Kampuni ya ElSewedy Electric Co inayotengeneza bwawa la umeme Rufiji imewekewa vikwazo, haitaweza kukopesheka nje

Kampuni ya ElSewedy Electric Co inayotengeneza bwawa la umeme Rufiji imewekewa vikwazo, haitaweza kukopesheka nje

Yani MICHADEMA na MITUNDULISU sijui akili zao Ni za hovyo kabisa.
Uzuri ni kwamba Corona haidanganyi! Tuliwaambia itaua Wengi mkabisha. Wait May and June is now here to prove who was right and who was wrong!!
Stiegler's gorge project ndio imefikia kikomo. Tumieni akili sometimes. Jambo lililo mshinda Nyerere aweze JPM you must be kidding.
 
Mimi najua hata asilimia 15 hawaja fika. Hata wangefikia 40% the project so far is no more. Tuliwaambia CCM kumejaa wajinga.Take it from me kamwe hautaendelea.Na kinacho fuata Tanzania yenyewe itaingizwa katika kibano kitakatifu. Wait and see.
Project itakamilika, endeleeni kuwashwa na mfahamu tu kwamba yo days are numbered! hakuna kipya, yanayofanywa sasa hakuna ambaye hakuyategemea, na yako na utatuzi wake kitambo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wanajamvi,

Nimepokea kwa masikitiko makubwa kwamba Kampuni inayo tengeneza umeme wa maporomoko makubwa ya Rufiji almaarufu kama Stiegler's gorge imekutana na rungu la mabeberu. Hii ina maana moja tu kwamba ili kulinda kampuni yao hawana option zaidi ya kujiondoa kwenye mradi. Hawawezi kuendelea kwasababu waliotegemea kuwakopesha watakuwa black listed na kutengwa na dunia.

Tulitoa ushauri mkadhani sisi siyo wazalendo. Kuwa mzalendo haimanishi uunge mkono hata mambo ambayo baadae yataiangamiza Nchi. Kifupi ni kwamba the project is no more. Full stop. Failure number one. Mnahesabu lakini?

Pili, Mwanzoni kabisa wenye akili tulishauri kwamba ni muhimu serikali ikafuata maelekezo ya kidunia na Kisayansi lakini viongozi wakakaidi.Sasa matokeo yake ni kwamba inaelekea soon Nchi itakuwa ni Epercenter ya corona! Unajua nini maana yake? Watalii wamegoma kuja! Utalii ume palalyse! Very soon Nchi majiri watatunyanyapaa kama wenye ukoma. Uchumi utaathiri pakubwa sana.

Shilling imesha anza kuporomoka. Kufikia July huko everything will be crystal clear nani alikuwa mzalendo wa kweli.

Tatu, katika zama hizi kujaribu kufuta upinzani kwa mtutu wa bunduki ni kuchagua ujinga. Ni mbio za sakafuni. Kama Nchi kamwe hatuwezi kugharamia uchaguzi kwa fedha zetu wenyewe! NEVER. Jiulizeni kimya kingi hiki ni cha nini?

Failure number three! Mimi nahesabu. Ninyi wazalendo koko zindukeni. Teteeni nchi kuliko CCM. Au Magufuli. Akikosea mwambieni ukweli.
 
Project itakamilika, endeleeni kuwashwa na mfahamu tu kwamba yo days are numbered! hakuna kipya, yanayofanywa sasa hakuna ambaye hakuyategemea, na yako na utatuzi wake kitambo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
You are fooling yourself! Wenye akili zetu tulijua kitambo. Duniani tunategemeana. Ukiamua kuishi utakavyo jipange!
 
Hii ni habari mbaya kwa siku nyengine baada ya Sweden kusitisha ku fund kampuni ya Egypt, ambayo ndio walikua constructor wa mradi huu.

ElSewedy Electric Co

The Council on Ethics recommends that Elsewedy Electric Co be excluded from investment by the fund due to an unacceptable risk that the company is contributing to or is itself responsible for serious environmental damage
Elsewedy Electric is an Egyptian electrical power company and one of two partners in a joint venture which builds a dam and a hydroelectric power plant on the Rufiji River at Stiegler’s Gorge in Tanzania.

The entire project is located inside the Selous Game Reserve, which has been included on UNESCO’s list of World Heritage Sites in Danger. The reserve is also one of the last remaining large-scale wilderness areas in Africa and considered of extraordinary importance for the preservation of biodiversity. The hydroelectric power plant will cause widespread and irreversible damage to the world heritage site’s outstanding universal values. Mitigating measures would have little impact on this outcome.

The Council on Ethics submitted its recommendation 2 July 2019. Norges Bank published its decision to exclude the company on 12 May 2020.


ElSewedy Electric Co - Council on Ethics


Eti mawe anajifanya kushindana na superpowers,subutuu!

