Kampuni ya Madini ya Montero kuishitaki Serikali ya Tanzania ikidai fidia kwa mradi wa Wigu Hill

Kampuni ya Madini ya Montero kuishitaki Serikali ya Tanzania ikidai fidia kwa mradi wa Wigu Hill

Naona Mabeberu yameingia kazini tena.

Kampuni ya Montero imeazimia kuishitaki serikali ya Tanzania ikikusudia kudai fidia kutokana na kupoteza mradi wake wa utafiti wa madini wa Wigu Hill uliotokana na mabadiliko ya sheria ya madini ya mwaka 2010 iliyofuta baadhi ya leseni zilizokuwa zikitolewa hapo awali kampuni hiyo ikiwa mhanga.

Fedha za kuendesha kesi hiyo zimetolewa na kampuni ya Omni Bridgway ya Canada.

Huu utakua ni muendelezo wa makampuni ya Canada kuishambulia serikali kwa madai mbali mbali.

----
Montero secures US$2.32 million for battle with Government of Tanzania

Montero has advised that it has completed a Litigation Funding Agreement with Omni Bridgeway Canada, an affiliate of the Litigation Funder.

The Agreement provides for funds to be drawn from a financing facility to meet all fees and expenses relating to the pursuit of certain claims against the Government of Tanzania for the illegal expropriation and loss of the Project, including all costs associated with legal proceedings and, if necessary, enforcement, of any awards.

Montero has retained Thierry Lauriol and his team at Jeantet AARPI as highly experienced legal counsel in international arbitration with a track record of success for its clients in Africa.

Dr Tony Harwood, President of Montero, comments:

“Montero’s legal representatives, Jeantet, backed by the financial support of the Litigation Funder Omni Bridgeway, have been engaged to aggressively pursue compensation for the illegal activities of the Government of Tanzania in expropriating the Wigu Hill rare earth element Project.”

Montero is not able to make any comment in relation to the potential quantum of any claim for compensation at this point.

As background, on 17 January, 2020 Montero delivered a Notice of Intent to Submit a Claim to Arbitration to the Attorney General of Tanzania in accordance with the 2013 Agreement for the Promotion and Reciprocal Protection of Investments in the Bilateral Investment Treaty (BIT) between Canada and the United Republic of Tanzania.

The dispute arises out of certain acts and omissions of the United Republic of Tanzania in breach of the BIT and international law, relating to Montero’s investment in the Wigu Hill rare earth element project located in Tanzania.

Montero commenced exploration activities on the Wigu Hill project in March 2008 when it was held under Prospecting License. Montero subsequently, on advice from the Mining Commissioner, applied for a Retention License in 2014 and this was granted in 2015 valid for a period of five years.

In 2017 the Government of Tanzania announced amendments to the Mining Act 2010, which, inter alia, abolished the legislative basis for the Retention License classification with no replacement classification.

On 10 January 2018 the Government published the Mining Regulations 2018 which under Regulation 21 cancelled all Retention Licenses issued prior to that date, which would cease to have any legal effect.

The rights to all areas under Retention Licenses were immediately transferred to the Government of Tanzania.

On December 19th, 2019 the Mining Commission of Tanzania announced a public invitation to tender for the joint development of areas previously covered by Retention Licenses, including the area of the Wigu Hill Retention License.

The abolition of the Wigu Hill Retention License and the removal of the various rights to the minerals conferred by this licence has rendered the Wigu Hill project valueless to Montero.

Therefore, as a direct consequence of the legislative, regulatory and other measures made by the Tanzanian Government, Montero has lost completely its investment.

The Notice of Intent is necessary in order to preserve Montero’s rights to initiate arbitration should a resolution with the Tanzanian Government not be reached.

The filing of the Notice of Intent initiates a six-month consultation period between the parties during which time no attempt was made by the Tanzanian Government to amicably settle the dispute.

Montero has initiated international arbitration proceedings in accordance with the BIT between Canada and the United Republic of Tanzania. Compensation being sought for expropriation of the Wigu Hill rare earth element Project may include, but will not be limited to, the value of the historic investment made by Montero in Tanzania, the value of the project at the time that tenure was expropriated and damages the Company has suffered as a result of Tanzania’s acts and omissions.


Source: Montero secures US$2.32 million for battle with Government of Tanzania



Mlisema tuna wachelewesha kwenye maendeleo?
 
Mkuu ,

Usiseme CCM ni ile ile, unapaswa kusema kwamba watanzania tunapaswa kubadilika kwani sio watendaji wote wa serikali ni wanachama wa CCM , serikali kuu umeundwa na wanachama wa vyama mbali Mbali.
Uko sahihi mkuu. Wakati naiunga mkono chadema (ile ya dr slaa) nilikuwemo serikalini, na hata sasa wakati siungi mkono chama chochote bado nimo serikalini; wamo pia wanachama na waungaji mkono wa chadema tunafanya nao kazi.
 
Should I sympathize with a government that disregards, not only international law, but even the laws that are promulgated by the very government, not to mention the Constitution of the country. THE ANSWER IS NO.
 
Tuwaache wakapambane na serikali huko mahakamani tu.

