye Nchi zao Hakuna maeneo ya urithi wa Dunia

Hawa wajinga wanataka tusipate umeme Tuendelee kukaa kwenye giza kwa kisingizio cha urithi wa Dunia ?

I hate these P..igs

Nashauri kampuni iende kwa Nchi rafiki
 
Nimesoma Wizara imetenga kwenye bajeti zaidi ya 60% kukamilisha huo ujenzi

Sioni mradi ukiathirikia
Naomba ueke hapa kithibitisho na mimi ni some
 
Hii ni habari mbaya kwa siku nyengine baada ya Sweden kusitisha ku fund kampuni ya Egypt, ambayo ndio walikua constructor wa mradi huu.
Link hii hapa.
ElSewedy Electric Co - Council on Ethics

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani ni Norwegian Sovereign Wealthy Fund ndio wamesitisha kuwapa pesa hawa wahuni wa Misri kwa vile wanajenga mradi ambao unaharibu kabisa world heritage sites!
.......

It also barred Egypt’s Elsewedy Electric due to its participation in a hydropower project in Tanzania that it classed as “severe environmental damage” and Brazil’s Eletrobras for “systematic human rights violations” due to the construction of a power plant. These exclusions, along with Vale’s, were based on recommendations from the independent Council of Ethics.
 
Kwa pesa za misaada ambazo mchangiaji mmojawapo ni Sweden.. Jiongeze kidogo basi

Jr[emoji769]


It also barred Egypt’s Elsewedy Electric due to its participation in a hydropower project in Tanzania that it classed as “severe environmental damage” and Brazil’s Eletrobras for “systematic human rights violations” due to the construction of a power plant. These exclusions, along with Vale’s, were based on recommendations from the independent Council of Ethics.
 
Hii ni laana ya watumishi wa umma.
Hii miradi hata kama ingekamilika isingeleta tija kwa watanzania.
Huwezi kumjibu mtumishi majibu ya dharau kwa miaka 5 then ukategemea NEEMA.
Nchi nyingi zitaathirika kwa corona but zitasimama ila Tanzania itaanza upya kabisa.
 
Back
Top Bottom