Kampuni ya Kenya iliyokataliwa na Hayati Magufuli yaletwa nchini

JPM hakua Mungu , reference ni kuonyesha kua kampuni hio imeshakua vetted na kuonekana sio
Yeye Magufuli alifikiri ni mungu kwa mujibu wa akina Kabudi, Aggrey Mwanri na Sheikh Alhad wa Bakwata Dar. Ndiyo maana alikuwa anaua wanaomkwaza
 
JPM asingekubali uozo wake chattle airport uanikwe wazi na kampuni hii au ule ununuzi wa ndege
Wewe Kilaza hii kampuni ni kwa ajili ya Simu tu. JPM ulifanya vema kutuondolewa hawa takataka wa Vyeti feki
 
Vizuri sana kwa kuweka kumbu kumbu sawa!
 
TANZANIA SHOULD AWAKE AND REFUSE THAT DUDE, BULLSHITY!
 
Sasa ndio nimeelewa kwanini Ruto amesema watu waingie kiholela kwao
Kumbe wamejiandaa kipokea wawekezaji kutoka Tz kwa hela zetu eee

Sijui nawazaga nini mimi yaani kama nabeha bangi vile
 
Nimekaa pale huu uwekezaji usiporudisha mambo ya hovyo mniite .........*****

Huu uwekezaji holela unanikumkumbusha jinsi Mashirika ya Umma yalivyouzwa kiholela kwa kigezo kuwa yalikuwa mzigo ili hali leo Samia anapokea mabillioni kutoka mashirika ya umma kusaidia waathirika wa mafuriko!!
Tujifunze kutoka maamuzi ya huko nyuma kwani experience is the best teacher!
Haingii akilini kuleta AUDITING firm kutoka nje ya nchi wakati tuna watu hapa nchini wanaoweza kufanya kazi hiyo.
Mama Abdul vijana wako wanakuzunguka kwani wamegundua ulipo uchochoro.
 
maslahi binafsi na maslahi ya taifa hayawezi kwenda pamoja? Mwekezaji binafsi ambaye anawekeza dolla millioni 60 Tanzania,kwa mfano, uwekezaji ambao faida yake itaanza kupatikana baada ya miaka 8.Je hawezi kuwa na hamasa ya kuitakia Tanzania amani na utulivu ili hatimaye ndoto yake ya kupata faida kwenye uwekezaji itimie?
 
Mwendazake aliokataa Kwa sababu zake binafsi za chuki na Kenya kama alivyomfukuza yule CEO wa Vodacom.

Kampuni binafsi kufanya kazi za auding kuna Utapeli upi hapo? Leta kampuni Yako yenye uwezo tuipe kazi badala ya kuandika upuuzi.
 
Mwendazake aliokataa Kwa sababu zake binafsi za chuki na Kenya kama alivyomfukuza yule CEO wa Vodacom.

Kampuni binafsi kufanya kazi za auding kuna Utapeli upi hapo? Leta kampuni Yako yenye uwezo tuipe kazi badala ya kuandika upuuzi.
Wewe unaongea ujinga wakati ameweka evidence kuwa ni kampuni ya kitapeli? acheni chuki za kishamba

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ingekuwa sahihi zaidi ungeorodhesha kampuni makini za kitanzania ambazo zina uwezo wa kufanya kazi hiyo. Vinginevyo malalamiko yapo too general with personal hatred!
Hatuhitaji kampuni binafsi, iwe nje au za ndani. CAG na internal auditors wetu wanatosha na weledi mkubwa wa kiwango cha kimataifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…