Lakini sio mahakama zetu hizi za Kitanzania.
Sawa Tumesikia Wasaliti wa nchi wakishirikiana na mabeberu kumuhujumu Watanzania.
Tundu Lissu tunayajua unayoyataka
 
Hii pesa hata isipoenda kwa wazungu, itaenda kuijrnga Chato, kwa maeneo mengine ya nchi, hawataona utofauti.

Kodi ya nchi nzima sasa, ya wamatumbi, wayao, wandengereko, wandali, n.k. inapelekwa kwenda kuinufaisha Chato pekee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haki ya nchi kufanya mabadiliko ya sheria inatambuliwa vipi?

Kwani Mining Act ilipofanyiwa amendment hapa Tanzania hakukuwa na freezing clauses? Mpaka hawa jamaa wanaenda mahakamani?
Kuna maamuzi ya mahakama yanayotambua haki ya nchi kufanya mabadiliko ya Sheria .

Mining act ilifanyiwa marekebisho kwenye maswala kadhaa ikiwemo aina za leseni.

Nilizungumzia freezing clauses nikihusianisha na Bilateral Agreement baina ya Canada na Tanzania.

Sijafanikiwa kuiona hiyo agreement so I can not comment.
 
Kuna maamuzi ya mahakama yanayotambua haki ya nchi kufanya mabadiliko ya mahakama.

Mining act ilifanyiwa marekebisho kwenye maswala kadhaa ikiwemo aina za leseni.

Nilizungumzia freezing clauses nikihusianisha na Bilateral Agreement baina ya Canada na Tanzania.

Sijafanikiwa kuiona hiyo agreement so I can not comment.
Je, huu mkataba serikali na Montero kufanya utafiti hapa nchini ulifanyika kwa choice gani ya sheria na mamlaka za kimahakama?
 
Mjifunze kabla ya kufuta hizo sheria muwe mnatazama kwanza athari zitakazotokana na hayo maamuzi, sio mnakurupuka tu halafu mnalia lia mabeberu wameanza, ukweli nyie ndio mliowaanza wao wanamalizia.
He kwani tayari wameshashinda kesi?
 
KWA KWELI WATU WANAOTUINGIZA HUKU WANATAKIWA KUNYONGWA
 
Je, huu mkataba serikali na Montero kufanya utafiti hapa nchini ulifanyika kwa choice gani ya sheria na mamlaka za kimahakama?
Sidhani kama kulikuwa na mkataba baina ya serikali na Montero ila anacholalamika Montero ni kufutiwa leseni yake jambo analosema linakiuka makubaliano yaliyoingiwa baina ya serikali na Serikali ya Canada kuhusiana na maswala ya uwekezaji.

Mara nyingi kunapotokea disputes huwa dispute inaweza pelekwa mahakamani au kwa Arbitrator, ukiangalia hii taarifa utaona kwamba huu mgogoro unapelekwa kwa Arbitrator hivyo kuna uwezekano mkubwa Sana hiyo agreement ilitaka kunapotokea dispute matter ipelekwe kwa arbitrator.

Mara nyingi huwa disputes za aina hii zinakwenda The London Court of International Arbitration au Permanent Court of Arbitration , Vienna.
 
Kama kuna kipindi serikali iliingia mikataba ya hovyo,ni awamu iliyopita.
Na haitatuacha salama.
Hakuna mkataba mbovu ulioingiwa na awamu ya 4 au awamu zilizotangulia. Mkataba ni nipe nami nikupe baada ya makubaliano. Tafsiri ya mkataba mbovu ni hisia binafsi. Na ukihisi mkataba mbovu dawa ni kujitoa kwa mujibu wa matakwa ya mkataba husika na sheria za nchi au sheria za kimataifa.

Shida inatokea wakati mwendawazimu mmoja anayejifanya ana maono kuliko watangulizi wake anapovunja mikataba bila kufuata taratibu.
 
Tatizo lililopo ni kwamba serikali hii hutoa tu amri kwa kumuamuru mwanasheria mkuu wa serikali kupeleka muswada bungeni na yeye haruhusiwi kuhoji chochote na matokeo yake ndiyo haya.

Huo ulikuwa ni mkataba halali kabisa ulioingiwa kati ya mwekezaji na serikali lkn ilipokuja serikali hii ya sasa ndio ikabadilisha sheria za mchezo katikati ya mechi.

Na hapo lazima nchi italizwa tena, tutalazimika kulipa damages for the breach of contract and we shall be liable to pay all legal costs.
 
He kwani tayari wameshashinda kesi?
Lazima watashinda. Mabadiliko yale ya Kabudi yalikuwa ya hovyo kabisa japo wajinga wengi wanasifia bila ya kujua kilichomo ndani, faida na hasara yake.

Yeye mwenyewe Kabudi na Serikali kwa ujumla wanajua walivyoharibu, ndiyo maana kwenye makubaliano na Barrick, imebidi serikali iondoe mambo mengi ya hovyo ndani ya mkataba wa makubaliano ambayo sheria ya madini inayatambua. Sasa Barrick wana haki ya kuishtaki serikali mahakama za nje, wakati mabadiliko ya Kabudi yalikuwa yanazuia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada usiwe kama vijana wa Chadema ambao uwezo wao wa kujua mambo ni mdogo.

Hii ishi ni ndogo sana, hawa mabebeu hawawezi kutoboa maana ilikuwa ni voidable contract.
Njoo huku wewe pimbi uje useme hayo maneno tena. Kimeumana
 
Back
Top Bottom