JERUSALEMU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 3,114
- 3,541
Ukiona mtu anakimbilia matusi badala ya hoja kwa hoja ujue hana Elimu. Ni msukuma fulani hivi whose education is meagre and of unsatisfactory kind. You are definitely one of them. That is no doubt.
Hii ni laana ya watumishi wa umma.
Uzuri ni kwamba Corona haidanganyi! Tuliwaambia itaua Wengi mkabisha. Wait May and June is now here to prove who was right and who was wrong!!Yani MICHADEMA na MITUNDULISU sijui akili zao Ni za hovyo kabisa.
Project itakamilika, endeleeni kuwashwa na mfahamu tu kwamba yo days are numbered! hakuna kipya, yanayofanywa sasa hakuna ambaye hakuyategemea, na yako na utatuzi wake kitambo sana.Mimi najua hata asilimia 15 hawaja fika. Hata wangefikia 40% the project so far is no more. Tuliwaambia CCM kumejaa wajinga.Take it from me kamwe hautaendelea.Na kinacho fuata Tanzania yenyewe itaingizwa katika kibano kitakatifu. Wait and see.
You are fooling yourself! Wenye akili zetu tulijua kitambo. Duniani tunategemeana. Ukiamua kuishi utakavyo jipange!Project itakamilika, endeleeni kuwashwa na mfahamu tu kwamba yo days are numbered! hakuna kipya, yanayofanywa sasa hakuna ambaye hakuyategemea, na yako na utatuzi wake kitambo sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Walikimbilia kuhesabu faida kuliko janga watakalo chuma. Actually walikuwa wajinga kuliko CCMhiyo kampuni nayo inakuwa kama CCM. haikufanya project risk analysis kabla ya kufanya mobilization
Hii ni habari mbaya kwa siku nyengine baada ya Sweden kusitisha ku fund kampuni ya Egypt, ambayo ndio walikua constructor wa mradi huu.
ElSewedy Electric Co
The Council on Ethics recommends that Elsewedy Electric Co be excluded from investment by the fund due to an unacceptable risk that the company is contributing to or is itself responsible for serious environmental damage
Elsewedy Electric is an Egyptian electrical power company and one of two partners in a joint venture which builds a dam and a hydroelectric power plant on the Rufiji River at Stiegler’s Gorge in Tanzania.
The entire project is located inside the Selous Game Reserve, which has been included on UNESCO’s list of World Heritage Sites in Danger. The reserve is also one of the last remaining large-scale wilderness areas in Africa and considered of extraordinary importance for the preservation of biodiversity. The hydroelectric power plant will cause widespread and irreversible damage to the world heritage site’s outstanding universal values. Mitigating measures would have little impact on this outcome.
The Council on Ethics submitted its recommendation 2 July 2019. Norges Bank published its decision to exclude the company on 12 May 2020.
ElSewedy Electric Co - Council on Ethics
Mabeberu wameshafeli kwa huu mradi, sisi tunasonga mbele, hivi kwa akili ya kawaida tu, huu Mradi wa bwawa la Mwalimu Nyerere una occupy just less than 1% ya Selous Game Reserve yote na hata kidogo haitumii maji kukausha mto Rujifi, maji kutoka upstream yakizungusha Water Turbine yanaenda zake downstream ya mto, na hakuna hata nukta ya Wildlife kuadhiriwa wala environmental damage sbb assessment ilikamilika kabisa na hakuna madhara ya mazingira.
Sbb wamezoea tubakie ktk umaskini tusipate umeme wa kutosheleza hawa mabeberu majinga sana na kwa uwezo wa Mungu na Mh. Rais wetu hatetereki ni mwenye uelewa mkubwa na mradi utakamilika. Long pink nose wamekwama. Shit
kwani pesa za misaada na mikopo huwa haiingizwi kwenye bajeti?Imetengewa bajeti this year Kwenye wizara ya nishati
Nimesoma Wizara imetenga kwenye bajeti zaidi ya 60% kukamilisha huo ujenzi
Sioni mradi ukiathirikia
Ila Mabeberu yanaroho mbaya sana yanajifanya yanajali mazingira yetu wakati wao wameharibu mazingira kwa maviwanda yao oooo urithi wa Dunia! Mbona kwenye Nchi zao Hakuna maeneo ya urithi wa Dunia
Hawa wajinga wanataka tusipate umeme Tuendelee kukaa kwenye giza kwa kisingizio cha urithi wa Dunia ?
I hate these P..igs
Nashauri kampuni iende kwa Nchi rafiki
Daah tumekwisha Ndege ndio hizo zimedorora Stiglers nayo ndio hiyo kilichobakia ni Sgr hii ni mikosi ya kujitakia ya kumpiga Tundu Lissu risasi
Usibabaishwe na hizo multiple accounts za waloko ughaibuni, hili tulijua litatokea na plan B ipo, project lazima ikamilike na Corona haitomuua.Yatupasa tujiulize Endapo swala la umeme huo likifanikiwa wewe mtoa mada litakuathiri vipi? Naomba nipatiwe jibu hapa
Hakuna nchi duniani imefanikiwa ktk viwanda huku ikiwa na umeme wa kusuasua fungueni akili hata kama tunampinga jiwe. Leo hata ikitokea nchi ikatengwa kwa kurutubisha madini ya uranium mimi nitaunga mkono
China wanaumeme wa uhakika ndio maana mnaagiZa bidhaa huko
Nchi za ulaya na marekani ndio usiseme nishati ya uhakika
Kosa la magufuli ni lipi kutaka umeme wa uhakika? Inasikitisha sana hata kama tunapinga tupinge ila si kwa mambo ya kitaifa tusimame pamoja
Nyerere hakushindwa kujenga mradi huo bali aliheshimu mikataba ya kimataifa badala yake alijenga Mtera na mabwawa mengine.Uzuri ni kwamba Corona haidanganyi! Tuliwaambia itaua Wengi mkabisha. Wait May and June is now here to prove who was right and who was wrong!!
Stiegler's gorge project ndio imefikia kikomo. Tumieni akili sometimes. Jambo lililo mshinda Nyerere aweze JPM you must be kidding.