Hiyo ni stage 1

Bado mpaka stage 10,stage 2 follows up!
 
Beberu ni mtu hatari sana,unatakiwa uende naye taratibu kwa mahesabu. ukikurupuka hutoboi tena ukiwa jeshi la mtu mmoja
 
Mabeberu wameshafeli kwa huu mradi, sisi tunasonga mbele, hivi kwa akili ya kawaida tu, huu Mradi wa bwawa la Mwalimu Nyerere una occupy just less than 1% ya Selous Game Reserve yote na hata kidogo haitumii maji kukausha mto Rujifi, maji kutoka upstream yakizungusha Water Turbine yanaenda zake downstream ya mto, na hakuna hata nukta ya Wildlife kuadhiriwa wala environmental damage sbb assessment ilikamilika kabisa na hakuna madhara ya mazingira.
Sbb wamezoea tubakie ktk umaskini tusipate umeme wa kutosheleza hawa mabeberu majinga sana na kwa uwezo wa Mungu na Mh. Rais wetu hatetereki ni mwenye uelewa mkubwa na mradi utakamilika. Long pink nose wamekwama. Shit

Mkuu

Wakubwa wenye dunia yao washaamua bwawa halijengwi

Sasa hela utazipata na utapitisha wapi?

Financial system globally ni owned by the west!

Nendeni China halafu wataifishe nchi kabisa!

Hii dunia ni diplomacy,na jiwe ana zero in that!
 
Yatupasa tujiulize Endapo swala la umeme huo likifanikiwa wewe mtoa mada litakuathiri vipi? Naomba nipatiwe jibu hapa

Hakuna nchi duniani imefanikiwa ktk viwanda huku ikiwa na umeme wa kusuasua fungueni akili hata kama tunampinga jiwe. Leo hata ikitokea nchi ikatengwa kwa kurutubisha madini ya uranium mimi nitaunga mkono

China wanaumeme wa uhakika ndio maana mnaagiZa bidhaa huko.
Nchi za ulaya na marekani ndio usiseme nishati ya uhakika.

Kosa la Magufuli ni lipi kutaka umeme wa uhakika? Inasikitisha sana hata kama tunapinga tupinge ila si kwa mambo ya kitaifa tusimame pamoja.
 
Una elewa unachokiandika wewe kapuku! huoni mradi kuathirika kwa kigezo gani hasa? Tafsiri ya kutengwa 60% unaijua? umejiridhisha juu ya sources of funding the project to reach such expected percent?
Nimesoma Wizara imetenga kwenye bajeti zaidi ya 60% kukamilisha huo ujenzi

Sioni mradi ukiathirikia


Ila Mabeberu yanaroho mbaya sana yanajifanya yanajali mazingira yetu wakati wao wameharibu mazingira kwa maviwanda yao oooo urithi wa Dunia! Mbona kwenye Nchi zao Hakuna maeneo ya urithi wa Dunia

Hawa wajinga wanataka tusipate umeme Tuendelee kukaa kwenye giza kwa kisingizio cha urithi wa Dunia ?

I hate these P..igs

Nashauri kampuni iende kwa Nchi rafiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo ni changamoto katika utekelezaji wa miradi mikubwa kama hiyo, hakuna kurudi nyuma, mbadala wake utapatikana tu, natumai mradi hautafeli.
 
Yatupasa tujiulize Endapo swala la umeme huo likifanikiwa wewe mtoa mada litakuathiri vipi? Naomba nipatiwe jibu hapa

Hakuna nchi duniani imefanikiwa ktk viwanda huku ikiwa na umeme wa kusuasua fungueni akili hata kama tunampinga jiwe. Leo hata ikitokea nchi ikatengwa kwa kurutubisha madini ya uranium mimi nitaunga mkono

China wanaumeme wa uhakika ndio maana mnaagiZa bidhaa huko
Nchi za ulaya na marekani ndio usiseme nishati ya uhakika


Kosa la magufuli ni lipi kutaka umeme wa uhakika? Inasikitisha sana hata kama tunapinga tupinge ila si kwa mambo ya kitaifa tusimame pamoja
Usibabaishwe na hizo multiple accounts za waloko ughaibuni, hili tulijua litatokea na plan B ipo, project lazima ikamilike na Corona haitomuua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzuri ni kwamba Corona haidanganyi! Tuliwaambia itaua Wengi mkabisha. Wait May and June is now here to prove who was right and who was wrong!!
Stiegler's gorge project ndio imefikia kikomo. Tumieni akili sometimes. Jambo lililo mshinda Nyerere aweze JPM you must be kidding.
Nyerere hakushindwa kujenga mradi huo bali aliheshimu mikataba ya kimataifa badala yake alijenga Mtera na mabwawa mengine.
 
Back
Top Bottom