Kampuni ya ElSewedy Electric Co inayotengeneza bwawa la umeme Rufiji imewekewa vikwazo, haitaweza kukopesheka nje

Kampuni ya ElSewedy Electric Co inayotengeneza bwawa la umeme Rufiji imewekewa vikwazo, haitaweza kukopesheka nje

Daah tumekwisha Ndege ndio hizo zimedorora Stiglers nayo ndio hiyo kilichobakia ni Sgr hii ni mikosi ya kujitakia ya kumpiga Tundu Lissu risasi
Kumbe haya makampuni hayana uwezo wa kifedha, yanategemea kukopa toka kwa mabeberu. Nilijiuliza sana hawa waarabu utaalamu wa kujenha haya majitu makubwa hivi na expertise ya hali ya juu wameutoa wpi? Kumbe ni ubia na wazungu.....Norwegians ambao wako juu sana katika oil and gas exploration ... ambayo inajumuisha na vitu kama dams etc etc!
Hoja yangu, why not go to Norway directly ukawapa tender ya kujenga mradi huo? I stand to be corrected! It seems to me, huyu Elsawedy ni middle man ?????
 
Aisee tafadhali sana. ACHA KUMUITA MHESHIMIWA "TAUSI" [emoji2]
Huko Chato naona Betri inaweza kupiga shoti
Yaani ule mradi ambao ndio ilikuwa karata ya kampeni nao ndio huo Corona nayo inatafuna uchumi kila kukicha

Mbuga za wanyama hazina mtalii hata wa dawa

Mahoteli yamefungwa huku TRA bado wanagonga milango ili wapewe chao

Majirani wametususa na kutufungia mipaka

Wauguzi huko hospitali wanapukutika kwa ukosefu wa PPE

Halafu guess what!...order inatoka kwamba Mrema aende kuchukua mabulungutu ya fedha za walipakodi ili akafanye mkutano wa kumsifu Tausi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kampuni ya Elsewedy Electic ya Misri inayojenga bwawa la umeme Rufiji imewekewa vikwazo kuweza kupata mikopo kwa sababu ya ushiriki wake kwenye ujenzi wa hilo bwawa.

Inatuhumiwa kushirikiana na serikali ya Tanzania kuharibu mojawapo ya hifadhi chache za asili zilizosalia Duniani ya Selou.

Hii inaweza kupelekea kukosa mikopo ya nje ya kugharamia mradi wa Umeme(Stiglers Gorge) ambao serikali yetu inautekeleza.

ElSewedy Electric Co - Council on Ethics
 
Mkataba ni kati yetu sisi na Elsewedy mkataba kati ya Elsewedy na wafadhili wake ambao mojawapo ni sweden sisi hautuhusu.
Ni wajibu wa Elsewedy kutafuta mfadhili mwingine ili wakamilishe mradi wetu tuwalipe chao.
Kama umewahi kujenga mradi wowote kwa kupitia kampuni utaelewa kuwa mkataba wa kampuni na wafadhili wake wewe haukuhusu.
Isitoshe mradi wa Stiglers unajengwa na kampuni mbili tanzu, iwapo Elsewedy watashindwa kupata mfadhili mradi utaendelea japo utachelewa kukamilika.
Naona wachangiaji wengi wamechangia kwa chuki kiasi cha kupofusha uwezo wao wa kupambanua mambo madogo kama haya.
Kufurahia kufeli kwa huu mradi ni upumbavu mkubwa kwasababu huu mradi sio JPM ni mradi wa Watanzania wote na vizazi vijavyo.
 
Kampuni ya Elsewedy Electic ya Misri inayojenga bwawa la umeme Rufiji imewekewa vikwazo kuweza kupata mikopo kwa sababu ya ushiriki wake kwenye ujenzi wa hilo bwawa.

Inatuhumiwa kushirikiana na serikali ya Tanzania kuharibu mojawapo ya hifadhi chache za asili zilizosalia Duniani ya Selou.

Hii inaweza kupelekea kukosa mikopo ya nje ya kugharamia mradi wa Umeme(Stiglers Gorge) ambao serikali yetu inautekeleza.

ElSewedy Electric Co - Council on Ethics
Nimeona hiyo. Wanatuhumu kuhusika kuharibu mazingira! Jiwe kuna janga anatutafuta siyo bure. Brazil wangetaka basi kule Amazon wangezalisha malaki ya megawatt za umeme ila wanaiangalia dunia.
 
Hii ni habari mbaya kwa siku nyengine baada ya Sweden kusitisha ku fund kampuni ya Egypt, ambayo ndio walikua constructor wa mradi huu.

ElSewedy Electric Co

The Council on Ethics recommends that Elsewedy Electric Co be excluded from investment by the fund due to an unacceptable risk that the company is contributing to or is itself responsible for serious environmental damage
Elsewedy Electric is an Egyptian electrical power company and one of two partners in a joint venture which builds a dam and a hydroelectric power plant on the Rufiji River at Stiegler’s Gorge in Tanzania.

The entire project is located inside the Selous Game Reserve, which has been included on UNESCO’s list of World Heritage Sites in Danger. The reserve is also one of the last remaining large-scale wilderness areas in Africa and considered of extraordinary importance for the preservation of biodiversity. The hydroelectric power plant will cause widespread and irreversible damage to the world heritage site’s outstanding universal values. Mitigating measures would have little impact on this outcome.

The Council on Ethics submitted its recommendation 2 July 2019. Norges Bank published its decision to exclude the company on 12 May 2020.


ElSewedy Electric Co - Council on Ethics
Norges bank ni Norwegian bank sio Sweden bank.
 
Back
Top Bottom