Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Mfano Nimetumia Ila sina uhakika pia nadhani na mindset zetu nadhani ndio tumezi condition ivyo so hakuna Cha ubaya Mana sie tumezoea ivyoHapo sawa Mkuu, kama ni mlinzi wa mifumo , akili yangu ikisikia mlinzi kwa hapa nchini kwetu huwa ninawaza wale jamaa wa virungu mostly, post za walinzi wa hivo unaozungumzia niliwahi kuziona Airport tu