blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Jamaa ataambia nini watu wake wa CCM .... Hata uchaguzi sioni ukifanyika.Daah tumekwisha Ndege ndio hizo zimedorora Stiglers nayo ndio hiyo kilichobakia ni Sgr hii ni mikosi ya kujitakia ya kumpiga Tundu Lissu risasi