Kampuni ya ElSewedy Electric Co inayotengeneza bwawa la umeme Rufiji imewekewa vikwazo, haitaweza kukopesheka nje

Kampuni ya ElSewedy Electric Co inayotengeneza bwawa la umeme Rufiji imewekewa vikwazo, haitaweza kukopesheka nje

Hali itakua mbaya sana, ila mbona kama walisema tunajenga kwa pesa yetu wenyewe.
Hii inamaanisha kila kampuni itakayopewa tenda lazima ipigwe pini.
Je ni kampuni gani haitowemewa vikwazo? Je itakubali kuendelea na ujenzi kwa gharama gani?
Hao mabeberu ni noma sana! Wamesubiri mrafi umefika hatua, wakatibua mchezo.
Kuna haja ya kuishi nao kwa akili kama wao wanavyoishi nasi, si manguvu.
 
Nimesoma Wizara imetenga kwenye bajeti zaidi ya 60% kukamilisha huo ujenzi

Sioni mradi ukiathirikia


Ila Mabeberu yanaroho mbaya sana yanajifanya yanajali mazingira yetu wakati wao wameharibu mazingira kwa maviwanda yao oooo urithi wa Dunia! Mbona kwenye Nchi zao Hakuna maeneo ya urithi wa Dunia

Hawa wajinga wanataka tusipate umeme Tuendelee kukaa kwenye giza kwa kisingizio cha urithi wa Dunia ?

I hate these P..igs

Nashauri kampuni iende kwa Nchi rafiki
Ule wa gas uliishia wapi
 
Kwa maoni yangu inashangaza sana ukichukulia hatua tuliyo kuwa tumefikiaya umeme wa gesighafla awamu hii ikakimbilia ktk project tata ya bwawa la Selous! Sijui kama kulikuwepo mjadala wa maana kabla ya uamuzi huo.

Ile gas mikataba yake unajua ina nn ndani yake? Dunia nzima umeme bei rahisi ni wa maji, ila Kinyerezi inatumia gas kuzalisha umeme, hivyo gas imetusaidia pia
 
Tatizo ni wanaotuongoza mpaka tuondokane nao ndio mambo yatakuwa vizuri.
 
Hii ni habari mbaya kwa siku nyengine baada ya Sweden kusitisha ku fund kampuni ya Egypt, ambayo ndio walikua constructor wa mradi huu.

ElSewedy Electric Co

The Council on Ethics recommends that Elsewedy Electric Co be excluded from investment by the fund due to an unacceptable risk that the company is contributing to or is itself responsible for serious environmental damage
Elsewedy Electric is an Egyptian electrical power company and one of two partners in a joint venture which builds a dam and a hydroelectric power plant on the Rufiji River at Stiegler’s Gorge in Tanzania.

The entire project is located inside the Selous Game Reserve, which has been included on UNESCO’s list of World Heritage Sites in Danger. The reserve is also one of the last remaining large-scale wilderness areas in Africa and considered of extraordinary importance for the preservation of biodiversity. The hydroelectric power plant will cause widespread and irreversible damage to the world heritage site’s outstanding universal values. Mitigating measures would have little impact on this outcome.

The Council on Ethics submitted its recommendation 2 July 2019. Norges Bank published its decision to exclude the company on 12 May 2020.


ElSewedy Electric Co - Council on Ethics

Haya weeeee !!!
 
Nashauri kampuni iende kwa Nchi rafiki
Wapi, Uchina?
Huko nako watawakumbusha Bagamoyo!

Haya mambo hayahitaji papara. Hakuna lazima yoyote ya kutotumia akili ulizojaaliwa na Mwenyezi Mungu kuwanyamazisha hawa unaowaita ..."P...igs".

Ni kukosa akili (weledi), ndio maana mambo yanakuwa kama hivi yanavyotokea sasa.

Siwaungi mkono hao 'p...gs', lakini kutojua njia za kuwanyamazisha ndio ujinga wetu ulipo.
 
