Kampuni ya Madini ya Montero kuishitaki Serikali ya Tanzania ikidai fidia kwa mradi wa Wigu Hill

Kampuni ya Madini ya Montero kuishitaki Serikali ya Tanzania ikidai fidia kwa mradi wa Wigu Hill

Sisi ni matajiri tutawalipa fidia kwa cash au nadanganya ndugu zangu?
 
Mtoa mada usiwe kama vijana wa Chadema ambao uwezo wao wa kujua mambo ni mdogo.

Hii ishi ni ndogo sana, hawa mabebeu hawawezi kutoboa maana ilikuwa ni voidable contract.
"... maana ilikuwa ni voidable contract"?

Sijui hii umeiona wapi, au wewe ulikuwa mmoja wa walioandaa mkataba huo?

Na hawa "mabeberu" nao siku hizi mnawashikia akili kiasi cha wao wawe wapumbavu kutojua unayoyajua wewe? Akili zimewaruka, waamue tu kutumia mamilioni ya pesa kwa jambo mnalojua nyinyi kuwa hakuna kitu?

Huu sasa umekuwa ni 'ulevi' wa kipumbavu.

Imenilazimu nikuulize swali hilo, pamoja na kujua dhahiri 'kilevi' kinachokulemaza akili na kunifanya nisichukulie kwa uzito wowote maandishi unayoweka humu JF.
Ninajua nimepoteza muda wangu, lakini nimeshindwa kujizuia kukuandikia haya.
 
"... maana ilikuwa ni voidable contract"?

Sijui hii umeiona wapi, au wewe ulikuwa mmoja wa walioandaa mkataba huo?

Imenilazimu nikuulize swali hilo, pamoja na kujua dhahiri 'kilevi' kinachokulemaza akili na kunifanya nisichukulie kwa uzito wowote maandishi unayoweka humu JF.
Hata nikikuelewesha wewe kilaza wa kutupa utaelewa hata kidogo?
 
Nitafurahi sana tukibwagwa huko kwenye mahakama za kimataifa. Na tupigwe faini ya 2 billion usd!
 
Mtoa mada usiwe kama vijana wa Chadema ambao uwezo wao wa kujua mambo ni mdogo.

Hii ishi ni ndogo sana, hawa mabebeu hawawezi kutoboa maana ilikuwa ni voidable contract.
Sawa I believe tutashinda ila circumstances za voidable contract hazipo applicable kwa hii issue simply because kilichofanyika ni mabadiliko ya sheria ya madini ambayo yaliathiri leseni yake leseni yake ilikuwa katika categories ambazo zilifutwa,

Anachokidai yeye ni kuwa compensated kutokana na fedha alizotumia tayari kwenye mradi.

Jambo la msingi ni kujua ile bilateral contract baina ya canada na tanzania anayodai imevunjwa inasemaje.

Je kulikuwa na freezing clauses kama zilikuwepo tunaweza kuwa held responsible kwa kuvunja mikataba ila
Kimsingi sheria inatambua haki ya Nchi kufanya mabadiliko ya kisheria wakati kukiwa na mikataba tayari ambayo imekwisha ingiwa kwa hilo tunaweza pona.
 
Kimsingi sheria inatambua haki ya Nchi kufanya mabadiliko ya kisheria wakati kukiwa na mikataba tayari ambayo imekwisha ingiwa kwa hilo tunaweza pona.
Can you elaborate more.... Kwa muktadha huu ikitokea conflict ya clause/sheria mbili ipi inakua superior kwa nyingine?
 
Sawa I believe tutashinda ila circumstances za voidable contract hazipo applicable kwa hii issue simply because kilichofanyika ni mabadiliko ya sheria ya madini ambayo yaliathiri leseni yake leseni yake ilikuwa katika categories ambazo zilifutwa,

Anachokidai yeye ni kuwa compensated kutokana na fedha alizotumia tayari kwenye mradi.

Jambo la msingi ni kujua ile bilateral contract baina ya canada na tanzania anayodai imevunjwa inasemaje.

Je kulikuwa na freezing clauses kama zilikuwepo tunaweza kuwa held responsible kwa kuvunja mikataba ila
Kimsingi sheria inatambua haki ya Nchi kufanya mabadiliko ya kisheria wakati kukiwa na mikataba tayari ambayo imekwisha ingiwa kwa hilo tunaweza pona.
Nini hasa kilikuwa kiini cha kufanya mabadiliko ya sheria ya madini ya mwaka 2010? Kama sio kuavoid contract mbovu ambazo hazikuwa manufaa na umma?

Naomba msaada.

Je huu mkataba ulikuwa kati ya Tanzania na Canada kama nchi?
 
Can you elaborate more.... Kwa muktadha huu ikitokea conflict ya clause/sheria mbili ipi inakua superior kwa nyingine?
Kunapotokea marekebisho ya sheria(amendment) hakuwezi kuwa na conflict of clauses kwakua amendment huwa inafanyika kwa a specific clause inamaana sasa ile clause ya zamani inakuwa repealed and replaced by the new clause.

In cases ya mikataba ya uwekezaji baina ya nchi na makampuni ya nje huwa kunakuwa na clauses zinaitwa freezing clauses hizi zikiwa na lengo la kulinda mikataba hiyo na mabadiliko ya sheria kipindi cha mkataba, hii ni kwa ajili ya kuwapa uhakika wawekezaji wa usalama wa kile walichokubaliana kufanya na nchi husika.

Sasa kama hizo freezing clauses zipo kwenye mkataba nchi ikifanya mabadiliko ya sheria hazita athiri mikataba iliyokuwepo.

Kama freezing clauses hazitakuwepo basi kanuni ya utambuzi wa haki ya nchi kufanya mabadiliko katika Sheria inatumika.
 
Kunapotokea marekebisho ya sheria(amendment) hakuwezi kuwa na conflict of clauses kwakua amendment huwa inafanyika kwa a specific clause inamaana sasa ile clause ya zamani inakuwa repealed and replaced by the new clause.

In cases ya mikataba ya uwekezaji baina ya nchi na makampuni ya nje huwa kunakuwa na clauses zinaitwa freezing clauses hizi zikiwa na lengo la kulinda mikataba hiyo na mabadiliko ya sheria kipindi cha mkataba, hii ni kwa ajili ya kuwapa uhakika wawekezaji wa usalama wa kile walichokubaliana kufanya na nchi husika.

Sasa kama hizo freezing clauses zipo kwenye mkataba nchi ikifanya mabadiliko ya sheria hazita athiri mikataba iliyokuwepo.

Kama freezing clauses hazitakuwepo basi kanuni ya utambuzi wa haki ya nchi kufanya mabadiliko katika Sheria inatumika.
Haki ya nchi kufanya mabadiliko ya sheria inatambuliwa vipi?

Kwani Mining Act ilipofanyiwa amendment hapa Tanzania hakukuwa na freezing clauses? Mpaka hawa jamaa wanaenda mahakamani?
 
Back
Top Bottom