Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Wanaiga kwa nani?? Kampuni gani??Wanaiga.. hakuna ubunifu hapo
Majinjah mbona wameanza hilo siku nyingiWanaiga kwa nani ?? Kampuni gani??
Sema kushindwa kuapprecite kitu kizuri cha mtu pia hilo ni tatizo
Hongera sana NEwFoRce
Majinja alikuwa anatoka jioni pale RomboHabari njema kwa wasafiri na abiria wa mikoa ya nyanda za juu kusini magharibi.
Kampuni ya mabasi ya NEW FORCE yaanzisha Safari za mchana. Hii Ni habari njema Sana.
Pruuuuu mpaka Maka
View attachment 1683894
Kwa mara ya Kwanza naenda Mbeya nilipanda Movement StarTurudishe na ule utaratibu wa miaka ya 80's wa kusafiri usiku kwa usiku! Ulikua poa sana. Haya mambo ya kuamka mida ya wanga kuwahi basi siyo poa kabisa.
Ni msweden au mchina?!Habari njema kwa wasafiri na abiria wa mikoa ya nyanda za juu kusini magharibi.
Kampuni ya mabasi ya NEW FORCE yaanzisha Safari za mchana. Hii Ni habari njema Sana.
Pruuuuu mpaka Maka
View attachment 1683894
Ikiwa wanaiga kuna tatizo gani?Wanaiga.. hakuna ubunifu hapo
NEW Force ni kampuni inayomilikiwa na Wachina, hawawezi kutumia gari ya mzunguNi msweden au mchina?!
Namkubali sana Dar express!
Waje na ubunifu wao tofauti na huoIkiwa wanaiga kuna tatizo gani?
Mimi nilipanda Kwacha bus service!Kwa mara ya Kwanza naenda Mbeya nilipanda Movement Star
Hamna kitu hapo!NEW Force ni kampuni inayomilikiwa na Wachina, hawawezi kutumia gari ya mzungu
Wameiga kwa Majinjah lakini hilo sio tatizoWanaiga kwa nani?? Kampuni gani??
Sema kushindwa kuapprecite kitu kizuri cha mtu pia hilo ni tatizo
Hongera sana NEwFoRce
Changamoto ilikua mfano gar ikifel taaa mkuu hap kifo jap ni nzur san kusafiri usikuWaongeze na za usiku unatoka Ubungo saa 1 usiku...itasaidia sana wale wa dharura
Hata Rungwe wamefanya sana hiyo route, tena pale Uyole njia panda zilikuwa zinaondoka hadi Majinjah 2 kwa mchana. Baadaye walianza kusumbuana na malumbano mengi ikasimama kwa muda.Majinjah mbona wameanza hilo siku nyingi