Mkataba ni kati yetu sisi na Elsewedy mkataba kati ya Elsewedy na wafadhili wake ambao mojawapo ni sweden sisi hautuhusu.
Ni wajibu wa Elsewedy kutafuta mfadhili mwingine ili wakamilishe mradi wetu tuwalipe chao.
Kama umewahi kujenga mradi wowote kwa kupitia kampuni utaelewa kuwa mkataba wa kampuni na wafadhili wake wewe haukuhusu.
Isitoshe mradi wa Stiglers unajengwa na kampuni mbili tanzu, iwapo Elsewedy watashindwa kupata mfadhili mradi utaendelea japo utachelewa kukamilika.
Naona wachangiaji wengi wamechangia kwa chuki kiasi cha kupofusha uwezo wao wa kupambanua mambo madogo kama haya.
Kufurahia kufeli kwa huu mradi ni upumbavu mkubwa kwasababu huu mradi sio JPM ni mradi wa Watanzania wote na vizazi vijavyo.

Akili za ajabu kweli kweli ndio maana kama taifa tunazidi kuangamia kila siku.
 
hao jamaa waliambiwa kitakachotokea endapo wataamua kujihusisha na ujenzi wa bwawa hilo hivyo walijua wazi kabisa kuna madhara kwao na kama hawakujipanga basi ndo ishakula kwao hiyo, yaani si kwamba hawatapata pesa za kujengea mradi huu bali watakuwa wamejikosesha sifa ya kukopesheka na taasisi za kifedha za kimataifa zoote.
 
"The reserve is also one of the last remaining large-scale wilderness areas in Africa and considered of extraordinary importance for the preservation of biodiversity. The hydroelectric power plant will cause widespread and irreversible damage to the world heritage site’s outstanding universal values. Mitigating measures would have little impact on this outcome."
Kama hali ingekuwa ni ya kawaida, hapa tungesimama na rais wetu kuwapinga kwa nguvu zote hawa watu.

Lakini hali ya nchi yetu siyo ya kawaida kabisa.

Inaudhi sana mtu toka nje kuja kukuamlia mambo ya kufanya nyumani kwako kwa manufa ya wananchi wako. Huu ni upuuzi usiokubalika.

Sasa inabidi baadhi ya wananchi wetu washangilie maamuzi kama haya, kwa sababu tofauti kabisa na ya hao mabeberu.
 
Nimewachukuwa ninyi wachache ili kuangalia akili yenu> Kama ni CHADEMA naelewa ni kwa nini munaandika haya, lakini kama ni wannachi kama mimi huko mitaani basi nawaonea huruma. Unashangilia nchi ya nje inayokwamisha mradi wa kukuletea umeme! Nadhani tuna matatizo vichwani.

Mmoja wenu anaweza kutueleza sababu inayomfurahisha? Au nanyi munasema mazingira? Munaona hao ni watetezi wa mazingira yenu, siyo? Rubbish brain! Walipowauza utumwa hawakuona utu wenu?
Hivi umeme wa gas ulifia wapi wakati kipindi kile cha vurugu Mtwara tuliaminishwa utakuwa wa uhakika na kuni hazitotumika tena kama nishati ya kupikia?
CCM wamekuwa matapeli wasioogopa hata Mungu aliyewaumba
 
Mkataba ni kati yetu sisi na Elsewedy mkataba kati ya Elsewedy na wafadhili wake ambao mojawapo ni sweden sisi hautuhusu.
Ni wajibu wa Elsewedy kutafuta mfadhili mwingine ili wakamilishe mradi wetu tuwalipe chao.
Kama umewahi kujenga mradi wowote kwa kupitia kampuni utaelewa kuwa mkataba wa kampuni na wafadhili wake wewe haukuhusu.
Isitoshe mradi wa Stiglers unajengwa na kampuni mbili tanzu, iwapo Elsewedy watashindwa kupata mfadhili mradi utaendelea japo utachelewa kukamilika.
Naona wachangiaji wengi wamechangia kwa chuki kiasi cha kupofusha uwezo wao wa kupambanua mambo madogo kama haya.
Kufurahia kufeli kwa huu mradi ni upumbavu mkubwa kwasababu huu mradi sio JPM ni mradi wa Watanzania wote na vizazi vijavyo.
Umejitahidi sana, lakini unajitia upofu tu mwenyewe.

