Kampuni ya kubet TZ (Pigabet) ni wezi wakubwa, nimekula mkeka mil. 6 online, haitoki eti kuna shida ya mtandao siku ya 10 leo

Kampuni ya kubet TZ (Pigabet) ni wezi wakubwa, nimekula mkeka mil. 6 online, haitoki eti kuna shida ya mtandao siku ya 10 leo

Kwa Bayern kua mbele kwa goli 3-0 dak ya 26 na bado kua na odds ya 1.47 ni wazi kulikua na shida kwenye mfumo huenda ndio maana hili limetokea
Usijeneralize mambo mkuu, nyie ndio mnaharibu hii nchi, mnataka tuishi kwa assumptions ambazo hatuzijui man... Maisha hayaendeshwi na ASSUMPTIONS MAN.... mtu anafanya anafanya, kama aliekuwa anastake hajui matokeo as for the moment ingekuwaje? Walipe hela ya odds waloweka wenyewee... Si washatulipa sana... Wasengerema hao
 
Mkuu Meridian sidhani kama ni wezi,hebu jaribu kuangalia vigezo na masharti.


Mimi nimewahi cheza nikaweka elfu 50 Oddss 20 nikala zaiidi ya milioni 1.

Pamoja na hayo inapaswa hili suala lako walitoleee ufafanuzi kwasababu si kuwachafua wao tu bali linatukatisha tamaa na sisi tunaobeti
 
Jamaa yupo sahihi huo ni uzembe wao yeye hausiki...ingekuwa pesa kubwa akienda mahakamani anashinda
Hawezi shinda kwani kabla ya mtu kuitumia kampuni yao alipewa muongozo T&C na kukubali. Na huo muongozo umeelezea changamoto zote na mojawapo ni hiyo iliyomkuta mleta mada..
 
Upo sahihi mkuu Mimi jana nlukua na shilling elf 7 na point zake kwenye account Nikasema ngoja ni withdrawal hapa buku 5 nipate chakula na bando ilikua saa3 usiku trh 31/4/2023.....lakn mpana nnapo andika hapa kwenu ile pesa bado halijafika na kwenye account pia haipo
 
Hawezi shinda kwani kabla ya mtu kuitumia kampuni yao alipewa muongozo T&C na kukubali. Na huo muongozo umeelezea changamoto zote na mojawapo ni hiyo iliyomkuta mleta mada..
Hakuna kitu km icho .....katika sheria

Km ipo leta.....kwakua pesa ndogo ila ingekuwa kubwa angeshinda na huenda kuna watu wametia mzigo .......ndio utagundua watu wapo serious na hela
 
Mkuu Meridian sidhani kama ni wezi,hebu jaribu kuangalia vigezo na masharti.


Mimi nimewahi cheza nikaweka elfu 50 Oddss 20 nikala zaiidi ya milioni 1.

Pamoja na hayo inapaswa hili suala lako walitoleee ufafanuzi kwasababu si kuwachafua wao tu bali linatukatisha tamaa na sisi tunaobeti
Kuna jamaa yang alikuta pesa imepungua kwenye account ghafla huku toka adeposit hakustake hii bet inawakini......hata huduma zao kwa wateja ni za mchongo hazipokelewi
 
Kuna Sheria wamezitunga na wameziwasilisha gaming board zikapitishwa.
 
Tatizo mnabeti vitu ambavyo hamuelewi. Hiyo laki bora ungeenda kutoa sadaka. Naamini uliweka option bayern ashinde rest of the match.
yaani ulipoweka mkeka maana yake ilikuwa 0-0 kwa hiyo hapo kanji anahesabu bayern Kapigwa 2-1
 
Hakuna kitu km icho .....katika sheria

Km ipo leta.....kwakua pesa ndogo ila ingekuwa kubwa angeshinda na huenda kuna watu wametia mzigo .......ndio utagundua watu wapo serious na hela

MAKOSA
Makosa yaweza kutokea pale ambapo bashiri imethibitishwa au malipo yamefanyika kimakosa.

Ifuatayo ni baadhi ya orodha ya hali kama hizo;

(i) Wakati beti inatolewa na kampuni ni tofauti sana na zile zinazopatikana na soko la jumla;

(ii) Ambapo bashiri iliyo na matukio tegemezi inakubaliwa kwa bahati mbaya kwa sababu ya hitilafu ya kibinadamu au ya kiufundi;

(iii) Wakati wa usahihishaji wa mkeka umefanya kimakosa, wakati wa kuhesabu au kuweka kiasi cha ushindi kwenye akaunti ya mteja;

(iv) Wakati wa uwekaji amana au utoaji pesa umerekodiwa kimakosa.

©KATIKA HALI ZOTE HIZI, KAMPUNI INA HAKI YA KUSAHIHISHA BASHIRI ZILIZOKUBALIKA ZINAZOHUSIANA NA HITILAFU AU KUSAHIHISHA TENA KWA BEI SAHIHI AMBAYO INGEFAA KUPATIKANA WAKATI BASHIRI ILIPOWEKWA.
 
Usijeneralize mambo mkuu, nyie ndio mnaharibu hii nchi, mnataka tuishi kwa assumptions ambazo hatuzijui man... Maisha hayaendeshwi na ASSUMPTIONS MAN.... mtu anafanya anafanya, kama aliekuwa anastake hajui matokeo as for the moment ingekuwaje? Walipe hela ya odds waloweka wenyewee... Si washatulipa sana... Wasengerema hao
Nimesema 'huenda' kwaio inawezekana kukawa na sababu nyingine. Jamaa ajaribu kuwasiliana nao aone wanasemaje. Uzuri costumer care yao ipo vizuri
 
Zaleo meridianbet bet ni wezi wamenizulumu 42300 Tshs Leo tarehe moja mwezi wa nne 2023 nilibet live betting kwenye meridianbet app kuwa Bayern ashinde ilikuwa dakika ya 26 na Bayern alikuwa anaongoza tatu bila na odd ilikuwa 1.47 nikaweka stake 100,000. Baada ya kodi ikaja 142,300.

Baadaya ya mechi kuishi hawajanilipa hela yangu ila wamenirudishia Ile stake 100,000 niliyobetia nimeambatanisha picha.

View attachment 2573356
Hawajakuibia umepasuka 1 Bayern 2 Dortmund. Ndo unajifunza kubeti
 
Tatizo mnabeti vitu ambavyo hamuelewi. Hiyo laki bora ungeenda kutoa sadaka. Naamini uliweka option bayern ashinde rest of the match.
yaani ulipoweka mkeka maana yake ilikuwa 0-0 kwa hiyo hapo kanji anahesabu bayern Kapigwa 2-1
Tatizo ni language
 
Back
Top Bottom