Kampuni haihusiki na eneo ililokabidhiwa kufanya mradi huo. Hilo ni tatizo la mwenye mradi.
 
Kumbe haya makampuni hayana uwezo wa kifedha, yanategemea kukopa toka kwa mabeberu. Nilijiuliza sana hawa waarabu utaalamu wa kujenha haya majitu makubwa hivi na expertise ya hali ya juu wameutoa wpi? Kumbe ni ubia na wazungu.....Norwegians ambao wako juu sana katika oil and gas exploration ... ambayo inajumuisha na vitu kama dams etc etc!
Hoja yangu, why not go to Norway directly ukawapa tender ya kujenga mradi huo? I stand to be corrected! It seems to me, huyu Elsawedy ni middle man ?????
Endelea kuunga doti alafu malizia na yule waziri wa mambo ya ndani aliyetumbuliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesoma Wizara imetenga kwenye bajeti zaidi ya 60% kukamilisha huo ujenzi

Sioni mradi ukiathirikia


Ila Mabeberu yanaroho mbaya sana yanajifanya yanajali mazingira yetu wakati wao wameharibu mazingira kwa maviwanda yao oooo urithi wa Dunia! Mbona kwenye Nchi zao Hakuna maeneo ya urithi wa Dunia

Hawa wajinga wanataka tusipate umeme Tuendelee kukaa kwenye giza kwa kisingizio cha urithi wa Dunia ?

I hate these P..igs

Nashauri kampuni iende kwa Nchi rafiki
Sasa ndio nimejua kiwango cha maarifa yako kichwani. Wewe ni mweupee! Sasa ngoja nikufahamishe. Ile project inahitaji trillion shs 7 ! Bajet ya Wizara haizidi hata trillion 1.sasa asilimia 60 ni bilioni kama 400 tu. Bado unadhati mradi utaendelea? UMEKUFA KIFO CHA MENDE!! Full stop.
 
Nimesoma Wizara imetenga kwenye bajeti zaidi ya 60% kukamilisha huo ujenzi

Sioni mradi ukiathirikia


Ila Mabeberu yanaroho mbaya sana yanajifanya yanajali mazingira yetu wakati wao wameharibu mazingira kwa maviwanda yao oooo urithi wa Dunia! Mbona kwenye Nchi zao Hakuna maeneo ya urithi wa Dunia

Hawa wajinga wanataka tusipate umeme Tuendelee kukaa kwenye giza kwa kisingizio cha urithi wa Dunia ?

I hate these P..igs

Nashauri kampuni iende kwa Nchi rafiki
Afu kuna mishenzi inasherehekea, mijitu kama hiyo ikipotezwa nayo kuna vima wataibuka kuililia...haya bhana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ndio nimejua kiwango cha maarifa yako kichwani. Wewe ni mweupee! Sasa ngoja nikufahamishe. Ile project inahitaji trillion shs 7 ! Bajet ya Wizara haizidi hata trillion 1.sasa asilimia 60 ni bilioni kama 400 tu. Bado unadhati mradi utaendelea? UMEKUFA KIFO CHA MENDE!! Full stop.
Mpumbavu wewe ushautembelea hiyo project? unajua kwa sasa ishafikia asilimia ngapi? unajua ni kiasi gani kishalipwa? maandiko yanasema ficha upumbavu wako usiifiche hekima yako, tuliza makalio yako acha wanaume wafanye kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpumbavu wewe ushautembelea hiyo project? unajua kwa sasa ishafikia asilimia ngapi? unajua ni kiasi gani kishalipwa? maandiko yanasema ficha upumbavu wako usiifiche hekima yako, tuliza makalio yako acha wanaume wafanye kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi najua hata asilimia 15 hawaja fika. Hata wangefikia 40% the project so far is no more. Tuliwaambia CCM kumejaa wajinga.Take it from me kamwe hautaendelea.Na kinacho fuata Tanzania yenyewe itaingizwa katika kibano kitakatifu. Wait and see.
 
Back
Top Bottom